Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

Wanabodi,
Kichwa cha habari cha bandiko hili kinajieleza wazi, hili likiwa ni bandiko la swali, kuwa Siku Zote Huwa Nailaumu Chadema Kuwa Hawajitambui na Hawajui Wanataka Nini!. Sasa Kesho Chadema Wanafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti, Swali ni Jee Sasa Chadema Wanajitambua?, Jee Wanajua Wanataka Nini?...

Katika Uchaguzi wa Kesho wa Mwenyekiti wa Chadema, Kama Chadema Wanajitambua, Watachagua Kuishi, Lakini Kama Bado Hawajitambui Kama Kawaida Yao, Watachagua Kifo!.
Swali ni Jee Chadema Kuchagua Kifo au Kuishi?. Tusubiri Hiyo Kesho Tuone...

Naanza Bandiko Hili na Declaration, Kisha Naleta Justification
Naomba kuanza kwa declaration of interest, mimi Paskali wa Jeiefu, sio mshabiki, mfuasi, au mwanachama wa chama chochote cha siasa, lengo la declaration hii ni kwa ajili ya manazi wa Chadema waliotamalaki humu JF, ambao ukichangia jambo lolote ambalo hawalipendi, watakushukia kwa kukubeza, kwa vile wewe sio Chadema, mambo ya Chadema, yanakuhusu nini?!, hivyo maneno kama "pilipili usioila inakuwashia nini?" hayawezi kukosekana. Naamini kuna Watanzania wengi kama mimi ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa, na kuna wanachama wa vyama vya siasa ambao wako very objective kwa maslahi ya taifa wakiwemo wana CCM ambao wangependa kuona, nchi yetu inapata credible opposition, kwa huku Bara, Chadema ndicho chama pekee kilichoonyesha angalau kinaweza, ila baada ya kutokea huyu game changer aliyabadili the political game, Chadema imeporomoka na baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kama Chadema hawatafanya the right thing now, they are going to be reduced to nothing. Chadema ikifa, sio hasara kwa Chadema na wanachama wa Chadema tuu, ni hasara kwa Taifa na Watanzania kwa ujumla kwa nchi kurejea chini ya mfumo wa chama kimoja which is not good at all kwa majaaliwa ya mustakabali wa taifa letu.

Justification
Kuna justification kubwa moja kwa mtu ambaye sio Chadema kujadili mambo ya Chadema. Chadema kwa vile ni chama cha siasa na kina wanachama, kuna watu wanadhani Chadema ni private party, interms of usajili na kujiunga hivyo ni mali ya wanachama na viongozi wao pekee, no!, Chadema is a public party, nichama cha umma wa Watanzania, na kinaendeshwa kwa kugharimiwa na tax payers money, hivyo ni public party, kwenye kitu kinachoitwa "private property no right to trespass", hii maana yaye ni mali ya mtu binafsi ina kinga ya kisheria ya kutoingiliwa, na hata katika mienendo na maisha binafsi ya watu wakiwemo viongozi, kuna kinga ya kifaragha, "the right to privacy" ambayo haipaswi kuingiliwa, lakini mtu yoyote, au taasisi yoyote inayolipwa with tax payers money, inapoteza hizo kinga zote mbili za private propery na the right to privacy, the tax payers have all the rights to know the public as well as the private conduct of such entity maana nikodi zao!. Kwa vile Chadema kinaendeshwa kwa ruzuku, hiyo ruzuku ni fedha yako, fedha yangu na fedha yetu as public, hivyo we have all the rights, kujua kila kitu kuhusu Chadema na kutoa maoni yoyote kuhusu Chadema, na ndio maana hesabu za Chadema, zinakaguliwa na CAG.

Hoja za Bandiko hili
Japo Chadema wenyewe hawajikubali na kuukubali ukweli kuwa Chadema hapa kilipofika kama chama kikuu cha upinzani kiko stagnant na graph yake imeanza kushuka kwa kasi ambapo viongozi na wanachama wake wanaojitambua, they are doing the right thing, wengine wanasubiri tuu Bunge livunjwe nao waamue, hivyo wana Chadema kindakindaki wenye misimamo thabiti, walioamua kuifia Chadema, itawabidi wajitambue "Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui, Sijui Sasa Kama Wanajitambua, Hebu na Tusubiri Tuone!".

Hitimisho
Kwanini Mwambe na Sio Mbowe?.
Nanalizia kwa kusisitiza, Mhe. Mbowe hana tatizo lolote bali amefikia point of his optimum, mwisho wa uwezo wake, he can not do anything more than what he can or what he did due to over staying na kuwa over saturated to the point of saturated solution that can take no more that it can, ila pia naelewa mapenzi ya Watanzania kwa viongozi wao, hata Nyerere asingengatuka mwenyewe ile 1985 hakuna mtu angethubutu kumwambia mzee pumzika, hivyo inawezekana wana Chadema bado wana mapenzi makubwa sana na Mhe. Mbowe, kwenye mustakabali wa uhai, survival na sustainability ya chama, wasiangalie mapenzi, waangalie uwezo, ability na capabilities.

