Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Pascal alichofanya ni akili ya juu mno katika kujaribu kuasa wapiga kura.
Jee wapiga kura watakuwa hawajitambui na kuona kuwa katika mitikisiko ya kukiua chama hakikufa? Nani alipambana kisife wakati huo hadi sasa?
Na jee huyu mgeni ndani ya chama wa chini ya miaka 4 iweje aje na kufikiria kuwa yeye anauwezo wa kukamata nafasi ya juu kabisa ili kukiponya chama chake kipya dhidi ya chama chske cha zamani ambacho majuzi mwenyekiti wake amesema Mwambe anakipenda sana na alifanyiwa mizengwe tuu akaondoka?
Ni sawa na unataka kuoa mke aliyemuacha mumewe sio kwa vile hampendi bali gubu la mawifi ndio limemuondoa huko. Akikutana na mumewe wa zamani chocho basi ni mahaba "kama yote"
Andiko kuna walio lipokea tofauti kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jee wapiga kura watakuwa hawajitambui na kuona kuwa katika mitikisiko ya kukiua chama hakikufa? Nani alipambana kisife wakati huo hadi sasa?
Na jee huyu mgeni ndani ya chama wa chini ya miaka 4 iweje aje na kufikiria kuwa yeye anauwezo wa kukamata nafasi ya juu kabisa ili kukiponya chama chake kipya dhidi ya chama chske cha zamani ambacho majuzi mwenyekiti wake amesema Mwambe anakipenda sana na alifanyiwa mizengwe tuu akaondoka?
Ni sawa na unataka kuoa mke aliyemuacha mumewe sio kwa vile hampendi bali gubu la mawifi ndio limemuondoa huko. Akikutana na mumewe wa zamani chocho basi ni mahaba "kama yote"
Andiko kuna walio lipokea tofauti kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app