Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

Mtu akisema very serious halafu anategemea mvua ndo simuelewi kabisaaaa

Mkuu kilimo kinacho lisha Tanzania na ziada ya kuuza nje ya nchi 90% ni kilimo cha nvua

Watu wanatoka na kilimo hiki hiki cha nvua
Dunia imeendelea kiteknolojia ni kufuata tu taarifa za mamlaka kuhusu hali ya nvua kila msimu

Ukitaka kufanya kitu chenye uhakika asilimia miamoja huta kipata
Kila kitu kina risk zake
 
Kuna thread flan nlifunguka sana kuhusu hiki kilimo, ngj niitafte nifanye ku copy.

Msimu ushaanza, atoke akatafte shamba mapema, tutamsaidia kumshaur atumie viwatilifi gan ili afanikishe, ila sio kupiga hesabu za mafuta na mashudu wakat bado hata kukodi shamba hajakod.

Hayo n matumiz mabaya ya mawazo

Mkuu ninaposema nimedhamiria namaanisha

Mashamba tayari nafanya mchakato wa mbegu hapa

Lakini mkuu kweli nianze kulima tu bila kujua nategemea kupata nini?
Na mbona nimeainisha from A to Z? Au wewe umeona mashudu na mafuta tu[emoji23]

Kuhusu katan mkuu huko ninapolima hawana uzoefu nalo nimekosa taarifa za kutosha ndio maana nikaona nikomae na dengu

Kama nvua zitaruhusu nataka niingize trekta shambani Desemba mwanzoni kabisa au Novemba mwishoni
Dengu inaviziwa mvua za mwisho kabisa mwezi wa tano au hadi wa sita
 
Mkuu ninaposema nimedhamiria namaanisha

Mashamba tayari nafanya mchakato wa mbegu hapa

Lakini mkuu kweli nianze kulima tu bila kujua nategemea kupata nini?
Na mbona nimeainisha from A to Z? Au wewe umeona mashudu na mafuta tu[emoji23]

Kuhusu katan mkuu huko ninapolima hawana uzoefu nalo nimekosa taarifa za kutosha ndio maana nikaona nikomae na dengu

Kama nvua zitaruhusu nataka niingize trekta shambani Desemba mwanzoni kabisa au Novemba mwishoni
Dengu inaviziwa mvua za mwisho kabisa mwezi wa tano au hadi wa sita
Hauwez kujipangia coz unategemea mvua mkuu..... What if mzigo ukayumba kama mwaka 2011!!!!!....

Kikubwa ww jutupie, lima.

Huku hatutaki hesabu za makadirio.

Me nshalima sana hlo zao and nafaham pros and cons ndo mana habar za mahesab sizifagilii sana.

Ingia mzigon, piga kaz. Ukikaribia kuvuna uje tukushaur namna nzur ya kupiga hela. Tukuelekeze soko la products za alizet n.k
 
Mkuu ninaposema nimedhamiria namaanisha

Mashamba tayari nafanya mchakato wa mbegu hapa

Lakini mkuu kweli nianze kulima tu bila kujua nategemea kupata nini?
Na mbona nimeainisha from A to Z? Au wewe umeona mashudu na mafuta tu[emoji23]

Kuhusu katan mkuu huko ninapolima hawana uzoefu nalo nimekosa taarifa za kutosha ndio maana nikaona nikomae na dengu

Kama nvua zitaruhusu nataka niingize trekta shambani Desemba mwanzoni kabisa au Novemba mwishoni
Dengu inaviziwa mvua za mwisho kabisa mwezi wa tano au hadi wa sita

Kama umepata chimbo la mbegu naomba unielekeze please ile ya kienyeji inanipa msongo wa mawazo
 
Mleta mada kama uko serious njoo pm nna shamba Simanjiro ekari 15,000 nina ma trekta mawili. Mwaka jana nilianza Na ekari 100 za maharage tu. Mwaka huu nataka kuongeza mahindi, alizeti Na katarm. Njoo tuunganishe nguvu.
 
Mkuu kilimo kinacho lisha Tanzania na ziada ya kuuza nje ya nchi 90% ni kilimo cha nvua

Watu wanatoka na kilimo hiki hiki cha nvua
Dunia imeendelea kiteknolojia ni kufuata tu taarifa za mamlaka kuhusu hali ya nvua kila msimu

Ukitaka kufanya kitu chenye uhakika asilimia miamoja huta kipata
Kila kitu kina risk zake

Ila sio kusema kilimo serious hlf ukaingiZa mambo ya mvua

Sio kila risks unahitaji ku take nyingine uwaga sio muhimu
 
Achana na kilimo cha kutegemea mvua,Lima kisasa upate uhakika wa mavuno.Karibu kibaha tuwekeze kwenye horticultural crops
 
Achana na kilimo cha kutegemea mvua,Lima kisasa upate uhakika wa mavuno.Karibu kibaha tuwekeze kwenye horticultural crops

Ila sio kusema kilimo serious hlf ukaingiZa mambo ya mvua

Sio kila risks unahitaji ku take nyingine uwaga sio muhimu

So far kilimo cha nafaka kinategemea MVUA

Mazao mengi ya umwagiliaji yanachangamoto ya uhifadhi yaani ukivuna tu ukakuta soko baya utajuta kuzaliwa

Niliwahi kulima kikiti ile kuvuna nakutana na mafuriko ya tikiti sokoni
Hakuna rangi niliacha kuiona

Ni mara chache sana nvua kuzidi sanaaa au kuwa ndogo sana kiasi kwamba mkukima asshindwe
 
Tafuta hii mkuu.

Nina uzoefu nayo iko poa sana
IMG_20211107_160708.jpg
 
Inapatikana wapi mkuu na Tsh ngapi kwa hiyo 2kg
Hizi kwa mawakala inauzwa 28000 hadi 30000. Kwa baadhi ya maeneo serikali imetoa kwa 7000 kwa vikundi vya vijana waliosajiliwa.

Kama unajitegemea, nenda kwa mawakala japo aina hii kdg n adimu ila ukiipata n bei hio kwa juu
 
Hizi kwa mawakala inauzwa 28000 hadi 30000. Kwa baadhi ya maeneo serikali imetoa kwa 7000 kwa vikundi vya vijana waliosajiliwa.

Kama unajitegemea, nenda kwa mawakala japo aina hii kdg n adimu ila ukiipata n bei hio kwa juu
Shukran sana mkuu nimepata kwa kuanzia.
 
Na je waweza kuwa na detail kwa Dodoma kuhusu hiyo mbegu.
Kwa Dodoma bado sijafaham, japo kuna jamaa yuko humu (naona tag inakataa, labda kabadilisha ID) ntajarb kumuulzia.
Ngj nifanye ku review PM nliwasiliana nae kpnd flan juu ya hizi ishu
 
Back
Top Bottom