kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Mkuu nenda kalime...
Experience is the best teacher...
Kapate uzoefu huko, hapa wengi wanakatisha tamaa tu nadhani wengi ni wafanyakazi wa kusubiri month end ( broilers)..
Watu wanalima na wanafanikiwa, kwanini sio wewe..
Wakati naanza kujenga nilkuwa natembelea sana jukwaa la ujenzi, wengi wanaandika vitu hawavijui, unaweza usijenge hata usinunue tofali, nimeingia field nimejenga na nimehamia...
Walopokaji wengi sana humu..nenda huko huko na pia ukifanikiwa komaa huko huko ukileta mrejesho pia watasema ni uongo
Kiongozi umeongea ukweli mtupu kabisa. Hapa JF ukiwackiliza hao w mwisho w mwezi utaogopa kuanza kitu chako.
Kama ukileta dili una ambiwa mwizi mpigaji na ndio maana una kula kimya kimya tu.
Na mwisho umemaliza vzr mno mdau wangu.
Na huyu mtu kama ulivyo sema aingie mwenyewe kazini hakuna kuckiliza hao watu wanao tisha watu.
All the best