Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Uko vizuri.. Sana tuUnadhani watakosa connection? Mwana anatoka Kahama anajikalia zake hapo Tumbi akitafuta watu wa kumfanyia kazi. Wanafanya mambo anawalipa anarudi zake machimboni...
Hili la kuacha kazi ghafla, na mauaji yakafanyika ndani ya mwezi mmoja baada ya kuacha kazi, haliwaondoi wazee wa Kahama kama suspects