Naiona failure ya CHADEMA kwa Mbaali japo ni wabishi

Naiona failure ya CHADEMA kwa Mbaali japo ni wabishi

Ni siku zaidi ya 20 ambayo Mwenyekiti wa CHADEMA yupo jela bila kuonesha actions za maana

1. Nimeshangaa sana Godbless Lema anamlaumu Bob wine wa Uganda kutolaumu serikal ya Samia kwa sakata la Mbowe nimejiuliza maswali mengi sana are we serious????
2. Press ya awali ya Mnyika ilinipa picha kwamba hakuna matumaini yeyote juu ya mipango wanayosema

3. Sasa hivi ndani ya Chama wamegawanyika sana!!
4. LISSU anogopa Kwenda Tanzania kuhamasisha mbadiliko on ground anaishia kumtuma bwana Godfrey Rwehumbiza wa Bangkok amuombee msamaa kwa Samia na kufutiwa mashtaka Yaan anajinasua mwenyewe tu!! Huyu Rwehumbiza Ana act kama Balozi wa Tanzania nchini Thailand anakaa Soi 7 Sukhumvit road Thonglou ! Japo Tanzania tunapta Visa za Thailand kupitia Kenya ila Rwehumbiza ndo anafanya uwakilishi wa mambo kadhaaa

3. Vijana wa CHADEMA hawana kinachoendelea zaidi ya BAWACHA ndo wanafanya kazi kubwa!!! Wao wenyewe wanazungukana! Walikubaliana woote waliokamatwa mwanZa wasikubali dhamana ila John Pambalu baada ya kutishiwa na mtuhumiwa pale Central kwa kutoa bol. Lake na kumtisha kwamba njoo tulale akapiga kelele asubuhi Anaomba dhamana !

4. LISSU anabeza sana mawazo ya wengine aliona kwamba yeye mawazo yake ndo alpha na Omega Kuna matatizo

Britanicca
Chadema hawakufa wakati wa Magufuli sio rahisi wafe wakati huu.
 
Organisation ndani ya Chadema imepungua, Mbowe yuko jela, Lema na Lissu wakiwa kama viongozi ndani ya chama nao hawapo nchini, sasa amebaki KM peke yake mzigo wote unamuelemea, ndio maana ameanza kuonekana hatoshi.

Lazima itafutwe namna hawa watu waliokimbia nchi warudi, ama sivyo, wajipange upya;

- Lissu adui yake mkubwa alikuwa ni Magufuli, na ndio alisema alikuwa anatoa maelekezo afanyiwe unyama, now Magufuli is gone, bahati mbaya Samia nae haaminiki, ushauri wa wasaidizi wake anauchukua kama ulivyo.

- Lema alikimbia kesi ya kubambikiwa, Samia akasema hataki watu waonewe tena, baada ya muda mfupi tunamuona Mbowe anabambikiwa kesi, hapa napo Samia haaminiki.

Lissu na Lema wanaweza kuendelea kuwepo nje ya nchi kwa muda mrefu zaidi, Chadema lazima wajipange upya kukabiliana na hali hii inayowakuta.

Kikao cha Samia na upinzani (Chadema ikiwepo) kingemaliza hii hali mapema sana, but Mbowe kuwa gerezani maana yake hicho kikao sidhani kama kitakuwepo tena, na yale majibu ya Samia kwenye interview ya BBC ndio yanakatisha tamaa kabisa.

Chadema sasa watafute njia za kujipanga, video conferencing inaweza kutumika, sio kushinda twitter day and night; wajue namna mpya ya kukabiliana na CCM inayobebwa mgongoni na jeshi la polisi ili kuendana na hali ya kisiasa nchini inayowakuta kwa sasa.

Kwenda makanisani na uniform za chama hiyo strategy sijaipenda, nyumba za ibada ziheshimiwe, CCM wakikosea Chadema wasirudie kosa la CCM, watachafuliwa na tope la CCM mwishowe wafanane na CCM halafu wananchi wakose namna ya kuwatofautisha iwe faida kwa CCM, Chadema wanatakiwa kwenda three steps ahead of CCM kama walivyokuwa wakifanya.

I repeat, organisation is needed ndani ya Chadema, they have to re-group to find new ways and means, Chadema haifi, lakini wasipokuwa makini itadumaa.
 
Wengi waliosema Chadema itakufa wamekufa , akiwemo jiwe aliyekuwa anakulipa , na ukifanya mchezo tutaweka hadharani akaunti ya NMB uliyokuwa unaingiziwa pesa wewe na mamluki wenzio kabla hujatemwa
Inaonesha hujamwelewa jamaa! Kwanza huyo ni chadema mwenzenu kama hujui
 
Hii ya 3 sijakuelwa vizuri ..au unamaanisha john alikuwa anataka kubakwa!!?
 