Politics is science, inafuata principles of political science, Mbowe alipokea Chadema kikiwa ni chama cha kiharakati, alipaswa aki transform kugeuka chama tawala in waiting. Serikali Kivuli ni government in waiting, ilipaswa kila Waziri akifanya jambo fulani, waziri kivuli ana counters kwa kueleza how wrong the government is wangekuwa Chadema wangefanya nini tofauti but serikali kivuli ya Chadema utaisikia tuu Bungeni but its like it doesn't exist nje ya Bunge.

Namfahamu vizuri Mwambe, huyu sio mwanaharakati ni strategist, baada ya Chadema kumpoteza Prof. Kitila Mkumbo, na ZZK, kiukweli kabisa Chadema is totally empty in terms of strategists, hivyo Mwambe ata i transform Chadema kutoka chama cha kiharakati kukigeuza chama tawala in waiting. Japo umaarufu wa Chadema ni ule uanaharakati wake, chama cha kiharakati kazi yake ni harakati tuu, hakiwezi kwenda Ikulu unless na sisi tufanyie majaribio ikulu yetu!.

You can just imagine kama Chadema hii tunayoiona sasa ndio ingepewa nchi ile 2015, hali ingekuwaje?!, si ingekuwa disastrous, thanks God angalizo hili, limesaidia

Namalizia Kwa Lile Lile Swali la Msingi, Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui!...Then Watamchagua Tena Mhe. Mbowe. Swali Jee Chadema Sasa Wanajitambua na Kujua Wanataka Nini?Au Bado Hawajimbui?,

Tusubiri Tuone!.

Nawatakia Wana Chadema, Uchaguzi Mwema wa Kuchagua Ama Kuendelea Kuishi Ama Kifo!.

Paskali
Kojoa ukalale. Njaa mbaya. Ndio maana unaitwa Mayala
 
Kwan undhan hajui alitendalo?huyu yawezekana.kuna mawili mosi sababu ya kabla lake pendwa au din yake.pendwa
Ndugu Paskali,
Baada ya kusoma bandiko lako hili, ndio umedhihirisha zaidi tuhuma dhidi yako kwamba kuna kitu unatafuta kutoka utawala wa awamu ya tano. niseme ukweli tu kwamba bandiko lako HALINA VIWANGO.
Aina ya hoja uliyojenga, kuwaambia CHADEMA wamchague fulani na fulani wamuache, ni hoja ya hatari ambayo inatakiwa mtu akanyage kwa tahadhari kubwa. kwa kawaida watu waungwana huwa hawatoi kabisa ushauri wa aina hiyo. hata kama wanataka kusema mchagueni fulani, hawatasema hivyo moja kwa moja, bali watajenga hoja zenye nguvu na madhubuti, ili kuwashawishi wapiga kura, kwa hoja. na hata mtu anaposoma hoja kama hizo, huweza kucheka hapa na pale, lakini hasa ataheshimu mchango wako.

Sasa basi, kwa kuwa umeamua kuandika hivyo ulivyoandika, kuna njia ambazo ungeweza kutumia angalau watu wakakuelewa. unasema Mbowe amefikia kikomo katika utendaji wake. kwa hoja zipi? unasema chama kinakufa, je ni kweli kinakufa au ni mazingira ya kisiasa ya sasa hivi yalivyo?

Ukiangalia kihistoria, CCM na serikali yake huwa wana-target chama kikuu cha upinzani. Ilikuwa hivyo kwa NCCR, ambayo baada ya Lyatonga Mrema kujiunga nacho, kiliibuka kuwa chama kikubwa sana cha upinzani, na kutoa wabunge machachari, kama akina Masumbuko Lamwai. NCCR ilipigwa vita hadi ikawa dhaifu kama ilivyo leo. ikaibuka CUF. Hii nayo ilitamba bara na visiwani, hapo zaidi visiwani. nayo ikawa targeted. utasikia oohh, chama cha waislamu, nk. hatimaye kwa kumtumia Lipumba, CUF imeondoka rasmi katika orodha ya vyama vikuu vya upinzani, na bila shaka uchaguzi wa 2020 utahitimisha rasmi safari yao. ikaja CHADEMA. kule mwanzo serikali za CCM wala hazikuwa na shida na CHADEMA, ambao kwa mwaka 1995 na 2000 hawakusimamisha mgombea wa urais, bali walikuwa wanaunga mkono wagombea wa NCCR. CHADEMA walianza kusimamisha wagombea urais mwaka 2005 kwa kumsimamisha Mbowe mwenyewe. ilikuwa hapo CHADEMA ndiyo ikaanza kupaa. kila uchaguzi CHADEMA kimejiongozea idadi ya wabunge, madiwani nk. na hatimaye kuibuka kuwa chama kikuu cha upinzani. hapo ndipo serikali ya CCM imei-target CHADEMA. sasa hivi kelele zote zinaelelekezwa CHADEMA.

