Naiona failure ya CHADEMA kwa Mbaali japo ni wabishi

Naiona failure ya CHADEMA kwa Mbaali japo ni wabishi

Kama moja ya mission yako ni kujustify bambikia ya ugaidi umefeli kabla hujaanza, ama ile mupango ya kuifuta chama inayohatarisha maslahi yenu, kajipange upya.
Tena hayo mawazo ya CDM inaenda kufa na kusambaratika alikuwa nayo hata mwendazake cha ajabu yeye kafa na kusambaratika CDM bado ipo.
Mleta mada angalia nawe usije kufa na kusambaratika dushe au mbususu yako ukaiacha CDM na watu wake.
Hayo mawazo yako sio ya kwanza kusomwa humu jukwaani.
 
Ni siku zaidi ya 20 ambayo Mwenyekiti wa CHADEMA yupo jela bila kuonesha actions za maana

1. Nimeshangaa sana Godbless Lema anamlaumu Bob Wine wa Uganda kutolaumu serikali ya Samia kwa sakata la Mbowe nimejiuliza maswali mengi sana are we serious?
Hayo tumeyazoea toka enzi hakuna jipya.
 
Wengi waliosema Chadema itakufa wamekufa, akiwemo jiwe aliyekuwa anakulipa na ukifanya mchezo tutaweka hadharani akaunti ya NMB uliyokuwa unaingiziwa pesa wewe na mamluki wenzio kabla hujatemwa

Wewe Mungu ndiye anayepanga nani afe nani abaki acha kukebehi uwezo wa Mungu....bila shaka ndugu zako wote wako hai hawajafa toka walivyoumbwa duniani hapa..
 
Mkuu haya maono kuwa cdm inakwenda kufa yako toka enzi za kina Wasira. Hivyo huna mawazo tofauti na hao wengine lakini ikawa tofauti. Endelea kuota kaka.
Cdm Waki react atakuja kusema wanavurugu, Hawa watu bana
 
Chadema ndiyo ina akili nyembamba. Mwanachama mwenzenu anajaribu kuwasaidia lakini kwa akili zenu nyembamba mnampiga vita. Mwaka huu mtapigana sana nyie wenyewe kwa wenyewe. Twitter Republic nasikia pia mmefanya ugaidi huko. Kunawaka moto na jamaa yenu yule amewasusia.
Mbona nyie kwenu magwajima yagombana kutofautiana ni kawaida tu
 
CDM imekuwa threat kwa CCM, kwa takribani miaka 15 sasa; CCM wanalijua hilo na ndiyo maana wanajaribu kutumia turufu yao ya mwisho kabisa kujaribu kuifuta ili wapumue...kitu ambacho bado ni ndoto za mchana chini ya mwembe.
 
Kuna jinga moja lilinifanya niende jela ya hapa jf

Alafu kuna mods humu wana vimihemuko balaa, ukitoa coment inayochoma moyo wake wa kisiasa unashangaa anabonyeza kitufe cha ban
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ahaaa ahaaa, nimecheka kwa nguvu. Pole sana, huku tupo tu miaka yote na hatuna ban. Ukijichanga mods wanakupigisha shot.
 
Chadema ndiyo ina akili nyembamba. Mwanachama mwenzenu anajaribu kuwasaidia lakini kwa akili zenu nyembamba mnampiga vita. Mwaka huu mtapigana sana nyie wenyewe kwa wenyewe. Twitter Republic nasikia pia mmefanya ugaidi huko. Kunawaka moto na jamaa yenu yule amewasusia.
Huko Twitter kigogo kugeuka kijiti. Amepata sonona, alifikiri cdm ni chama cha wazee kama ccm.
 
Ahaaa ahaaa, nimecheka kwa nguvu. Pole sana, huku tupo tu miaka yote na hatuna ban. Ukijichanga mods wanakupigisha shot.
Itabidi nijifunze kuwa kama wewe matusi yako kwa sisi mataga huwa ya reja reja tu

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lisu kupitia wapelelezi wake, tayari ashaanza kumjua ni nani aliepanga shambulizi dhidi yake. Kwahiyo tusimlaumu sana kwa kutoshughulikia swala la mwenyekiti. Ni kitendo cha muda tu ataanza kuunguza nyumba na kila mtu atashangaa.

