Mtu mzima anajiuzulu then umpe nafasi nyengine?Soon Baraza linasukwa. Au anawinda Ukatibu Mkuu Kiongozi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mzima anajiuzulu then umpe nafasi nyengine?Soon Baraza linasukwa. Au anawinda Ukatibu Mkuu Kiongozi?
HapanaAu leo ni sikukuu ya wajinga
Kuna mtu atapachikwa ubunge na Uwaziri.Sababu?
Upo sahihi kabisaNingekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.
Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.
Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.
Mengine yote ni siasa uchwara tu!
Ameambiwa afanye hivyo, kuna mtu atateuliwa hapo na apewe na Uwaziri, Kuna mtu kibarua cha uwaziri kinaisha.Hapa kuna jambo na si bure. Huu utamaduni hatuna hata tuwe na changamoto za aina gani.
Naomba aniteue Mimi🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mtu atapachikwa ubunge na Uwaziri.
atakuweje wazir wakati sio mbunge tena?Makamba gone!!?naibu wake atakua waziri rasmi!!?
Nape na kauli zake vipi!!?
Mzee tangu uanze kufuatilia siasa bado upo pre mature kiasi hiki.Mbunge kateuliwa na Rais, inakuaje aombe kujiuzulu kwa Spika, pamoja na kwamba Spika ni bosi wa wabunge (mwenye kuelewa katiba hii imekaaje?)
Hichi ndio tunataka na kipo kwenye Rasimu ya jaji wariobaNingekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.
Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.
Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.
Mengine yote ni siasa uchwara tu!
Atakuweje waziri wakat sio mbunge tenaMakamba gone!!?naibu wake atakua waziri rasmi!!?
Nape na kauli zake vipi!!?
5 Okt 2001. 2001. Speech. by NATO Secretary General, Lord Robertson at theMtu mzima anajiuzulu then umpe nafasi nyengine?
Namna ulivouliza swali ,ni Kam vile tayari una jibu...!Mbunge kateuliwa na Rais, inakuaje aombe kujiuzulu kwa Spika, pamoja na kwamba Spika ni bosi wa wabunge (mwenye kuelewa katiba hii imekaaje?)
Yule ni kupe. Sahahu kuhusu Hilo.Nape yeye anaandika lini?
Tiss sina uhakika maana wanateuliwa hao lazima wafuate ya rais. Ila kwa jeshi nimeshangaa sana kuona jeshi linaloabudu wanasiasa badala ya kuhakikisha linalinda katiba.Yaaani makonda awe Waziri? Kwa kitu kipi cha kipekee anachoweza?
Hii nchi TISS na Jeshi wasituangushe ili tukae sawa huko mbeleni!
Bila TISS na Jeshi kulazimisha kuwepo kwa Katiba mpya. Siku si nyingi hii nchi itaingia shimoni kabisa.
Bimkubwa bhana [emoji23] [emoji23] [emoji23]Au leo ni sikukuu ya wajinga