Mara kadhaa viongozi mbalimbali wametangaza kifo cha CHADEMA. walikuwepo akina Steven Wasira, na hatimaye Rais Magufuli mwenyewe ambaye aliahidi kuua vyama vyote vya upinzani kufikia 2020. Na katika wote hao, Magufuli ametumia mamlaka yake kwa kiasi kikubwa ili kuvikandamiza vyama vya upinzani. Kwa hiyo kwa kuweza kuhakikisha CHADEMA iko hai na inaweza kufanya chaguzi zake, na hata akina Cecil Mwambe wakagombea katika mazingira kama haya, ni jambo kubwa.

Unasema unamfahamu Mwambe. unamfahamu vipi? yaani tukuamini tu wewe kwamba madhali unamfahamu kwamba ni strategist mzuri, basi? kafanya nini mpaka hivi sasa? Mbowe tunamfahamu, mazuri yake na madhaifu yake. Mwambe je? Ulitakiwa uorodheshe yapi kayafanya, ili kuwashawishi wajumbe wa CHADEMA.

Hivyo kwa kutamka tu ulivyotamka, hujajitendea haki wewe mwenyewe kama mwanahabari mkongwe.

Lakini kuna hili la UANAHARAKATI. Hizi ni Propaganda za CCM. wanachora ramani chama cha siasa kinatakiwa kiwe vipi. Ebo! Hivi kwanza CCM ni chama cha siasa? kilishakufa siku nyingi mbona? ni kikundi tu fulani kinachotumia dola kutawala. hata wanaCCM wenyewe washajichokea. na ndio maana CCM inaweza kuendesha vioja kama huo unaoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa. Na mwenyekiti wao anajipongeza kabisa akiwaambia HONGERENI KWA USHINDI!!!

Chama cha upinzani kinatakiwa kupambana muda wote. lakini tukumbuke pia kwamba nguvu za vyama vya upinzani zinatokana na utayari wa watanzania kuvitetea vyama hivi na kuvilinda. wakiwaachia viongozi tu siyo haki. CHADEMA hawana dola ya kuegemea, kama wanavyofanya CCM. wao wana support ya wananchi tu basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ya chadema ndiyo tatizo la serikali ya Tz.........Chadema bado haijatengenezwa kama taasisi imara ambayo hata asipokuwepo fulani inaweza kujiendesha bila shida,Ni kama tunavyo msikia Jpm akisema haya ninayofanya nikiondoka yatafanyika kweli.

Shida ya Chadema haijajengwa kama taasisi
 
Ndugu Paskali,

Ukiangalia kihistoria, CCM na serikali yake huwa wana-target chama kikuu cha upinzani. Ilikuwa hivyo kwa NCCR, ambayo baada ya Lyatonga Mrema kujiunga nacho, kiliibuka kuwa chama kikubwa sana cha upinzani, na kutoa wabunge machachari, kama akina Masumbuko Lamwai. NCCR ilipigwa vita hadi ikawa dhaifu kama ilivyo leo. ikaibuka CUF. Hii nayo ilitamba bara na visiwani, hapo zaidi visiwani. nayo ikawa targeted. utasikia oohh, chama cha waislamu, nk. hatimaye kwa kumtumia Lipumba, CUF imeondoka rasmi katika orodha ya vyama vikuu vya upinzani, na bila shaka uchaguzi wa 2020 utahitimisha rasmi safari yao. ikaja CHADEMA. kule mwanzo serikali za CCM wala hazikuwa na shida na CHADEMA, ambao kwa mwaka 1995 na 2000 hawakusimamisha mgombea wa urais, bali walikuwa wanaunga mkono wagombea wa NCCR. CHADEMA walianza kusimamisha wagombea urais mwaka 2005 kwa kumsimamisha Mbowe mwenyewe. ilikuwa hapo CHADEMA ndiyo ikaanza kupaa. kila uchaguzi CHADEMA kimejiongozea idadi ya wabunge, madiwani nk. na hatimaye kuibuka kuwa chama kikuu cha upinzani. hapo ndipo serikali ya CCM imei-target CHADEMA. sasa hivi kelele zote zinaelelekezwa CHADEMA.
I'm learning something here and try to compare notes.

Thanks.
P
 
Tangu awamu hii iingie madarakani tumeshuhudia jinsi CDM in particular, inavyoandamwa, viongozi karibu wote wana kesi za ajabu ajabu mahakamani, wamewekwa rumande na kunyimwa dhamana kwa sababu ambazo hata mahakama ilishangaa, mikutano imezuiliwa, wengine wamenusurika kuuawa na wengine kuuliwa kabisa. Katika hali kama hii ingekuwa maajabu kama CDM au upinzani kwa ujumla wasingetikisika. Nashaanga Paskali kushangaa CDM kuonekana kuyumba huku ukijua tatizo liko wapi. CDM wanaweza kufanya mabadiliko ya uongozi wa juu, lakini umakini mkubwa unahitajika.
 
Wanabodi,
Kichwa cha habari cha bandiko hili kinajieleza wazi, hili likiwa ni bandiko la swali, kuwa Siku Zote Huwa Nailaumu Chadema Kuwa Hawajitambui na Hawajui Wanataka Nini!. Sasa Kesho Chadema Wanafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti, Swali ni Jee Sasa Chadema Wanajitambua?, Jee Wanajua Wanataka Nini?...

