Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

Hii mbegu ni supersun 66,hekari 20
Gharama kubwa niliyotumia ni palizi tuu
20220403_112604.jpg
 
Wakuu,

Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama M 40

Na sasa nataka kubet kwenye kilimo

Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu

Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu

Eneo SINGIDA kwetu kabisa

Matumizi (makadirio ya juu kabisa) kwa ekari 50

👉Kukodi shamba m 2.5
👉Kulima shamba m 2.5
👉Kupanda m 1
👉Kupalilia shamba m 2.5
👉Mbegu lk 7
👉Uvunaji/upakiaji m 2
👉Mengineyo m 2

Jumla milion 13.2
Jumlisha hidden cost jumla iwe milioni 15

MAVUNO (makadirio ya chini)

Eka moja gunia 7 badala ya 15 za wataalamu
Ekari50 x Gunia 7
Jumla inakua gunia 350

Wastani gunia moja hutoa mafuta dumu 2 bei makadirio ya chini sh elf 50 kwa dumu( dumu linakwenda hadi laki+)

350 x 2 inakua dumu 700
Dumu700 x elf50 unapata Sh M35
Hapo nime assume mashudu yamelipia gharama ya ukanuaji

JUMUISHO
M35 -M15 = M20 Faida


DENGU

Ukitoa tu alizeti unavizia nvua za mwishoni kabisa unalima dengu shamba hilo hilo hulipi gharama za kukodi tena

👉Kulima m 2.5
👉Mbegu m 2
👉Kupanda lk 5
👉Madawa (emergency) m2
👉Kuvuna/kupakia 2m
👉Mengineyo m 1
Jumla m 10
Hidden cost m 2
Jumla m 12

MAUZO
Wastani gunia 4 kwa eka badala ya gunia 8 hadi 10 kwa eka za wataalamu

Ekari50 x Gunia 4 unapata gunia 200
Gunia la dengu lina wastani wa sh Laki 1

Laki 1 x gunia 200 unapata M 20

JUMUISHO
M20 - M12 = M8 Faida

FAIDA KUU (alizeti na dengu)
M20 +M8 = M28

NB
Nimeweka makadirio ya juu sana kwenye matumizi

Na nikaweka makadirio ya chini sana kwenye mavuno na bei

Dua zenu jamani

Ntaleta MREJESHO iwe nime Lost au nime Win

MREJESHO 24/03/2022

Wakuu kwema
So far mkeka wangu wa kilimo cha Alizeti unakwenda vizuri sana baada ya zile ODDS kubwa na ngumu kutick
ODDS ngumu kabisa zilikua ni MVUA na PALIZI

SHAMBA EKARI 20
Mpaka sasa nimelima ekari 20 tu...... hii ni baada ya wadau mbali mbali kushauri ekari 50 is too risk ikiwa huna UZOEFU na ikizingatiwa mamlaka ya hali ya hewa ilitabiri mvua zitakua chache

MBEGU (ASA)
Baada ya mchakato wa kitaalamu nikashauriwa nitumie mbegu za Serikali ASA na nilinunua mfuko wa kilo 2 kwa sh 5,000 tu, nilipata mchongo huu kwakuwa nilinunua kwa wingi

Sijatumia MBOLEA yoyote wala sijatumia viatilifu vyovyote kwasababu nimelima MBUGANI aridhi imeshiba na Alizeti haishambuliwi sana na magonjwa

Leo hii nimemalizana na PALIZI na mimea inakwenda vizuri kwa sehemu kubwa

Mpaka sasa SIJAKUTANA na gharama yoyote ambayo imenishtua kwa maana ya kwamba labda ni gharama ambayo sikuifikiria au gharama kuwa kubwa zaidi ya nilivyo KADIRIA
Zaidi mbegu imenipa UNAFUU mkubwa sana, nilipanga kutumia Hysuan Kg 2 kwa 35,000
Lakini nimetumia ASA Kg 2 kwa sha 5,000 na nilinunua mifuko ya Kg2 mifuko 80, yaani eka moja kwa mifuko 4, hapo nime save karibu 2m...... Naishukuru sana serikali kwa hili 🙏🙏
Ingawaje sijajua ubora wake baada ya mavuno

Ntaleta tena Mrejesho baada ya KUVUNA
ulifika wapi?
 
Ndivyo ilivyo mkuu
Kila kitu kinaanza na idea kichwani au kuweka kwenye makaratasi kisha inafuata utekelezaji

So far so good
Soma updates
Umetisha sana mkuu,na huu ndio muda muafaka wakupiga pesa,je ni mwezi gani tena unafaa kwa kilimo hiki cha Alizeti?
 
