Naingia gharama za uzinzi niliofanya mwezi huu

Kondom kazi yake nini? Kuepusha maswaibu kama hayo.

Hukuteta naye akuambie kama yupo kwenye siku zake za hatari?
 
Mzee unataka kusaliti chama la KATAA NDOA?🤔
 
Hao kataa ndoa,wanashida mahali,au wana mahusiano haramu,ya kificho kwakuwa wanafahamu hayakubaliki katika jamii.Ila sasa wewe oa,kataa uzinzi kwani ni dhambi,gharama na hatari kwa maisha yako na hata kwa wanaokutegemea .wakatae wakataka ndoa kwani wameshapotoka . Mwisho wao ni kuni za kuwachomea waovu .
 
Kondom kazi yake nini? Kuepusha maswaibu kama hayo.

Hukuteta naye akuambie kama yupo kwenye siku zake za hatari?
Wote walijua wapo safe lakini baada ya sex nikarudia kuhesabu siku zikadondokea danger na pesa za p2 walikula😀😀
 
Mzembe sana mwenzenu
Anapenda nyama kwa nyama.

Alafu matokeo yakitoka aanza kupaparika. Kutoa hivyo vilaki vya kuchoropoa ama kutunza mimba ni haki yake. Huwezi kumwaga tu bila utaratibu.
 
Mamluki wewe,hujawahi kuwa mmoja wetu.
KATAA NDOA.
 
Wamekula pesa za p2 aise
Usitumage pesa mzee P2 inanyweka kama SP yani mbele yako na uhakikishe umemeza
Hawa wa mjini hela ya P2 anakula anakutishia haon period unatuma ya miso anakula alafu anazaa katoto umefanana nako kila kitu
 
Usitumage pesa mzee P2 inanyweka kama SP yani mbele yako na uhakikishe umemeza
Hawa wa mjini hela ya P2 anakula anakutishia haon period unatuma ya miso anakula alafu anazaa katoto umefanana nako kila kitu
Pesa nilitoa on the spot baada ya kugundua ni dangerous
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…