Naingia chimbo hadi kesho asubuhi waliomuua Martha watajulikana kwasababu ya huu ushahidi mmoja tu

Naingia chimbo hadi kesho asubuhi waliomuua Martha watajulikana kwasababu ya huu ushahidi mmoja tu

Kwa sasa mauaji yameongezeka zaidi lakini kamwe hutosikia wapinzani uchwara wakisema, ndio maana mimi niko na mzee wangu Rungwe Spunda hadi tuchukue nchi
waseme nini wakati nao wanalamba asali kwa sasa? jamaa wanafiq sana.
 
Kwa kweli nimekubali kwamba BANGI ZA MCHANA Sio nzurii.Ukichanganya Hapo na smart Gin ya buku,ndio kabisaa yaani.
 
Unazungumzia dashcams bongo hii? Tena Kibaha?
Kuna wastini wa magari mangapi yamefungwa dashcams hii bongo? Tena Kibaha?
Hata hivyo kwani hizo dashcams zinarekodi muda wote 24/7?
Hizo dashcams zinakeep rekodi kwa muda gani? Ukichukulia tukio limefanyika zaidi ya wiki 2 zilizopita, hizo recording bado zitakuwepo?

Anyway, kila la kheri kwenye uchunguzi...
 
Nakuelewa mkuu. What if aliwadanganya kaziingiza kumbe hazijangizwa....? usisahau wana wako naive, wanadanganywa kirahisi sana.... Tunazungumzia mtu asiyejua hata transaction ilifanyike haoni notification yeyote.... Ila anakuamini wewe msiri wake

Ulishawahi kuwaza hilo?

Afu mwisho wa siku anaambiwa hana hata senti
Kuna jamaa walipigwa hela ndefu sana Exim Bank Arusha miaka ya 2014 kwa kumuamini mshikaji wao aliekua anafanya kazi hapo hapo bank,na bank haikuwajibika kwa lolote
 
Itasaidia nn mtu kashauliwa kinyama? ...Wanawake kwa kufuatiliwa ni kawaida chatting unakuta ana namba kibao watu wanampigia nyingine hajasave ila yupo kimya anaona kawaida.

Angalieni na vifo vyenu jinsi mtu anavyouliwa kinyama Kuna walakini kidogo kama wauwaji ni watu wanaojua basi hata marehemu atakuwa na mtatizo ya hapa na pale...Kama ni kweli je ni wangapi wameachwa .

Unanipa mkasa wa mzee wa bandari aliyetekwa miaka kadhaa na gari yake ikakutwa porini tuliongea mengi sana haswa ndugu zake ...Bahati nzuri gari yake ilikutwa na kila kitu mpaka pesa kama laki kadhaa na vitu vyake...

Ishu imekuja kubuma baadae kwamba aliwazidi kete wahuni na kudhulumu mzigo wa watu Kwa kufanya utapeli na kweli mzee alikuwa na pesa ,ukiachana na hilo pia alikuwa akichukua sana wake za watu..aliuliwa kinyama yaani huo ndo mshahara wakr
 
Yule alikuwa mfanyakazi Bank. Kuna rumours aliwapiga sana wana kwenye akaunti zao... Sasa walipomvalia njuga akaacha kazi akarudi Kibaha kwa baba yake.... Wana wakamfungia safari...

Hizi ni rumours tu lakini. Matukio kama haya kila mtu husema lake
Watu wanaouliws kinyama kama hivyo ni dhahiri Kuna sehemu wamekanyaga wire ...Itajulikana tu hii dunia ukileta ujuaji utaondoka mapema
 
Hio ni Organized Crime hakuna traces zozote 🤣🤣🤣 ndio maana baba wa marehemu alikiri kuwa jamaa ni professional killers.
 
Back
Top Bottom