Mkuu
Mayu bandiko la kwanza hakuna updates kabisa,
km umeshaanza kuvuna au kusafirisha toka shambani na kupiga alizeti kwenye matubuvai
Member wa kwanza alikuambia hicho Kilimo chako kitakupa hasara bora hiyo pesa ungeiweka ukaja kununua Alizeti hata 65 elfu kwa gunia utapata faida kuliko kuipanda
wa pili akakuambia hicho Kilimo ni cha kwenye Makaratasi sawasawa na kile cha matikiti maji
Tupe mtejesho ili uwe Mwalimu wetu KILIMO CHA ALIZETI KINAKATA NA KUMFILISI MKULIMA
Ushuhuda ni mimi mwenyewe na jamaa yangu kalima eka 30 Kongwa mm eka 5
kwake tumevuna eka 10 gunia 9 juzi tu sasa tunaingia eka 15 labda
kwangu eka 5 hakuna dalili ni hasara tu hawa wenyeji wanaokodisha mashamba ni wabaya wanajua kila kitu na ukicheza nao ndio kuambulia mabua
WEKA MREJESHO UMEVUNA SASA UNAONA UTAPATA GUNIA NGAPI?