Msigwa anachukua nafasi yakeKuna mtu anaandaliwa ajaze nafasi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msigwa anachukua nafasi yakeKuna mtu anaandaliwa ajaze nafasi yake
Mchungaji anaenda Chuga. Chuga boy anaenda mjengoni!Msigwa anachukua nafasi yake
Hata aliyechaguliwa na wananchi huandika barua kwa spika na siyo kwa wananchi. Ni matokeo ya katiba mbovu.Mbunge kateuliwa na Rais, inakuaje aombe kujiuzulu kwa Spika, pamoja na kwamba Spika ni bosi wa wabunge (mwenye kuelewa katiba hii imekaaje?)
Mkuu umepiga panapo uma. Ila kwakuwa akili ya huyo imepigwa ganzi na warabu wa dp hawezi sikia maumivu ya kipigo chakoMzee wa DP World nchi iko pazuri sana, haihitaji mabadiliko yoyote yake. Binafsi nashauri Raisi Samia auze mbuga zote tu kama alivyofanya kwenye bandari, maana hata zikibaki sisi hatuwezi kuziendeleza. Hata hivyo, waarabu wana uzoefu na akili nyingi kuliko sisi.
Nape na Makamba ndiyo wenye ccm na ndiyo wamemuweka huyo mama hapo ikulu. Akithubutu kuwaondoa hamalizi hata masaa 24. Hawa wapo sana tu.Makamba gone!!?naibu wake atakua waziri rasmi!!?
Nape na kauli zake vipi!!?
Labda Msigwa anaandaliwa alale mema ya nchi.Kuna mtu anaandaliwa ajaze nafasi yake..
Yeye atateuliwa nafasi nyingine hivi karibuni.
Maandalizi ya kufumua baraza.
IPO sawa kabisa, jambo la msingi ,hii lazima ,imeanzia kwa Rais mwenyewe, kwanza Rais ndie alimteua kuwa Mbunge,pili Rais ndie alimteua kuwa Naibu waziri, kwahiyo kabla ya maamuzi lazima alimshirikisha Rais.Mbunge kateuliwa na Rais, inakuaje aombe kujiuzulu kwa Spika, pamoja na kwamba Spika ni bosi wa wabunge (mwenye kuelewa katiba hii imekaaje?)
Acha matusi kijanaNape na Makamba ndiyo wenye ccm na ndiyo wamemuweka huyo mama hapo ikulu. Akithubutu kuwaondoa hamalizi hata masaa 24. Hawa wapo sana tu.
Hakuna mbunge wa RaisMbunge kateuliwa na Rais, inakuaje aombe kujiuzulu kwa Spika, pamoja na kwamba Spika ni bosi wa wabunge (mwenye kuelewa katiba hii imekaaje?)
Labda yule house boy mstaafu aliyenunuliwa kwa vipande 30 vya fedha.Kuna mtu atapachikwa ubunge na Uwaziri.
Kuvuliwa suti na kuvishwa minguo ya ajabu ajabu si kazi ndogo.Labda yule house boy mstaafu aliyenunuliwa kwa vipande 30 vya fedha.
Kagoma Kabisa Mpaka AtoleweNape yeye anaandika lini?
Ngoja tusubiri mkeka wa RaisKagoma Kabisa Mpaka Atolewe
Jambo Lipo Hapo, Muda Unakuja TuHapa kuna jambo na si bure. Huu utamaduni hatuna hata tuwe na changamoto za aina gani.
😂😂🤣🤣😂🤣Kujaza Nafasi WaziMchungaji Msigwa bungeni
Kuna Jambo LazimaMbunge kateuliwa na Rais, inakuaje aombe kujiuzulu kwa Spika, pamoja na kwamba Spika ni bosi wa wabunge (mwenye kuelewa katiba hii imekaaje?)
Wapi katiba imekanyagwaTiss sina uhakika maana wanateuliwa hao lazima wafuate ya rais. Ila kwa jeshi nimeshangaa sana kuona jeshi linaloabudu wanasiasa badala ya kuhakikisha linalinda katiba.
Unauliza au unapigia jibu mstari?Wapi katiba imekanyagwa
USSR
Nafasi ya muungano hivyo lazima ajaye atoke ZanzibarMsigwa anachukua nafasi yake