Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Wazanzibar kwao vyeo sio issue kabisa, wakati wowote anaweza kuachia lakini sio mtanganyika bana, mtauana. Ha ha ha😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Mama Samia mbona hataki kuachia mwakani? Au yeye siyo mzanzibarWazanzibar kwao vyeo sio issue kabisa, wakati wowote anaweza kuachia lakini sio mtanganyika bana, mtauana. Ha ha ha😀
Usije kushangaa ni Peter Msigwa!HahahaKuna mtu anaandaliwa ajaze nafasi yake..
Yeye atateuliwa nafasi nyingine hivi karibuni.
Maandalizi ya kufumua baraza.
Kuna muda Rais atateua zaidi nafasi za wabunge kuzidi kiwango anachotakiwa kuteua ni 10tuNingekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.
Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.
Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.
Mengine yote ni siasa uchwara tu!
Haishangazi. Wahalifu na ccm ni Ndugu mmoja.Nina hakika anaenda kuteuliwa nafasi kubwa..na hyo nafasi ya ubunge anaweza kupewa makonda ama msigwa halafu akateuliwa uwaziri..stay tune.
Mzanzibar anamsanua Mzanzibar mwenzake ili baadae ampandishe kuwa Mkubwa zaidi.Siyo issue ya Maadili mkuu.. point iko hapo wazi kabisa..kuna Reshuffle ya Cabinet..huyo kapewa maelekezo ajiudhuru,ili ateuliwe mtu mwingine awe mbunge na anaweza kuwa ni aidha Makonda ama Msigwa na akalamba uwaziri ama unaibu uwaziri.. na huyo aliye jiuzuru akateuliwa nafasi nyingine serikalini.
hahahha yule hawezi maana anajua hana jipya zaidi ya kubebwaNape yeye anaandika lini?
TISS Hawa Hawa walikojazana watoto wao.Yaaani makonda awe Waziri? Kwa kitu kipi cha kipekee anachoweza?
Hii nchi TISS na Jeshi wasituangushe ili tukae sawa huko mbeleni!
Makonda mwenyewe TISS! Tuliza kichwa utanielewa!Yaaani makonda awe Waziri? Kwa kitu kipi cha kipekee anachoweza?
Hii nchi TISS na Jeshi wasituangushe ili tukae sawa huko mbeleni!
Ni kweli kwa Katiba yetu hii mbovu Rais ameminywa kwa kupewa nafasi 10 tu za kuteua.Kuna muda Rais atateua zaidi nafasi za wabunge kuzidi kiwango anachotakiwa kuteua ni 10tu
So hawa hawa waliopitishwa na jiwe inabidi akubaliane nao!
Huyo labda hadi kifo kimuondoeNape yeye anaandika lini?
Watu hawana kazi wala maisha bora ndo maana wanapapatika na teeth wakiona wanatembelea Nissan nyeupe wamevaa kaunda suti nyeusi na kuweka bastola kiunoni basi ndo wamemaliza kumbe nao ni kina apeche full madeni bar, mangi nkWatanzania bhana, mtu akiwa tiss mnamuona kama anafanya kazi mbinguni yaani malaika
Ni wewe?Bila TISS na Jeshi kulazimisha kuwepo kwa Katiba mpya. Siku si nyingi hii nchi itaingia shimoni kabisa.
Huyo Mama Samia mbona hataki kuachia mwakani? Au yeye siyo mzanzibar
Ili akatifue kila kitu badala ya kujengaMchungaji Msigwa bungeni
Achana na huyo kiazi, Bumbuli imemkaa kichwani kama nywele zakeDuh kwa hiyo Mbarouk ni MP wa Bumbuli?