Katika Uchaguzi wa Kesho wa Mwenyekiti wa Chadema, Kama Chadema Wanajitambua, Watachagua Kuishi, Lakini Kama Bado Hawajitambui Kama Kawaida Yao, Watachagua Kifo!.
Swali ni Jee Chadema Kuchagua Kifo au Kuishi?. Tusubiri Hiyo Kesho Tuone...

Naanza Bandiko Hili na Declaration, Kisha Naleta Justification
Naomba kuanza kwa declaration of interest, mimi Paskali wa Jeiefu, sio mshabiki, mfuasi, au mwanachama wa chama chochote cha siasa, lengo la declaration hii ni kwa ajili ya manazi wa Chadema waliotamalaki humu JF, ambao ukichangia jambo lolote ambalo hawalipendi, watakushukia kwa kukubeza, kwa vile wewe sio Chadema, mambo ya Chadema, yanakuhusu nini?!, hivyo maneno kama "pilipili usioila inakuwashia nini?" hayawezi kukosekana. Naamini kuna Watanzania wengi kama mimi ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa, na kuna wanachama wa vyama vya siasa ambao wako very objective kwa maslahi ya taifa wakiwemo wana CCM ambao wangependa kuona, nchi yetu inapata credible opposition, kwa huku Bara, Chadema ndicho chama pekee kilichoonyesha angalau kinaweza, ila baada ya kutokea huyu game changer aliyabadili the political game, Chadema imeporomoka na baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kama Chadema hawatafanya the right thing now, they are going to be reduced to nothing. Chadema ikifa, sio hasara kwa Chadema na wanachama wa Chadema tuu, ni hasara kwa Taifa na Watanzania kwa ujumla kwa nchi kurejea chini ya mfumo wa chama kimoja which is not good at all kwa majaaliwa ya mustakabali wa taifa letu.

Justification
Kuna justification kubwa moja kwa mtu ambaye sio Chadema kujadili mambo ya Chadema. Chadema kwa vile ni chama cha siasa na kina wanachama, kuna watu wanadhani Chadema ni private party, interms of usajili na kujiunga hivyo ni mali ya wanachama na viongozi wao pekee, no!, Chadema is a public party, nichama cha umma wa Watanzania, na kinaendeshwa kwa kugharimiwa na tax payers money, hivyo ni public party, kwenye kitu kinachoitwa "private property no right to trespass", hii maana yaye ni mali ya mtu binafsi ina kinga ya kisheria ya kutoingiliwa, na hata katika mienendo na maisha binafsi ya watu wakiwemo viongozi, kuna kinga ya kifaragha, "the right to privacy" ambayo haipaswi kuingiliwa, lakini mtu yoyote, au taasisi yoyote inayolipwa with tax payers money, inapoteza hizo kinga zote mbili za private propery na the right to privacy, the tax payers have all the rights to know the public as well as the private conduct of such entity maana nikodi zao!. Kwa vile Chadema kinaendeshwa kwa ruzuku, hiyo ruzuku ni fedha yako, fedha yangu na fedha yetu as public, hivyo we have all the rights, kujua kila kitu kuhusu Chadema na kutoa maoni yoyote kuhusu Chadema, na ndio maana hesabu za Chadema, zinakaguliwa na CAG.

Hoja za Bandiko hili
Japo Chadema wenyewe hawajikubali na kuukubali ukweli kuwa Chadema hapa kilipofika kama chama kikuu cha upinzani kiko stagnant na graph yake imeanza kushuka kwa kasi ambapo viongozi na wanachama wake wanaojitambua, they are doing the right thing, wengine wanasubiri tuu Bunge livunjwe nao waamue, hivyo wana Chadema kindakindaki wenye misimamo thabiti, walioamua kuifia Chadema, itawabidi wajitambue "Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui, Sijui Sasa Kama Wanajitambua, Hebu na Tusubiri Tuone!".

Hitimisho
Kwanini Mwambe na Sio Mbowe?.
Nanalizia kwa kusisitiza, Mhe. Mbowe hana tatizo lolote bali amefikia point of his optimum, mwisho wa uwezo wake, he can not do anything more than what he can or what he did due to over staying na kuwa over saturated to the point of saturated solution that can take no more that it can, ila pia naelewa mapenzi ya Watanzania kwa viongozi wao, hata Nyerere asingengatuka mwenyewe ile 1985 hakuna mtu angethubutu kumwambia mzee pumzika, hivyo inawezekana wana Chadema bado wana mapenzi makubwa sana na Mhe. Mbowe, kwenye mustakabali wa uhai, survival na sustainability ya chama, wasiangalie mapenzi, waangalie uwezo, ability na capabilities.

Politics is science, inafuata principles of political science, Mbowe alipokea Chadema kikiwa ni chama cha kiharakati, alipaswa aki transform kugeuka chama tawala in waiting. Serikali Kivuli ni government in waiting, ilipaswa kila Waziri akifanya jambo fulani, waziri kivuli ana counters kwa kueleza how wrong the government is wangekuwa Chadema wangefanya nini tofauti but serikali kivuli ya Chadema utaisikia tuu Bungeni but its like it doesn't exist nje ya Bunge.