Kifupi Lisu ashaufahamu vizuri ule msemo usemao kikulacho kinguoni mwako. Umaarufu wake ndani ya chama na nje ya chama miaka ya 2016 hadi 2017 ndio iliosababisha jamaa awahi kukihami kiti chake ili asije kunyanganywa au kushindwa vibaya katika uchaguzi mkuu wa chama na mropokaji huyu. RIP Chacha Wangwe, na pole ndugu Lisu.
LISSU Mwenyewe si msafi Kama mnavyodhani ni Mchafu tu Kama wachafu wengine! Najiuliza watu wakikosolewa wanadhani umetumwa !!!!! Nashangaa sana sana sana
 
Itabidi nijifunze kuwa kama wewe matusi yako kwa sisi mataga huwa ya reja reja tu

[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi huwa situkani bali huwa nawasha moto, ww unapanic unatokana unategemea utatoboa kweli?
 
Wengi waliosema Chadema itakufa wamekufa, akiwemo jiwe aliyekuwa anakulipa na ukifanya mchezo tutaweka hadharani akaunti ya NMB uliyokuwa unaingiziwa pesa wewe na mamluki wenzio kabla hujatemwa
Weka hadharani mkuu, unaogopa nn wakati hujulikani
 
Ungesema tu lengo la post yako ni kumchafua Lissu. Umetumwa na yule Lissu alimuita MJINGA? Maana naskia kajiapiza "kummaliza Lissu" (clue: he won't and can't).
Hahaha we Chahali Mblok Watu Twitter una uoga sana wa hali ya juu!! Nakumbuka ulituaminisha kwamba Kigogo ataiangusha serikali ya SAMIA wawe makini naye!!kwamba anatumwa na BASHITE haha Mara unasema Kigogo kamalizwa na Lissu!! Ujiilizi uko Twitter Miaka zaidi ya 10 una followers laki 2 kilichonichekesha ni kwamba unayeanzisha vita naye Ana followers zaidi ya 600k na wameongezeka Maradufu baada ya ninyi kuanzisha program ya unfollow Kigogo haha nimecheka mlipoanzisha program hiyo nili screenshot followers alio nao na sasa Katimiza 600k wakati alikuwa juzi na 540k

we Tulia ufundishe Kiswahili hahahahaha hahaha mshahara wenyewe hautoshi unaishia kuomba omba washkaji waishio Ughaibuni wamejaza meseji zako kibao!!

makamba ulimwomba Pesa akakausha uka mind

Yaani toka azulumiwe $2000 na Kinana za kumtukana Lowassa una hasira na kila mtu Chahali
 
Yaani kama chama hakina Mbunge, hakina kiongozi hata wa serikali za mtaa halafu mnakiogopa basi mtakua na matatizo makubwa ya akili
 
3. Vijana wa CHADEMA hawana kinachoendelea zaidi ya BAWACHA ndio wanafanya kazi kubwa!!! Wao wenyewe wanazungukana! Walikubaliana woote waliokamatwa Mwanza wasikubali dhamana ila John Pambalu baada ya kutishiwa na mtuhumiwa pale Central kwa kutoa uume wake na kumtisha kwamba njoo tulale akapiga kelele asubuhi Anaomba dhamana !
Jela pasikie tu.
 
WA
Lisu kupitia wapelelezi wake, tayari ashaanza kumjua ni nani aliepanga shambulizi dhidi yake. Kwahiyo tusimlaumu sana kwa kutoshughulikia swala la mwenyekiti. Ni kitendo cha muda tu ataanza kuunguza nyumba na kila mtu atashangaa.

