Naingia kwenye mahusiano na mapacha mara kwa mara, kitaalamu ipoje hii?

Naingia kwenye mahusiano na mapacha mara kwa mara, kitaalamu ipoje hii?

Mazima1

Member
Joined
Dec 31, 2020
Posts
46
Reaction score
90
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mara kadhaa nimekuwa nikiingia kwenye mahusiano na hawa dada zetu lakini baada ya muda nakuja kugundua kuwa huyo mtu niliyenaye kwenye mahusiano ana pacha wake(TWIN) au nikimtongoza mdada ambaye ni pacha anakuwa mwepesi kunikubalia sasa huwa najiuliza je hili suala lina maana gani spritually?

Naamini humu kuna wajuzi wa mambo mnaweza kunielekeza vizuri kuhusu hili suala.

UPDATES
Nilijikuta nipo kwenye mahusiano na pacha mwingine na kwa sasa ni mama kijacho ila sijui hii kitu spiritually inamaanisha nini
 
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mara kadhaa nimekuwa nikiingia kwenye mahusiano na hawa dada zetu lakini baada ya muda nakuja kugundua kuwa huyo mtu niliyenaye kwenye mahusiano ana pacha wake(TWIN) au nikimtongoza mdada ambaye ni pacha anakuwa mwepesi kunikubalia sasa huwa najiuliza je hili suala lina maana gani spritually?

Naamini humu kuna wajuzi wa mambo mnaweza kunielekeza vizuri kuhusu hili suala.
Tupiako kapicha basi sisi kina Thomaso tukuamini.
 
sure mzee mi mwanzo nilikuwa nachukulia poa ila naona imekuwa too much sasa,nimeshtuka naona hii haiwezi kuwa coincidence
 
Mkuu mimi ni tofauti kidogo nawewe sio kimahusiano, kwangu ni rahisi sana kujenga ukaribu na mapacha. Nakuwa na ukaribu na mtu baadae nakuja kufahamu kuwa ni pacha.
Kwani yeye hawi na ukaribu nao? Sema wewe unaishia sebuleni, yeye anazama mpaka chumbani.

Hata mahusiano ni ukaribu Mkuu. Nyeto inapunguza kiwango cha kufikiri.
 
Hiyo inaitwa twinsphobia. Huwa inasababishwa na nyota ya phares na kimbosinys.

Kwa wale wanaotamani na wao kuvutia mapacha kwenye mausiano yao, fanya hivi÷

1,usiku wa manane kwenye saa nane kamili usiku amka, chukua kioo kikubwa, vua nguo zote, weka maji koroga na chumvi pact moja, maji ya chumvi mimina kwenye beseni weka mbele ya kioo.

2, simama ndani ya beseni lenye maji ya chumvi ukiwa uchi, panua mikono ukiwa unaangalia juu.

3, kaa ndani ya beseni ukiangaliaa juu lisaa limoja alafu lala kifudifudi.

Kesho utaanza kuona ishara. Zingatia sana ishara
 
Hiyo inaitwa twinsphobia. Huwa inasababishwa na nyota ya phares na kimbosinys.

Kwa wale wanaotamani na wao kuvutia mapacha kwenye mausiano yao, fanya hivi÷

1,usiku wa manane kwenye saa nane kamili usiku amka, chukua kioo kikubwa, vua nguo zote, weka maji koroga na chumvi pact moja, maji ya chumvi mimina kwenye beseni weka mbele ya kioo.

2, simama ndani ya beseni lenye maji ya chumvi ukiwa uchi, panua mikono ukiwa unaangalia juu.

3, kaa ndani ya beseni ukiangaliaa juu lisaa limoja alafu lala kifudifudi.

Kesho utaanza kuona ishara. Zingatia sana ishara
Weeeh nije nitokewe na jini.
Hapana kwa kweli
 
Back
Top Bottom