Namfahamu vizuri Mwambe, huyu sio mwanaharakati ni strategist, baada ya Chadema kumpoteza Prof. Kitila Mkumbo, na ZZK, kiukweli kabisa Chadema is totally empty in terms of strategists, hivyo Mwambe ata i transform Chadema kutoka chama cha kiharakati kukigeuza chama tawala in waiting. Japo umaarufu wa Chadema ni ule uanaharakati wake, chama cha kiharakati kazi yake ni harakati tuu, hakiwezi kwenda Ikulu unless na sisi tufanyie majaribio ikulu yetu!.

You can just imagine kama Chadema hii tunayoiona sasa ndio ingepewa nchi ile 2015, hali ingekuwaje?!, si ingekuwa disastrous, thanks God angalizo hili, limesaidia

Namalizia Kwa Lile Lile Swali la Msingi, Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui!...Then Watamchagua Tena Mhe. Mbowe. Swali Jee Chadema Sasa Wanajitambua na Kujua Wanataka Nini?Au Bado Hawajimbui?,

Tusubiri Tuone!.

Nawatakia Wana Chadema, Uchaguzi Mwema wa Kuchagua Ama Kuendelea Kuishi Ama Kifo!.

Paskali


Mbowe angesimamishwa na LEMA AU LISSU

Mwambe ni garasa tu

lengo wampe Mbowe

Pia mwambe hajaoa kwa mtei.period
 
Wanabodi,
Kichwa cha habari cha bandiko hili kinajieleza wazi, hili likiwa ni bandiko la swali, kuwa Siku Zote Huwa Nailaumu Chadema Kuwa Hawajitambui na Hawajui Wanataka Nini!. Sasa Kesho Chadema Wanafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti, Swali ni Jee Sasa Chadema Wanajitambua?, Jee Wanajua Wanataka Nini?...

Katika Uchaguzi wa Kesho wa Mwenyekiti wa Chadema, Kama Chadema Wanajitambua, Watachagua Kuishi, Lakini Kama Bado Hawajitambui Kama Kawaida Yao, Watachagua Kifo!.
Swali ni Jee Chadema Kuchagua Kifo au Kuishi?. Tusubiri Hiyo Kesho Tuone...

Naanza Bandiko Hili na Declaration, Kisha Naleta Justification
Naomba kuanza kwa declaration of interest, mimi Paskali wa Jeiefu, sio mshabiki, mfuasi, au mwanachama wa chama chochote cha siasa, lengo la declaration hii ni kwa ajili ya manazi wa Chadema waliotamalaki humu JF, ambao ukichangia jambo lolote ambalo hawalipendi, watakushukia kwa kukubeza, kwa vile wewe sio Chadema, mambo ya Chadema, yanakuhusu nini?!, hivyo maneno kama "pilipili usioila inakuwashia nini?" hayawezi kukosekana. Naamini kuna Watanzania wengi kama mimi ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa, na kuna wanachama wa vyama vya siasa ambao wako very objective kwa maslahi ya taifa wakiwemo wana CCM ambao wangependa kuona, nchi yetu inapata credible opposition, kwa huku Bara, Chadema ndicho chama pekee kilichoonyesha angalau kinaweza, ila baada ya kutokea huyu game changer aliyabadili the political game, Chadema imeporomoka na baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kama Chadema hawatafanya the right thing now, they are going to be reduced to nothing. Chadema ikifa, sio hasara kwa Chadema na wanachama wa Chadema tuu, ni hasara kwa Taifa na Watanzania kwa ujumla kwa nchi kurejea chini ya mfumo wa chama kimoja which is not good at all kwa majaaliwa ya mustakabali wa taifa letu.

Justification
Kuna justification kubwa moja kwa mtu ambaye sio Chadema kujadili mambo ya Chadema. Chadema kwa vile ni chama cha siasa na kina wanachama, kuna watu wanadhani Chadema ni private party, interms of usajili na kujiunga hivyo ni mali ya wanachama na viongozi wao pekee, no!, Chadema is a public party, nichama cha umma wa Watanzania, na kinaendeshwa kwa kugharimiwa na tax payers money, hivyo ni public party, kwenye kitu kinachoitwa "private property no right to trespass", hii maana yaye ni mali ya mtu binafsi ina kinga ya kisheria ya kutoingiliwa, na hata katika mienendo na maisha binafsi ya watu wakiwemo viongozi, kuna kinga ya kifaragha, "the right to privacy" ambayo haipaswi kuingiliwa, lakini mtu yoyote, au taasisi yoyote inayolipwa with tax payers money, inapoteza hizo kinga zote mbili za private propery na the right to privacy, the tax payers have all the rights to know the public as well as the private conduct of such entity maana nikodi zao!. Kwa vile Chadema kinaendeshwa kwa ruzuku, hiyo ruzuku ni fedha yako, fedha yangu na fedha yetu as public, hivyo we have all the rights, kujua kila kitu kuhusu Chadema na kutoa maoni yoyote kuhusu Chadema, na ndio maana hesabu za Chadema, zinakaguliwa na CAG.