Wakuu,

Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama M 40

Na sasa nataka kubet kwenye kilimo

Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu

Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu

Eneo SINGIDA kwetu kabisa

Matumizi (makadirio ya juu kabisa) kwa ekari 50

👉Kukodi shamba m 2.5
👉Kulima shamba m 2.5
👉Kupanda m 1
👉Kupalilia shamba m 2.5
👉Mbegu lk 7
👉Uvunaji/upakiaji m 2
👉Mengineyo m 2

Jumla milion 13.2
Jumlisha hidden cost jumla iwe milioni 15

MAVUNO (makadirio ya chini)

Eka moja gunia 7 badala ya 15 za wataalamu
Ekari50 x Gunia 7
Jumla inakua gunia 350

Wastani gunia moja hutoa mafuta dumu 2 bei makadirio ya chini sh elf 50 kwa dumu( dumu linakwenda hadi laki+)

350 x 2 inakua dumu 700
Dumu700 x elf50 unapata Sh M35
Hapo nime assume mashudu yamelipia gharama ya ukanuaji

JUMUISHO
M35 -M15 = M20 Faida


DENGU

Ukitoa tu alizeti unavizia nvua za mwishoni kabisa unalima dengu shamba hilo hilo hulipi gharama za kukodi tena

👉Kulima m 2.5
👉Mbegu m 2
👉Kupanda lk 5
👉Madawa (emergency) m2
👉Kuvuna/kupakia 2m
👉Mengineyo m 1
Jumla m 10
Hidden cost m 2
Jumla m 12

MAUZO
Wastani gunia 4 kwa eka badala ya gunia 8 hadi 10 kwa eka za wataalamu

Ekari50 x Gunia 4 unapata gunia 200
Gunia la dengu lina wastani wa sh Laki 1

Laki 1 x gunia 200 unapata M 20

JUMUISHO
M20 - M12 = M8 Faida

FAIDA KUU (alizeti na dengu)
M20 +M8 = M28

NB
Nimeweka makadirio ya juu sana kwenye matumizi

Na nikaweka makadirio ya chini sana kwenye mavuno na bei

Dua zenu jamani

Ntaleta MREJESHO iwe nime Lost au nime Win

MREJESHO 24/03/2022

Wakuu kwema
So far mkeka wangu wa kilimo cha Alizeti unakwenda vizuri sana baada ya zile ODDS kubwa na ngumu kutick
ODDS ngumu kabisa zilikua ni MVUA na PALIZI

SHAMBA EKARI 20
Mpaka sasa nimelima ekari 20 tu...... hii ni baada ya wadau mbali mbali kushauri ekari 50 is too risk ikiwa huna UZOEFU na ikizingatiwa mamlaka ya hali ya hewa ilitabiri mvua zitakua chache

MBEGU (ASA)
Baada ya mchakato wa kitaalamu nikashauriwa nitumie mbegu za Serikali ASA na nilinunua mfuko wa kilo 2 kwa sh 5,000 tu, nilipata mchongo huu kwakuwa nilinunua kwa wingi

Sijatumia MBOLEA yoyote wala sijatumia viatilifu vyovyote kwasababu nimelima MBUGANI aridhi imeshiba na Alizeti haishambuliwi sana na magonjwa

Leo hii nimemalizana na PALIZI na mimea inakwenda vizuri kwa sehemu kubwa

Mpaka sasa SIJAKUTANA na gharama yoyote ambayo imenishtua kwa maana ya kwamba labda ni gharama ambayo sikuifikiria au gharama kuwa kubwa zaidi ya nilivyo KADIRIA
Zaidi mbegu imenipa UNAFUU mkubwa sana, nilipanga kutumia Hysuan Kg 2 kwa 35,000
Lakini nimetumia ASA Kg 2 kwa sha 5,000 na nilinunua mifuko ya Kg2 mifuko 80, yaani eka moja kwa mifuko 4, hapo nime save karibu 2m...... Naishukuru sana serikali kwa hili 🙏🙏
Ingawaje sijajua ubora wake baada ya mavuno

Ntaleta tena Mrejesho baada ya KUVUNA
Mbegu bora ni hysun kaka.... hiyo ASA ni ya daraja la chini
 
Wakuu,

Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama M 40

Na sasa nataka kubet kwenye kilimo

Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu

Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu

Eneo SINGIDA kwetu kabisa

Matumizi (makadirio ya juu kabisa) kwa ekari 50

👉Kukodi shamba m 2.5
👉Kulima shamba m 2.5
👉Kupanda m 1
👉Kupalilia shamba m 2.5
👉Mbegu lk 7
👉Uvunaji/upakiaji m 2
👉Mengineyo m 2

