Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #121
Shambani nauza 1500Sawa papai moja Tsh ngapi?
Ukichukua kuanzia 100 nauza 1000 kila papai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shambani nauza 1500Sawa papai moja Tsh ngapi?
Pita tu nenda simba day""Naingiza milion 22 kwa mwezi kwa biashara ya kuuza Mapapai shambani""
MAFIIIIIIIII
#YNWA
Pita tu nenda simba day
Tuache yanga tuongee hapa
Mkazio, yani shamba zima liwe na miti ya mapapai ya afu tatu tu.Nakazia
Basi papai faida ni mil 22 kwa mwezi baada ya mavunoMimi ni mwanchi.
Napenda mpira hivyo lazima niangalie UBAYA UBWELA.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Darasa ushafeliMkazio, yani shamba zima liwe na miti ya mapapai ya afu tatu tu.
MafiiiiiiiiBasi papai faida ni mil 22 kwa mwezi baada ya mavuno
huyu atakuwa anauza mbegu anatafuta wateja siyo rahisi kiivyoRahisi sana kusema au kuandika,ingia uwandani sasa!
Ametuona sisi wa kuja eeh🤣Mkazio, yani shamba zima liwe na miti ya mapapai ya afu tatu tu.
Na mapapai yalivyo mengi mpaka yanaozeana 😂Ametuona sisi wa kuja eeh🤣
Darasa lipi tena mkuuDarasa ushafeli
Upo mbaliSikuelewi🤔
Ahahahaha kwa sauti kubwaMsiite basi wewe na min -me mnanisumbua
Nishakuharibu😂 ety kaa kwa kutuliaKaa kwa kutulia wewe😉
Mno yani😁😁Nishakuharibu😂 ety kaa kwa kutulia
🚮Mno yani😁😁
Nakufatilia kwa karibu kiongozi,. Tupe darasa kutokana na uhalisiaKilimo cha mitandaoni hicho.
Kilimo halisi huwezi kuuza papai likiwa shambani kwa 1500/- labda shamba lako lipo pale Sokoni Kisutu au Ilala au Kariakoo au Mabibo.
Mimi nilipanda mipapai miche 700 mbegu ya kisasa Malikia F1. Naongea nikiwa na uzoefu.