Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

Mkuu ninaposema nimedhamiria namaanisha

Mashamba tayari nafanya mchakato wa mbegu hapa

Lakini mkuu kweli nianze kulima tu bila kujua nategemea kupata nini?
Na mbona nimeainisha from A to Z? Au wewe umeona mashudu na mafuta tu[emoji23]

Kuhusu katan mkuu huko ninapolima hawana uzoefu nalo nimekosa taarifa za kutosha ndio maana nikaona nikomae na dengu

Kama nvua zitaruhusu nataka niingize trekta shambani Desemba mwanzoni kabisa au Novemba mwishoni
Dengu inaviziwa mvua za mwisho kabisa mwezi wa tano au hadi wa sita
Mkuu pambana ukishamaliza kamua kabisa unipe mafuta nikusadie kuyauza
 
Kama umepata chimbo la mbegu naomba unielekeze please ile ya kienyeji inanipa msongo wa mawazo
Naomba nikupe ushauri kidogo hapo, usidharau mbegu za kienyeji ziko vizuri sana chamshingi inatakiwa ujue unalima mbegu gani.

Hii mbegu hapa usinichukulie poa iko vizuri
Chamsingi ni timing ma spacing. View attachment 2002849View attachment 2002850
IMG_20200501_140128_2.jpg
IMG_20200521_144148_5.jpg
 
Mleta mada kama uko serious njoo pm nna shamba Simanjiro ekari 15,000 nina ma trekta mawili. Mwaka jana nilianza Na ekari 100 za maharage tu. Mwaka huu nataka kuongeza mahindi, alizeti Na katarm. Njoo tuunganishe nguvu.
Hizo zote hazina visiki? Naweza ongezea trekta moja hapo. Au umemlenga mleta maada tu
 
Hizi kwa mawakala inauzwa 28000 hadi 30000. Kwa baadhi ya maeneo serikali imetoa kwa 7000 kwa vikundi vya vijana waliosajiliwa.

Kama unajitegemea, nenda kwa mawakala japo aina hii kdg n adimu ila ukiipata n bei hio kwa juu
Tupe kidogo kuhusu performance yake?
 
Ni kweli kabisa.
Binafsi sijawahi kusikia mtu amwvuna alizeti zaidi ya gunia 7 na nadhani hawa watu wa pembejeo wanatudanganya Ili wauze mbegu za za Hybrid.

Mimi nitakomaa tu na mbegu zangu za opv
Hapana Mkuu hawakudanganyi ila inategemea na ardhi unayolima na namna ya upandaji.Alizeti haipandwi Kama mahindi mkuu.
2. Kuna mbegu ukipanda shina moja linatoa matawi 20 na kila tawi Lina zaa hii waweza vuna gunia 15 -17 kwa ekari.
Halafu Kuna mbegu ukipanda shina moja Lina zaa Toto Moja tu! Sasa hiyo huwezi kupata gunia zaidi ya 7 kwa ekari.
 
Big up mkuu.Jiandae kisaikolojia pia, hasa kama utategemea mvua, maana sijaona bajeti ya kisima. au upo karibu na mto mkuu.
 
Wakuu
Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama M 40
Na sasa nataka kubet kwenye kilimo

Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu
Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu
Eneo SINGIDA kwetu kabisa

Matumizi (makadirio ya juu kabisa) kwa ekari 50

👉Kukodi shamba m 2.5
👉Kulima shamba m 2.5
👉Kupanda m 1
👉Kupalilia shamba m 2.5
👉Mbegu lk 7
👉Uvunaji/upakiaji m 2
👉Mengineyo m 2

Jumla milion 13.2
Jumlisha hidden cost jumla iwe milioni 15

MAVUNO (makadirio ya chini)

Eka moja gunia 7 badala ya 15 za wataalamu
Ekari50 x Gunia 7
Jumla inakua gunia 350

Wastani gunia moja hutoa mafuta dumu 2 bei makadirio ya chini sh elf 50 kwa dumu( dumu linakwenda hadi laki+)

350 x 2 inakua dumu 700
Dumu700 x elf50 unapata Sh M35
Hapo nime assume mashudu yamelipia gharama ya ukanuaji

JUMUISHO
M35 -M15 = M20 Faida


DENGU

Ukitoa tu alizeti unavizia nvua za mwishoni kabisa unalima dengu shamba hilo hilo hulipi gharama za kukodi tena

👉Kulima m 2.5
👉Mbegu m 2
👉Kupanda lk 5
👉Madawa (emergency) m2
👉Kuvuna/kupakia 2m
👉Mengineyo m 1
Jumla m 10
Hidden cost m 2
Jumla m 12

MAUZO
Wastani gunia 4 kwa eka badala ya gunia 8 hadi 10 kwa eka za wataalamu

Ekari50 x Gunia 4 unapata gunia 200
Gunia la dengu lina wastani wa sh Laki 1

Laki 1 x gunia 200 unapata M 20

JUMUISHO
M20 - M12 = M8 Faida

FAIDA KUU (alizeti na dengu)
M20 +M8 = M28

NB
Nimeweka makadirio ya juu sana kwenye matumizi
Na nikaweka makadirio ya chini sana kwenye mavuno na bei

Dua zenu jamani

Ntaleta MREJESHO iwe nime Lost au nime Win
Hii nzuri, songa mbele na ndoto yako usikatishwe tamaa
 
Tupe kidogo kuhusu performance yake?
Inahimili sana shortage of rainfall so ni nzur sana kwa mikoa inayopata mvua chache kwa mwaka,

Kwa ekari moja yenye rutuba na iliyotunzwa vzr, inatoa gunia 15 hadi 20.
 