Hoja za Bandiko hili
Japo Chadema wenyewe hawajikubali na kuukubali ukweli kuwa Chadema hapa kilipofika kama chama kikuu cha upinzani kiko stagnant na graph yake imeanza kushuka kwa kasi ambapo viongozi na wanachama wake wanaojitambua, they are doing the right thing, wengine wanasubiri tuu Bunge livunjwe nao waamue, hivyo wana Chadema kindakindaki wenye misimamo thabiti, walioamua kuifia Chadema, itawabidi wajitambue "Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui, Sijui Sasa Kama Wanajitambua, Hebu na Tusubiri Tuone!".

Hitimisho
Kwanini Mwambe na Sio Mbowe?.
Nanalizia kwa kusisitiza, Mhe. Mbowe hana tatizo lolote bali amefikia point of his optimum, mwisho wa uwezo wake, he can not do anything more than what he can or what he did due to over staying na kuwa over saturated to the point of saturated solution that can take no more that it can, ila pia naelewa mapenzi ya Watanzania kwa viongozi wao, hata Nyerere asingengatuka mwenyewe ile 1985 hakuna mtu angethubutu kumwambia mzee pumzika, hivyo inawezekana wana Chadema bado wana mapenzi makubwa sana na Mhe. Mbowe, kwenye mustakabali wa uhai, survival na sustainability ya chama, wasiangalie mapenzi, waangalie uwezo, ability na capabilities.

Politics is science, inafuata principles of political science, Mbowe alipokea Chadema kikiwa ni chama cha kiharakati, alipaswa aki transform kugeuka chama tawala in waiting. Serikali Kivuli ni government in waiting, ilipaswa kila Waziri akifanya jambo fulani, waziri kivuli ana counters kwa kueleza how wrong the government is wangekuwa Chadema wangefanya nini tofauti but serikali kivuli ya Chadema utaisikia tuu Bungeni but its like it doesn't exist nje ya Bunge.

Namfahamu vizuri Mwambe, huyu sio mwanaharakati ni strategist, baada ya Chadema kumpoteza Prof. Kitila Mkumbo, na ZZK, kiukweli kabisa Chadema is totally empty in terms of strategists, hivyo Mwambe ata i transform Chadema kutoka chama cha kiharakati kukigeuza chama tawala in waiting. Japo umaarufu wa Chadema ni ule uanaharakati wake, chama cha kiharakati kazi yake ni harakati tuu, hakiwezi kwenda Ikulu unless na sisi tufanyie majaribio ikulu yetu!.

You can just imagine kama Chadema hii tunayoiona sasa ndio ingepewa nchi ile 2015, hali ingekuwaje?!, si ingekuwa disastrous, thanks God angalizo hili, limesaidia

Namalizia Kwa Lile Lile Swali la Msingi, Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui!...Then Watamchagua Tena Mhe. Mbowe. Swali Jee Chadema Sasa Wanajitambua na Kujua Wanataka Nini?Au Bado Hawajimbui?,

Tusubiri Tuone!.

Nawatakia Wana Chadema, Uchaguzi Mwema wa Kuchagua Ama Kuendelea Kuishi Ama Kifo!.

Paskali

Paskali,
Ukweli ni kwamba ulichoongea hapa ni pumba.uongo,unafiki na uzandiki ambao hauna tija yoyote kwa CHADEMA na Wanachadema kwa ujumla wao.
Let me say this to you: Paskali wewe ni mnafiki na hujawahi kuwa mpenzi wala mwanachama wa CHADEMA. Kama kuna siku utajiunga na CHADEMA basi wewe utakuwa ni PANDIKIZI sawa na kina Lowassa,Sumaye au Kitila Mkumbo.
Kauli zako, misemo na mabandiko yako hapa Jeiefu yana dhihirisha uongo na unafiki wako kuhusu CHADEMA.

Kwa bandiko lako hili kuelekea Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA wewe unaonekana kabisa unataka Mhe. Mbowe asichaguliwe tena...!!!Hivi kwa akili yako unafikiri Cecil Mwambe anaweza kuiongoza CHADEMA kwa udhaifu alionao?Katika kipindi hiki ambacho kuna Utawala wa Rais Magufuli ambaye kwa kila dalili anaonekana ana chuki na Wapinzani na hasa CHADEMA mtu kama Mwambe hawezi kukabiliana na Magufuli...!!!

Mhe. Mbowe amedhihirisha kuwa ni kiongozi wa mfano na ana uwezo wa kuimudu mikiki mikiki ya Magufuli na ndiyo maana juzi kwenye Sherehe za Uhuru/Jamhuri kamwambia Magufuli point black kuwa umefika wakti sasa ni lazima Magufuli akubali kukaa meza moja na Upinzani ili kuleta mwafaka na mustakabali wa Taifa letu...!!!

Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu anaona nini kinachoendelea kuhusu Uchaguzi wa Viongozi wa Juu wa CDM. Mbowe anapigwa vita kutokea CCM na mapandikizi yaliyoko ndani. Mbowe amedhihirisha kuwa ni Kiongozi Makini, Mweledi, Mwerevu na bora sana kwa nyakati zote za Siasa za Upinzani. Mbowe ndiye Kiongozi tishio kwa Utawala wa JPM na CCM.
Kila mbinu zinafanywa kuhakikisha Mbowe hachaguliwi tena kuiongoza CDM.....!!!Hilo ni kosa kubwa sana CCM na wachukia CDM wanalofanya....!!!

Hivi Mbowe akiendelea kuiongoza CHADEMA hata kwa miongo 2 au 3 kuna shida gani? Mbona CCM kuna Viongozi wakubwa kabisa wanataka MAGUFULI AONGEZEWE MIAKA MINGINE 5,10 au AWE WA MAISHA moja kwa moja?
Lakini wana CDM wakisema wanataka Mbowe aendelee kelele zinakuwa nyingi sana.....???Tatizo nini? Mbona CCM mmeendelea kutawala kwa miaka yote hii 25 tangu tuanze mfumo wa vyama vingi(1995-2020)? Kama ni swala la kung'ang'ania madaraka mbona CCM hamlioni upande wenu?

Pasi-kali acha DEMOKRASIA itamalaki ndani ya CHADEMA. Usitake kuwalisha wana CDM matango pori kwa kutaka Cecil Mwambe awe Kiongozi wa CDM mtu ambaye nina hakika ataishia kuji-MWAMBEFY tu!!
 
Mtoa mada ungelifanyia hili jukwaa haki kama ungewashauri hao ccm wenu wajifunze kuheshimu demokrasia na kuacha kujificha kwenye mgongo wa polisi na wasiojulikana kukandamiza vyama vingine.

Kama ni kushauri, basi ushauri wako ulipashwa uuelekeze huko ccm make ndicho chama kilichobaki kutegemea dola ili iendelee kuwepo. Bure kabisa.
 
Mtoa mada ungelifanyia hili jukwaa haki kama ungewashauri hao ccm wenu wajifunze kuheshimu demokrasia na kuacha kujifinya kwenye mgongo wa polisi na wasiojulikana kukandamiza vyama vingine.

Kama ni kushauri, basi ushauri wako ulipashwa uuelekeze huko ccm make ndicho chama kilichobaki kutegemea dola ili iendelee kuwepo. Bure kabisa.

Wewe kuku mgeni?

Mbona anasema hayo kila siku?

Mswahili wewe!!!!
 
Wanabodi,
Kichwa cha habari cha bandiko hili kinajieleza wazi, hili likiwa ni bandiko la swali, kuwa Siku Zote Huwa Nailaumu Chadema Kuwa Hawajitambui na Hawajui Wanataka Nini!. Sasa Kesho Chadema Wanafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti, Swali ni Jee Sasa Chadema Wanajitambua?, Jee Wanajua Wanataka Nini?...

Katika Uchaguzi wa Kesho wa Mwenyekiti wa Chadema, Kama Chadema Wanajitambua, Watachagua Kuishi, Lakini Kama Bado Hawajitambui Kama Kawaida Yao, Watachagua Kifo!.
Swali ni Jee Chadema Kuchagua Kifo au Kuishi?. Tusubiri Hiyo Kesho Tuone...

Naanza Bandiko Hili na Declaration, Kisha Naleta Justification
Naomba kuanza kwa declaration of interest, mimi Paskali wa Jeiefu, sio mshabiki, mfuasi, au mwanachama wa chama chochote cha siasa, lengo la declaration hii ni kwa ajili ya manazi wa Chadema waliotamalaki humu JF, ambao ukichangia jambo lolote ambalo hawalipendi, watakushukia kwa kukubeza, kwa vile wewe sio Chadema, mambo ya Chadema, yanakuhusu nini?!, hivyo maneno kama "pilipili usioila inakuwashia nini?" hayawezi kukosekana. Naamini kuna Watanzania wengi kama mimi ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa, na kuna wanachama wa vyama vya siasa ambao wako very objective kwa maslahi ya taifa wakiwemo wana CCM ambao wangependa kuona, nchi yetu inapata credible opposition, kwa huku Bara, Chadema ndicho chama pekee kilichoonyesha angalau kinaweza, ila baada ya kutokea huyu game changer aliyabadili the political game, Chadema imeporomoka na baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kama Chadema hawatafanya the right thing now, they are going to be reduced to nothing. Chadema ikifa, sio hasara kwa Chadema na wanachama wa Chadema tuu, ni hasara kwa Taifa na Watanzania kwa ujumla kwa nchi kurejea chini ya mfumo wa chama kimoja which is not good at all kwa majaaliwa ya mustakabali wa taifa letu.

