Naingia chimbo hadi kesho asubuhi waliomuua Martha watajulikana kwasababu ya huu ushahidi mmoja tu

Naingia chimbo hadi kesho asubuhi waliomuua Martha watajulikana kwasababu ya huu ushahidi mmoja tu

Itategemea na ukubwa wa memory card na setting ya quality ya picha.

Unaweza kuta hiyo dashcam inachukua video za mbele ya gari, nyuma ya gari na pia ndani ya gari na baada ya masaa 48 zile video zaidi ya masaa 48 zinakuwa zinafutika.
 
Nimewaza, nimewazaaa, nikawaza tenaaaa au huyu dada alikuwa mchepuko wa mtu ambaye wamesumbuana na mkewe saabu ya Martha pis kali akaamua amtoe kabisa
Siri nzito lkn ukweli mdogo utajulikana
 
Na akaonywa lakini akakaidi...
Mapenzi yanauma vibbayaa vibbayaaa acheni....nimewaza tuu juu ya Martha kuwa mchepuko wa mtu kama ni mali basi labda walikuwa na conflict of interest na ndugu zake wameamua kuondoa giza mbele yao watimize azma yao
 
kwa maeleznd yako aidha haumiliki silaha au unaitumia kimakosa SANA jambo ambalo sidhani kama mtu alieaminiwa kumiliki anaweza kufanya.

unapigaje risasi kwa kusikia tu sauti ?! Bila kujua chanzo, na hicho chanzo kina hatari kiasi gani, na hata clear target haujaipata ?!! Aisee jf kiboko
Ànafurahisha genge.
 
Mapenzi yanauma vibbayaa vibbayaaa acheni....nimewaza tuu juu ya Martha kuwa mchepuko wa mtu kama ni mali basi labda walikuwa na conflict of interest na ndugu zake wameamua kuondoa giza mbele yao watimize azma yao
Yule alikuwa mfanyakazi Bank. Kuna rumours aliwapiga sana wana kwenye akaunti zao... Sasa walipomvalia njuga akaacha kazi akarudi Kibaha kwa baba yake.... Wana wakamfungia safari...

Hizi ni rumours tu lakini. Matukio kama haya kila mtu husema lake
 
Yule alikuwa mfanyakazi Bank. Kuna rumours aliwapiga sana wana kwenye akaunti zao... Sasa walipomvalia njuga akaacha kazi akarudi Kibaha kwa baba yake.... Wana wakamfungia safari...

Hizi ni rumours tu lakini. Matukio kama haya kila mtu husema lake
Oohoooo pia niliwaza jambo hilo na kahama ni mji wenye wafanyabiashara wa madini.....ila nawaza pia kama Mshana Jr alivyosema watakaokuwa wametekeleza haya ni wenyeji wa eneo la kibaha sio wageni kutoka mbali
 
Oohoooo pia niliwaza jambo hilo na kahama ni mji wenye wafanyabiashara wa madini.....ila nawaza pia kama Mshana Jr alivyosema watakaokuwa wametekeleza haya ni wenyeji wa eneo la kibaha sio wageni kutoka mbali
Unadhani watakosa connection? Mwana anatoka Kahama anajikalia zake hapo Tumbi akitafuta watu wa kumfanyia kazi. Wanafanya mambo anawalipa anarudi zake machimboni...

Hili la kuacha kazi ghafla, na mauaji yakafanyika ndani ya mwezi mmoja baada ya kuacha kazi, haliwaondoi wazee wa Kahama kama suspects
 
martha yupi jamani? nina muda kidogo sijaingia jf wala sijaangalia taarifa za habari
 
Back
Top Bottom