Pre GE2025 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk aandika barua ya kujiuzulu Ubunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sio vichwa vizito hapana mkuu ni kuenda sawa vna mkuu anavyo taka, kuna watu wana akili mfano hamna ila wameminywa na mfumo .
Lakini walao magufuli alidhubutu kupata watu nje ya walio zoeleka.
 
Kuna agrey mwanri japo umri umeenda lakini ana kitu.
Hata kishimba japo hana shule lakini ana kitu.
 
Ubunge wa kupewa na rais, siku akiutaka mwenyewe unaurudisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…