Naibu Waziri wa Masuala ya Siasa Wa Marekani, Victoria Nuland aja Tanzania, kukutana na Rais Samia

Hawezi kuwa na taarifa huyu huwa ni mpaka aokote kwenye mitandao Kisha anajifanya ni taarifa za uchambuzi wa kijasusi kumbe tapeli tu aliyekimbia nchi
Huyu aliwatapeli matycoon wa ccm kina lowasa wakataka kumyonya kende akakimbia na kuanza kujiita jasusi,

jinga Sana Hili zee
 
Belt and Road Initiative imewaamsha.
Wamekuja kumchawia mchina ila wamarekani ni mabingwa wa fitina,hivi kwa nini mchina anaitamani sana bagamoyo wakati anaweza kuitumia Mombasa kufanikisha mambo yake au ndio ile kauli jamaa mmoja aliwahi sema kuwa huwezi kuizungumzia East Afrika bila kuitaja Tanzania,kauli hii ilitolewa kipindi kile Kagame,Uhuru na m7 wameanzisha ule upuuzi wao wa coalition of the willing
 
Huyu Victoria Nuland ni mtu wa kuwa naye makini sana. Serikali wakifanya mchezo watajuta

Who is Victoria Nuland?
 
Tatizo sio wapinzani wala katiba mpya,
Tatizo lipo Kwa Mbowe na genge lake, ametuhumiwa kupqnga njama za kihalifu ktk kufikia malengo ya kisiasa. kitendo hicho ni uvunjaji wa sheria za nchi na vyombo husika haviwezi kumuachia avunje sheria za nchi eti kwa kuwa ni Kiongozi wa chama cha upinzani, hiyo itakuwa ni unafiki na ubaguzi mbele ya sheria.
Mhalifu lazima afikishwe mahakamani na ajibu tuhuma zake na kisha mahakama itaamua sio mtu maengine au taasisi au hata nchi nyingine. ni lazima kila mwananchi aheshimu utawala wa sheria.
 
Huku una freedom ya kureport kule Twitter hutaki mawazo mbadala
 
Je ndio huu ujumbe alisema Tundu Lissu kuwa wao kama chama wameendelea kutafuta Suluhu ikiwa ni pamoja na kufanya lobbying kwa watu wanaoelewana na Mama? May be. Let us wait. Hii ni Muhimu. Hii nchi tunaipenda sote. Utulivu, haki na amani kwa wote.
 
ID za kulipwa. 🤣🤣
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz..
Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.
Demokrasia sio kuvunja amani.
 
Na pia ni watu wanaotukana ovyo majukwaani utadhani ni wendawazimu.

Wengine utawaona hapa hapa
Shida yenu nyinyi walamba viatu na wachumia tumbo mnadhani walioko madaakani ni miungu. Cheo ni dhamana tena kutoka kwa wananchi. Yuko wapi mwendazake na genge lake? Simamieni misingi ya haki na ukweli, watu watapita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…