Naichukia Jumapili kuamkia Jumatatu

Naichukia Jumapili kuamkia Jumatatu

Hakuna siku inaboa kama jioni ya jumapili. Labda kama jumatatu ni sikukuu au
 
Kama sijanywa huwa ni rahisi, shida ni kama kuna game ya EPL imechezwa saa moja, maana hapo ni rahisi kunywa.

Kama hakuna game ni mara chache sana kunywa.
Mwanangu kumbe unakimbizaga ulabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Heineken Bro, kama unavyojua sisi ni mabingwa wa kihistoria wa UEFA, na Heineken ndiyo wadhamini wakuu wa UEFA, so tunapeana sapoti.
Hahaha kwa iyo unakunywa Heineken kwa sababu ya uefa[emoji23][emoji23][emoji23] ..ngoja sisi tukomae na balimi maana uefa hatuna chetu..
 
Hahaha kwa iyo unakunywa Heineken kwa sababu ya uefa[emoji23][emoji23][emoji23] ..ngoja sisi tukomae na balimi maana uefa hatuna chetu..

Kwani nyie mwaka huu si mnacheza UEFA mwaka huu?

Balimi waachieni Arsenal na Man Utd.
 
Kwani nyie mwaka huu si mnacheza UEFA mwaka huu?

Balimi waachieni Arsenal na Man Utd.
Tunakipiga mkuu ila cunajua timu yetu ya kuunga unga ..kwa iyo mapema tu sisi tunaeza aga mashindano tukawaacha nyie mpambane ...

Kwa iyo tunaeza ungana na Man utd na Arsenal kuienzi balimi..[emoji41][emoji41]
 
Tunakipiga mkuu ila cunajua timu yetu ya kuunga unga ..kwa iyo mapema tu sisi tunaeza aga mashindano tukawaacha nyie mpambane ...

Kwa iyo tunaeza ungana na Man utd na Arsenal kuienzi balimi..[emoji41][emoji41]

Mtapambana, kwa kipindi ambacho mpo UEFA Heineken inawahusu.
 
...najua nikiangusha tu hapa nikishtuka ni saa 11, dadeq! Nauchukia usiku wa kuamkia Jumatatu.

..nasikia huku post isiwe ndefu, wala comments zisiwe ndefu.[emoji23][emoji23]
nadhani asilimia kubwa tunaichukia kisa tangu tupo shule vile j tatu unakuta inaanza zamu ya ticha mkaliiiiii
 
Jumatatu nyingine hii, aaaaagggrr!! Basi tu....
 
Back
Top Bottom