Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #181
Hana huyo ni dalalimkuu tupe experience
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana huyo ni dalalimkuu tupe experience
Waulize wana dodoma huku dar tunanunua tsh 3000 kubwa pisi mojaNi
Nina mipapai20 hapa Dodoma nitapata sh ngapi?
NimechekaKumbuka kulikuwa na kilimo cha matikiti Whattsapp.
Nauza elfu 1500 moja uje ununueNapenda kula papai ila mtaani kwetu hakuna
Nani bro wako we aunty?Pole bro
Kwa siku nauza papai 40 mpaka 70Wastani wa kuuza papai 489 Kwa siku Kila siku Kwa siku 30 Kwa mwaka mzima??? 😉😉
Sema niko mbali, nitumie hata picha nile kwa macho roho itulieNauza elfu 1500 moja uje ununue
Utajiju, hakuna cha bure mjiniHapa kwenyewe nimeenda kwenye link ninaambiwa nichangie mia tano.
Ukiitwa kwenye fursa, wewe ndiye fursa yenyewe.
Kweli inategemea na soko lako.Papai kubwa linauzwa 3000
We kwan unauzia wap papai zako
Njoo youtube nimeweka picha zoteSema niko mbali, nitumie hata picha nile kwa macho roho itulie
Upo sahihi mimi mashamba na ....We ni mshamba na mwongo asee
Papai haitaki maji kabisaaaa wala mbolea nyingi
Dah we jamaan we kwan unapanda nyanya,
Utakuwa unaishi yombo au buzaKweli inategemea na soko lako.
SauwaUpo sahihi mimi mashamba na ....
Nani bro wako
Unanitaka?Nani bro wako we aunty?
Max 70x30x1,500 ni 22Million?? Rudi shule Money PennyKwa siku nauza papai 40 mpaka 70
Nikupeleke wapi?Unanitaka?
Nna bundle la JF, halifanyi kazi njeNjoo youtube nimeweka picha zote
Kwa siku mapapai pisi 497 bossMax 70x30x1,500 ni 22Million?? Rudi shule Money Penny