nini?
Aliugua kwa muda gani?
Alikua Mh mbunge wa kuchaguliwa ama wa kuteuliwa?
Ebu mwenye historia yake akuje hapa mbele kwanza.
R.i.P Naibu waziri
Haya mkuu, ngoja tuendelee kuzisubiri hizo siku za mapumziko. Si umesema ni hivi karibuni eeeh?Nimemwazia nani mabaya?! Na hayo mabaya nimewazia vipi?! Huoni unge-make sense endapo ungesema "usiamini ndoto" kuliko kusema "usiwazie wenzako mabaya"?
Au ndoto ni mawazo?!
Last time I checked, I remember to say "...simanzi iliyofanya TUPEWE siku za maombolezo" but I don't find anywhere niliposema "NIKAPEWA" siku za maombolezo! That having been said, if not ME, then waliopo!!
Najaribu kusema labda hukufunuliwa vizuri mkuu wanguUnajaribu kusema nini hasa?!
Duuh 😂😂😂Habari ziwafikie, ndugu jamaa na marafiki . Popote pale walipo.
Chifu...Kwan si unapanchi tu Kisha alie karibu ndo linamdondokea Kama ni vifo vya ndotoni. Ungeendelea kulala lazima pia ungepata na maono namna ya huyo mtu kukiepuka kama alivyofanya Godbless Lema akamuonesha kabisa namna ya kukiepuka lkn jamaa akawa kaidi
Kama chanjo ingekuwa inazuia vifo duniani watu wangekosa pa kuishi.Chanjo
Inawezekana.Wasivyo na haya usishangae kuona Ridhiwani anaingizwa kundiki.
Nisome kwa vituo mkuu...Haya mkuu, ngoja tuendelee kuzisubiri hizo siku za mapumziko. Si umesema ni hivi karibuni eeeh?
NO WAY... SOMETHING IS COMING, I DON'T GIVE A SHIT WHO OR WHEN BUT IT'S COMING!!
Wewe chige wewe!!HAWEZI KUWA HUYU....
NARUDIA, HAWEZI KUWA HUYU HATA KIDOGO....
JUZI KUAMKIA HANA NIMEFUNULIWA KWA NJIA YA NDOTO KWAMBA TAIFA LIMEINGIA KWENYE SIMANZI MZITO...
TAIFA LIMEINGIA KWENYE SIMANZI ILIYOFANYA TUPEWE SIKU KADHAA ZA MAOMBOLEZO...
TAIFA LIMEINGIA KWENYE SIMANZI ILIYOSABABISHA MABADILIKO MENGINE YA UONGOZI...
HALAFU MNIAMBIE ETI NI NAIBU WAZIRI?!
NO WAY... SOMETHING IS COMING, I DON'T GIVE A SHIT WHO OR WHEN BUT IT'S COMING!!
ALL IN ALL, REST IN PEACE WILLIAM OLE...
BWANA ALITOA, NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE... AMEEN!!
tu hatuko naye lakini watu wanaonesha hate.. Deep hate!? Damnn!!!
Duuuu hongera, yaani kwa kumwangalia mtu tu unaweza kujua kuwa ameungwa kwenye grid au la?Itabidi unielekeze nami.Anaonekana. Nimemuangalia tu nikajua huyu alikuwa na Tanesco.
Duuu!KUWA HUYU....
NARUDIA, HAWEZI KUWA HUYU HATA KIDOGO....
JUZI KUAMKIA HANA NIMEFUNULIWA KWA NJIA YA NDOTO KWAMBA TAIFA LIMEINGIA KWENYE SIMANZI MZITO...
TAIFA LIMEINGIA KWENYE SIMANZI ILIYOFANYA TUPEWE SIKU KADHAA ZA MAOMBOLEZO...
TAIFA LIMEINGIA KWENYE SIMANZI ILIYOSABABISHA MABADILIKO MENGINE YA UONGOZI...
HALAFU MNIAMBIE ETI NI NAIBU WAZIRI?!
NO WAY... SOMETHING IS COMING, I DON'T GIVE A SHIT WHO OR WHEN BUT IT'S COMING!!
ALL IN ALL, REST IN PEACE WILLIAM OLE...
BWANA ALITOA, NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE... AMEEN!!
Alikuwa waziri huenda ndio sababu.Pole kwa familia yake...
Hivi kumbe kuna wabunge wanaishi nje ya majimbo yao kipindi ambacho si cha bunge...
Inahitaji experience. Mimi nilimuona tokea yupo Naibu wizara ya Elimu.Duuuu hongera, yaani kwa kumwangalia mtu tu unaweza kujua kuwa ameungwa kwenye grid au la?Itabidi unielekeze nami.
Huyu bibie ni mtu wa mihemko sana, anaweza kutoa maoni hadi ukajiuliza hivi huyu niaje?Duuuu hongera, yaani kwa kumwangalia mtu tu unaweza kujua kuwa ameungwa kwenye grid au la?Itabidi unielekeze nami.
Alikuwa waziri huenda ndio sababu.
Anaonekana. Nimemuangalia tu nikajua huyu alikuwa na Tanesco.