Kifupi Lisu ashaufahamu vizuri ule msemo usemao kikulacho kinguoni mwako. Umaarufu wake ndani ya chama na nje ya chama miaka ya 2016 hadi 2017 ndio iliosababisha jamaa awahi kukihami kiti chake ili asije kunyanganywa au kushindwa vibaya katika uchaguzi mkuu wa chama na mropokaji huyu. RIP Chacha Wangwe, na pole ndugu Lisu.
TU WAKIAMBIWA WANABISHA NA KUMUONA KAMA MALAIKA PALE UFIPA LAKINI MUDA NI MWALIMU MZURI KARIBU YANAFICHUKA POLE GAIDI
 
Lisu kupitia wapelelezi wake, tayari ashaanza kumjua ni nani aliepanga shambulizi dhidi yake. Kwahiyo tusimlaumu sana kwa kutoshughulikia swala la mwenyekiti. Ni kitendo cha muda tu ataanza kuunguza nyumba na kila mtu atashangaa.

Kifupi Lisu ashaufahamu vizuri ule msemo usemao kikulacho kinguoni mwako. Umaarufu wake ndani ya chama na nje ya chama miaka ya 2016 hadi 2017 ndio iliosababisha jamaa awahi kukihami kiti chake ili asije kunyanganywa au kushindwa vibaya katika uchaguzi mkuu wa chama na mropokaji huyu. RIP Chacha Wangwe, na pole ndugu Lisu.
Swali la msingi,ni nani aliyewaondoa walinzi wa Suma JKT pale area D langoni kuingia makazi ya viongozi ambapo ndipo Lissu aliposhambuliwa?Ukilitafakari hili basi utajua nani alikuwa nyuma ya mchezo!
 
Organisation ndani ya Chadema imepungua, Mbowe yuko jela, Lema na Lissu wakiwa kama viongozi ndani ya chama nao hawapo nchini, sasa amebaki KM peke yake mzigo wote unamuelemea, ndio maana ameanza kuonekana hatoshi.

Lazima itafutwe namna hawa watu waliokimbia nchi warudi, ama sivyo, wajipange upya;

- Lissu adui yake mkubwa alikuwa ni Magufuli, na ndio alisema alikuwa anatoa maelekezo afanyiwe unyama, now Magufuli is gone, bahati mbaya Samia nae haaminiki, ushauri wa wasaidizi wake anauchukua kama ulivyo.

- Lema alikimbia kesi ya kubambikiwa, Samia akasema hataki watu waonewe tena, baada ya muda mfupi tunamuona Mbowe anabambikiwa kesi, hapa napo Samia haaminiki.

Lissu na Lema wanaweza kuendelea kuwepo nje ya nchi kwa muda mrefu zaidi, Chadema lazima wajipange upya kukabiliana na hali hii inayowakuta.

Kikao cha Samia na upinzani (Chadema ikiwepo) kingemaliza hii hali mapema sana, but Mbowe kuwa gerezani maana yake hicho kikao sidhani kama kitakuwepo tena, na yale majibu ya Samia kwenye interview ya BBC ndio yanakatisha tamaa kabisa.

Chadema sasa watafute njia za kujipanga, video conferencing inaweza kutumika, sio kushinda twitter day and night; wajue namna mpya ya kukabiliana na CCM inayobebwa mgongoni na jeshi la polisi ili kuendana na hali ya kisiasa nchini inayowakuta kwa sasa.

Kwenda makanisani na uniform za chama hiyo strategy sijaipenda, nyumba za ibada ziheshimiwe, CCM wakikosea Chadema wasirudie kosa la CCM, watachafuliwa na tope la CCM mwishowe wafanane na CCM halafu wananchi wakose namna ya kuwatofautisha iwe faida kwa CCM, Chadema wanatakiwa kwenda three steps ahead of CCM kama walivyokuwa wakifanya.

I repeat, organisation is needed ndani ya Chadema, they have to re-group to find new ways and means, Chadema haifi, lakini wasipokuwa makini itadumaa.
hawataweza tena wameshachelewa wacha waendelee kuganga njaa tu kidogokidogo
 
Back
Top Bottom