Justification
Kuna justification kubwa moja kwa mtu ambaye sio Chadema kujadili mambo ya Chadema. Chadema kwa vile ni chama cha siasa na kina wanachama, kuna watu wanadhani Chadema ni private party, interms of usajili na kujiunga hivyo ni mali ya wanachama na viongozi wao pekee, no!, Chadema is a public party, nichama cha umma wa Watanzania, na kinaendeshwa kwa kugharimiwa na tax payers money, hivyo ni public party, kwenye kitu kinachoitwa "private property no right to trespass", hii maana yaye ni mali ya mtu binafsi ina kinga ya kisheria ya kutoingiliwa, na hata katika mienendo na maisha binafsi ya watu wakiwemo viongozi, kuna kinga ya kifaragha, "the right to privacy" ambayo haipaswi kuingiliwa, lakini mtu yoyote, au taasisi yoyote inayolipwa with tax payers money, inapoteza hizo kinga zote mbili za private propery na the right to privacy, the tax payers have all the rights to know the public as well as the private conduct of such entity maana nikodi zao!. Kwa vile Chadema kinaendeshwa kwa ruzuku, hiyo ruzuku ni fedha yako, fedha yangu na fedha yetu as public, hivyo we have all the rights, kujua kila kitu kuhusu Chadema na kutoa maoni yoyote kuhusu Chadema, na ndio maana hesabu za Chadema, zinakaguliwa na CAG.

Hoja za Bandiko hili
Japo Chadema wenyewe hawajikubali na kuukubali ukweli kuwa Chadema hapa kilipofika kama chama kikuu cha upinzani kiko stagnant na graph yake imeanza kushuka kwa kasi ambapo viongozi na wanachama wake wanaojitambua, they are doing the right thing, wengine wanasubiri tuu Bunge livunjwe nao waamue, hivyo wana Chadema kindakindaki wenye misimamo thabiti, walioamua kuifia Chadema, itawabidi wajitambue "Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui, Sijui Sasa Kama Wanajitambua, Hebu na Tusubiri Tuone!".

Hitimisho
Kwanini Mwambe na Sio Mbowe?.
Nanalizia kwa kusisitiza, Mhe. Mbowe hana tatizo lolote bali amefikia point of his optimum, mwisho wa uwezo wake, he can not do anything more than what he can or what he did due to over staying na kuwa over saturated to the point of saturated solution that can take no more that it can, ila pia naelewa mapenzi ya Watanzania kwa viongozi wao, hata Nyerere asingengatuka mwenyewe ile 1985 hakuna mtu angethubutu kumwambia mzee pumzika, hivyo inawezekana wana Chadema bado wana mapenzi makubwa sana na Mhe. Mbowe, kwenye mustakabali wa uhai, survival na sustainability ya chama, wasiangalie mapenzi, waangalie uwezo, ability na capabilities.

Politics is science, inafuata principles of political science, Mbowe alipokea Chadema kikiwa ni chama cha kiharakati, alipaswa aki transform kugeuka chama tawala in waiting. Serikali Kivuli ni government in waiting, ilipaswa kila Waziri akifanya jambo fulani, waziri kivuli ana counters kwa kueleza how wrong the government is wangekuwa Chadema wangefanya nini tofauti but serikali kivuli ya Chadema utaisikia tuu Bungeni but its like it doesn't exist nje ya Bunge.

Namfahamu vizuri Mwambe, huyu sio mwanaharakati ni strategist, baada ya Chadema kumpoteza Prof. Kitila Mkumbo, na ZZK, kiukweli kabisa Chadema is totally empty in terms of strategists, hivyo Mwambe ata i transform Chadema kutoka chama cha kiharakati kukigeuza chama tawala in waiting. Japo umaarufu wa Chadema ni ule uanaharakati wake, chama cha kiharakati kazi yake ni harakati tuu, hakiwezi kwenda Ikulu unless na sisi tufanyie majaribio ikulu yetu!.

You can just imagine kama Chadema hii tunayoiona sasa ndio ingepewa nchi ile 2015, hali ingekuwaje?!, si ingekuwa disastrous, thanks God angalizo hili, limesaidia

Namalizia Kwa Lile Lile Swali la Msingi, Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui!...Then Watamchagua Tena Mhe. Mbowe. Swali Jee Chadema Sasa Wanajitambua na Kujua Wanataka Nini?Au Bado Hawajimbui?,

Tusubiri Tuone!.

Nawatakia Wana Chadema, Uchaguzi Mwema wa Kuchagua Ama Kuendelea Kuishi Ama Kifo!.

Paskali


Mimi kwa mawazo yangu sasa naona Chadema wanajua kabisa wanataka nini. Ukiangalia vizuri Mbowe hana zile sifa za viongozi kuwa wasomi sana lakini ana vitu viwili vikubwa ambavyo Chadema ndiyo wanahitaji na ndiyo maana CCM itachukuwa muda sana kuelewa hili. Lissu pekee ndiye ameonekama yuko kama Mbowe kwa hayo hapo

1. Mbowe ni jasiri sana: Nitafutie kiongozi wa CCM ambaye amekaa jela hata week end moja na angalia makesi ya kusingiziwa ya mbowe yalivyo mengi.
2. Mbowe ana amini anachokisema. Hata kama anakosema Watanzania wanaheshimu watu wanaojiamini. Magu naye anajiamini hivyo watu wanajua hasemi au kufanya kwa siasa tu.
 
Back
Top Bottom