Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
waseme nini wakati nao wanalamba asali kwa sasa? jamaa wanafiq sana.Kwa sasa mauaji yameongezeka zaidi lakini kamwe hutosikia wapinzani uchwara wakisema, ndio maana mimi niko na mzee wangu Rungwe Spunda hadi tuchukue nchi