Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Bila TISS na Jeshi kulazimisha kuwepo kwa Katiba mpya. Siku si nyingi hii nchi itaingia shimoni kabisa.Hii Nchi lolote linawezekana na wananchi hatuna cha kuwa fanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila TISS na Jeshi kulazimisha kuwepo kwa Katiba mpya. Siku si nyingi hii nchi itaingia shimoni kabisa.Hii Nchi lolote linawezekana na wananchi hatuna cha kuwa fanya.
Ujinga upi?Amechoka ujinga wa CCM
Sababu aliyotoa ni kukabiliwa na changamoto binafsi, hapo kama amejifunga hivi kupata nafas ingineNina hakika anaenda kuteuliwa nafasi kubwa..na hyo nafasi ya ubunge anaweza kupewa makonda ama msigwa halafu akateuliwa uwaziri..stay tune.
Excellent. Wenye akili hawawezi kuitumikia Serikali hii. Huu ufisadi kama una hofu ya mungu huwezi kufanya kazi na Hawa wakola. Serikali nzima wakolaMbunge wa kuteuliwa na Rais na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amemuandikia Spika wa Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson barua ya kujiuzulu Ubunge leo Jumapili tarehe 21 Julai, 2024.
View attachment 3048086
Itakuwa dharau kubwa sana kwa chawa wa UVCCMMchungaji Msigwa bungeni
Umemaliza Kiongozi...Africa hasa Tanzania,mtu aachie mkate hivi hivi,Hapana..KUNA NAMNA..tusubiriMaelekezo kutoka juu
Changamoto ya kijamii, ni nini hicho ?Either anateuliwa cheo kingine, au kuna mtu anapishwa kuwa mbunge, mbsrouk ni TISS kwa hiyo anarudi kwa kazi yake
Ningekuwa Rais ningefanya haya!Huenda Rais Samia anaelekea kufanya mabadiliko madogo kwenye Baraza lake la Mawaziri.
View attachment 3048098
Nimeshangaa kweliHapa kuna jambo na si bure. Huu utamaduni hatuna hata tuwe na changamoto za aina gani.
Watanzania bhana, mtu akiwa tiss mnamuona kama anafanya kazi mbinguni yaani malaikaEither anateuliwa cheo kingine, au kuna mtu anapishwa kuwa mbunge, mbsrouk ni TISS kwa hiyo anarudi kwa kazi yake
Sasa Katiba unajua vizuri mchakato wake?Ningekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.
Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.
Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.
Mengine yote ni siasa uchwara tu!
Kwa nini nisiujue?Sasa Katiba unajua vizuri mchakato wake?
Ujinga mwingi sanaUjinga upi?
Ndo hapo kumbe kule ndo kumejaa wajnga hadi basiWatanzania bhana, mtu akiwa tiss mnamuona kama anafanya kazi mbinguni yaani malaika
Tatizo ni MboweDuh kwa hiyo Mbarouk ni MP wa Bumbuli?