Hizo zote hazina visiki? Naweza ongezea trekta moja hapo. Au umemlenga mleta maada tu

Sehemu chache ni za kusafisha ila unakua na guarantee ya kulima miaka mingine bila gharama ya kukodisha
 
Utafanikiwa naona umejipanga na hujaweka makadirio ya juu nenda hapa mchawi bei tu bei zisipobadirika utapata faida tu.
 
Wakuu
Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama M 40
Na sasa nataka kubet kwenye kilimo

Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu
Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu
Eneo SINGIDA kwetu kabisa

Matumizi (makadirio ya juu kabisa) kwa ekari 50

👉Kukodi shamba m 2.5
👉Kulima shamba m 2.5
👉Kupanda m 1
👉Kupalilia shamba m 2.5
👉Mbegu lk 7
👉Uvunaji/upakiaji m 2
👉Mengineyo m 2

Jumla milion 13.2
Jumlisha hidden cost jumla iwe milioni 15

MAVUNO (makadirio ya chini)

Eka moja gunia 7 badala ya 15 za wataalamu
Ekari50 x Gunia 7
Jumla inakua gunia 350

Wastani gunia moja hutoa mafuta dumu 2 bei makadirio ya chini sh elf 50 kwa dumu( dumu linakwenda hadi laki+)

350 x 2 inakua dumu 700
Dumu700 x elf50 unapata Sh M35
Hapo nime assume mashudu yamelipia gharama ya ukanuaji

JUMUISHO
M35 -M15 = M20 Faida


DENGU

Ukitoa tu alizeti unavizia nvua za mwishoni kabisa unalima dengu shamba hilo hilo hulipi gharama za kukodi tena

👉Kulima m 2.5
👉Mbegu m 2
👉Kupanda lk 5
👉Madawa (emergency) m2
👉Kuvuna/kupakia 2m
👉Mengineyo m 1
Jumla m 10
Hidden cost m 2
Jumla m 12

MAUZO
Wastani gunia 4 kwa eka badala ya gunia 8 hadi 10 kwa eka za wataalamu

Ekari50 x Gunia 4 unapata gunia 200
Gunia la dengu lina wastani wa sh Laki 1

Laki 1 x gunia 200 unapata M 20

JUMUISHO
M20 - M12 = M8 Faida

FAIDA KUU (alizeti na dengu)
M20 +M8 = M28

NB
Nimeweka makadirio ya juu sana kwenye matumizi
Na nikaweka makadirio ya chini sana kwenye mavuno na bei

Dua zenu jamani

Ntaleta MREJESHO iwe nime Lost au nime Win
Utatoa mlio kijana
 
Msisahau pia kulima soya lishe ni hot cake kwa sasa wachina wanaihitaji sana mwaka huu wamenunua hadi wakakosa mzigo pesa ikabaki, mbegu bora fikeni Uyole kilimo pale na haihitaji mbolea, inauzika soya sijawahi kuona mjitahidi kulima hili zao mtakuja kuniambia baadae
Bei ya soya ikoje huko sokoni kwa sasa? Sio kutuambia tulime tu.
 
Wakuu
Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama M 40
Na sasa nataka kubet kwenye kilimo

Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu
Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu
Eneo SINGIDA kwetu kabisa

Matumizi (makadirio ya juu kabisa) kwa ekari 50

[emoji117]Kukodi shamba m 2.5
[emoji117]Kulima shamba m 2.5
[emoji117]Kupanda m 1
[emoji117]Kupalilia shamba m 2.5
[emoji117]Mbegu lk 7
[emoji117]Uvunaji/upakiaji m 2
[emoji117]Mengineyo m 2

Jumla milion 13.2
Jumlisha hidden cost jumla iwe milioni 15

MAVUNO (makadirio ya chini)

Eka moja gunia 7 badala ya 15 za wataalamu
Ekari50 x Gunia 7
Jumla inakua gunia 350

Wastani gunia moja hutoa mafuta dumu 2 bei makadirio ya chini sh elf 50 kwa dumu( dumu linakwenda hadi laki+)

350 x 2 inakua dumu 700
Dumu700 x elf50 unapata Sh M35
Hapo nime assume mashudu yamelipia gharama ya ukanuaji

JUMUISHO
M35 -M15 = M20 Faida


DENGU

Ukitoa tu alizeti unavizia nvua za mwishoni kabisa unalima dengu shamba hilo hilo hulipi gharama za kukodi tena

[emoji117]Kulima m 2.5
[emoji117]Mbegu m 2
[emoji117]Kupanda lk 5
[emoji117]Madawa (emergency) m2
[emoji117]Kuvuna/kupakia 2m
[emoji117]Mengineyo m 1
Jumla m 10
Hidden cost m 2
Jumla m 12

MAUZO
Wastani gunia 4 kwa eka badala ya gunia 8 hadi 10 kwa eka za wataalamu

Ekari50 x Gunia 4 unapata gunia 200
Gunia la dengu lina wastani wa sh Laki 1

Laki 1 x gunia 200 unapata M 20

JUMUISHO
M20 - M12 = M8 Faida

FAIDA KUU (alizeti na dengu)
M20 +M8 = M28

NB
Nimeweka makadirio ya juu sana kwenye matumizi
Na nikaweka makadirio ya chini sana kwenye mavuno na bei

Dua zenu jamani

Ntaleta MREJESHO iwe nime Lost au nime Win
Kila lakheri mkuu. Naamini your to win.
 
Back
Top Bottom