Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
... tulia; mtajua hamjui!.Kwahiyo watampeleka kwa Zitto Kabwe au kwa Gaidi Mbowe ?
Anapelekwa na nani akina nani..!?Kwahiyo watampeleka kwa Zitto Kabwe au kwa Gaidi Mbowe ?
Akiwemo humo ndani hawawezi thubutu..!! Athali zake ni bora kuwaacha waendelee na wanachokifanyaAkikutana na wapinzani ukumbi hautavamiwa na wasiojulikana? labda wakutane ubalozini.
Kwa mume wakoKwahiyo watampeleka kwa Zitto Kabwe au kwa Gaidi Mbowe?
Sawa sawa umenena vyema.Kwa mume wako
Acha umbea wewe kwa habari zako za kuokota kwenye mitandao Kisha unajifanya kutuahabarisha sisi. Wewe umetoroka nchi kwa sababu ya uhalifu then kila siku upo busy unaendekeza umbea tu kwa habari za uchochezi Tanzania Kisha unajifanya kachero kumbe kibaka tuView attachment 1879441
Rais Joe Biden wa Marekani amemtuma “Naibu Waziri” (Under secretary) anayeshughulikia masuala ya siasa, Victoria Nuland, kwenda nchi kadhaa za Afrika ikiwa ni pamoja na Tanzania, ambako atakutana na Mama Samia Suluhu na pia kufanya maongezi na Wapinzani.
Hawezi kuwa na taarifa huyu huwa ni mpaka aokote kwenye mitandao Kisha anajifanya ni taarifa za uchambuzi wa kijasusi kumbe tapeli tu aliyekimbia nchiGood lakini taarifa ipo shallow sana, no source
Ok jasusi uchwara pia Amekutana na chadema leoView attachment 1879441
Rais Joe Biden wa Marekani amemtuma “Naibu Waziri” (Under secretary) anayeshughulikia masuala ya siasa, Victoria Nuland, kwenda nchi kadhaa za Afrika ikiwa ni pamoja na Tanzania, ambako atakutana na Mama Samia Suluhu na pia kufanya maongezi na Wapinzani.