Ma CHADEMA hawajui wanataka nini. Wangemsikiliza Lowasa waache harakati wawe Chama cha wananchi badala ya matukio.
Hawana plan wala strategies soon wanakua 100% empty tins.
Wajinga sana.
 
Karibu, ulikuwa jela nini, au ulienda short course chuo cha chama ili kujiondoa kipropaganda?
Kuna jinga moja lilinifanya niende jela ya hapa jf

Alafu kuna mods humu wana vimihemuko balaa, ukitoa coment inayochoma moyo wake wa kisiasa unashangaa anabonyeza kitufe cha ban
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni siku zaidi ya 20 ambayo Mwenyekiti wa CHADEMA yupo jela bila kuonesha actions za maana

1. Nimeshangaa sana Godbless Lema anamlaumu Bob Wine wa Uganda kutolaumu serikali ya Samia kwa sakata la Mbowe nimejiuliza maswali mengi sana are we serious?

2. Press ya awali ya Mnyika ilinipa picha kwamba hakuna matumaini yeyote juu ya mipango wanayosema

3. Sasa hivi ndani ya Chama wamegawanyika sana!

4. Lissu anogopa Kwenda Tanzania kuhamasisha mabadiliko on ground anaishia kumtuma bwana Godfrey Rwehumbiza wa Bangkok amuombee msamaha kwa Samia na kufutiwa mashtaka Yaan anajinasua mwenyewe tu!! Huyu Rwehumbiza Ana act kama Balozi wa Tanzania nchini Thailand anakaa Soi 7 Sukhumvit road Thonglou. Japo Tanzania tunapata Visa za Thailand kupitia Kenya ila Rwehumbiza ndio anafanya uwakilishi wa mambo kadhaaa

3. Vijana wa CHADEMA hawana kinachoendelea zaidi ya BAWACHA ndio wanafanya kazi kubwa!!! Wao wenyewe wanazungukana! Walikubaliana woote waliokamatwa Mwanza wasikubali dhamana ila John Pambalu baada ya kutishiwa na mtuhumiwa pale Central kwa kutoa uume wake na kumtisha kwamba njoo tulale akapiga kelele asubuhi Anaomba dhamana !

4. LISSU anabeza sana mawazo ya wengine aliona kwamba yeye mawazo yake ndio alpha na Omega Kuna matatizo

Britanicca
Ni mawazo yako lazima yaheshimiwe lakini kumbuka Chadema hawapambani na CCM Bali wanapambana na vyombo vya Dola vyenye kutesa na kidhulu,Sasa kwa hali hiyo Mimi Naona jamaa wako vizuri kwenye mapambano .badala ya kuwabeza ungewapa moyo wazidi kupambana.
 
Wengi waliosema Chadema itakufa wamekufa, akiwemo jiwe aliyekuwa anakulipa na ukifanya mchezo tutaweka hadharani akaunti ya NMB uliyokuwa unaingiziwa pesa wewe na mamluki wenzio kabla hujatemwa
Nitake radhi Plz kabisaaa Huyo Shetani Magufuli usimuweke kwenye mingo zangu
 
Ungesema tu lengo la post yako ni kumchafua Lissu. Umetumwa na yule Lissu alimuita MJINGA? Maana naskia kajiapiza "kummaliza Lissu" (clue: he won't and can't).
Chahali acha Mambo ya ovyo mi Nitumwe na nani??? We ndo unasema kwa mawazo haya huwezi ng’amua nachosema?? Inamaana mtu akiwa na mawazo mbadala katumwa?
I tell you Muda huu Kama LISSU ndo angakuwa ndani Nina uhakika Mbowe angekuwa kashatimba nchini hata Kama angekuwa na kesi gani??

mi simsemi Lissu tu!! Mbona usemi nilivyomsema Lema?
 
Makamanda wanaakili kuliko Watanzania wote...makamanda ndio chama kinachopemdwa na watanzania wote.. Makamanda mpaka dola inawaogopa....
 
Makamanda tuko nao humu JF wengine wako tweeter, Insta na facebook kila siku topic na episode mpya zisizo na kichwa wala miguu..kila siku...sasa hivi wameshadakia ya Zambia na JK.
 
sasa hivi harakati zipo kwakina Maria, binti Karume kule tweeter, harakati ziko Belgium na Canada...Makamanda kukicha vocha wanasaidia kulipa tozo then wanaingia mitandaoni kupambana na CCM iwape dola..... Sasa hivi Kigogo kashakuwa adui wao tayari, kuwawin hawa jamaa rahisi sana aisee na CCM inawapatia kweli maana kila siku wanatumiwa ndoano wananasa...
 
Back
Top Bottom