Jumla milion 13.2
Jumlisha hidden cost jumla iwe milioni 15

MAVUNO (makadirio ya chini)

Eka moja gunia 7 badala ya 15 za wataalamu
Ekari50 x Gunia 7
Jumla inakua gunia 350

Wastani gunia moja hutoa mafuta dumu 2 bei makadirio ya chini sh elf 50 kwa dumu( dumu linakwenda hadi laki+)

350 x 2 inakua dumu 700
Dumu700 x elf50 unapata Sh M35
Hapo nime assume mashudu yamelipia gharama ya ukanuaji

JUMUISHO
M35 -M15 = M20 Faida


DENGU

Ukitoa tu alizeti unavizia nvua za mwishoni kabisa unalima dengu shamba hilo hilo hulipi gharama za kukodi tena

👉Kulima m 2.5
👉Mbegu m 2
👉Kupanda lk 5
👉Madawa (emergency) m2
👉Kuvuna/kupakia 2m
👉Mengineyo m 1
Jumla m 10
Hidden cost m 2
Jumla m 12

MAUZO
Wastani gunia 4 kwa eka badala ya gunia 8 hadi 10 kwa eka za wataalamu

Ekari50 x Gunia 4 unapata gunia 200
Gunia la dengu lina wastani wa sh Laki 1

Laki 1 x gunia 200 unapata M 20

JUMUISHO
M20 - M12 = M8 Faida

FAIDA KUU (alizeti na dengu)
M20 +M8 = M28

NB
Nimeweka makadirio ya juu sana kwenye matumizi

Na nikaweka makadirio ya chini sana kwenye mavuno na bei

Dua zenu jamani

Ntaleta MREJESHO iwe nime Lost au nime Win

MREJESHO 24/03/2022

Wakuu kwema
So far mkeka wangu wa kilimo cha Alizeti unakwenda vizuri sana baada ya zile ODDS kubwa na ngumu kutick
ODDS ngumu kabisa zilikua ni MVUA na PALIZI

SHAMBA EKARI 20
Mpaka sasa nimelima ekari 20 tu...... hii ni baada ya wadau mbali mbali kushauri ekari 50 is too risk ikiwa huna UZOEFU na ikizingatiwa mamlaka ya hali ya hewa ilitabiri mvua zitakua chache

MBEGU (ASA)
Baada ya mchakato wa kitaalamu nikashauriwa nitumie mbegu za Serikali ASA na nilinunua mfuko wa kilo 2 kwa sh 5,000 tu, nilipata mchongo huu kwakuwa nilinunua kwa wingi

Sijatumia MBOLEA yoyote wala sijatumia viatilifu vyovyote kwasababu nimelima MBUGANI aridhi imeshiba na Alizeti haishambuliwi sana na magonjwa

Leo hii nimemalizana na PALIZI na mimea inakwenda vizuri kwa sehemu kubwa

Mpaka sasa SIJAKUTANA na gharama yoyote ambayo imenishtua kwa maana ya kwamba labda ni gharama ambayo sikuifikiria au gharama kuwa kubwa zaidi ya nilivyo KADIRIA
Zaidi mbegu imenipa UNAFUU mkubwa sana, nilipanga kutumia Hysuan Kg 2 kwa 35,000
Lakini nimetumia ASA Kg 2 kwa sha 5,000 na nilinunua mifuko ya Kg2 mifuko 80, yaani eka moja kwa mifuko 4, hapo nime save karibu 2m...... Naishukuru sana serikali kwa hili 🙏🙏
Ingawaje sijajua ubora wake baada ya mavuno

Ntaleta tena Mrejesho baada ya KUVUNA
Mkuu mrejesho baada ya kuvuna vp???
 
Mbegu bora ni hysun kaka.... hiyo ASA ni ya daraja la chini
Mwaka Jana nililima Hysan Eka 10 nikapata gunia 35 ambazo zilitoa mafuta dumu 47.
Mwaka huu nimelima ASA eka 15 ,Ila ASA inavutia zaidi ukiangalia jinsi inavyoota na inavyokua Ila mwaka huu mvua imekuwa uchawi mkuu
 
Au bora kulima mseto kuliko alizeti pekee yake heka nyingi hivyo
Tatizo lipo kwenye rutuba,aridh inayolimwa mahindi inafaa kulima Mahindi na Alizeti,Ila Kuna aridhi ya kichanga Ile tunalimaga Alizeti tu, mahindi haistawishi.
Japo kitunguu maji nae anakimbiza Sana kwa singida
 
Back
Top Bottom