ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Itaendelea mkishamalizana na Askofu Rashidi Gwajima.Hujui chochote dada!
Vipi zoezi lenu la bawacha kuwatoa kina Mdee bungeni lilifanikiwa au mmemuachia Mungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itaendelea mkishamalizana na Askofu Rashidi Gwajima.Hujui chochote dada!
Vipi zoezi lenu la bawacha kuwatoa kina Mdee bungeni lilifanikiwa au mmemuachia Mungu?
Na jamaa alisema kabisa kwamba ni kweli alikuwa amedhamiria kumla kiboga Pambalu wala sio kumtishia tuPunguza mizaha yani Pambalu baada ya kuonyeshwa na kuitwa akalie gomgo ya kati kati ya mapaja KAUMWAGA.
Kasikutishe hako bwana tunajua hiyo ni kawaida yao kutaka kutuaminisha kwamba wanajua kila kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe dada huwa una mikwara sana!
Hii mikwara yako si uwe unaenda nayo pale Central?
Utaonyesha busara zaidi kama utapeleka ushahidi na vielelezo vyako kwenye vyombo vya dola ili kuwasaidia Polisi wapate nguvu ya kulimaliza swala hilo. Sasa huna tofauti na mjukuu wa shetani wa kule kwenu.pesa haishindwi mbowe anakesi ya kufadhiri ugaidi moja ya ugaidi ni huo kufadhiri walinzi wasiwepo eneo la kazi ili watu wa mbowe wafanye yao wa lissu
Tatizo ninyi mwafahamu kila kitu mkishauriwa hata kwa nia njema mnajibu tu bila kutafakari kwanza.Organisation ndani ya Chadema imepungua, Mbowe yuko jela, Lema na Lissu wakiwa kama viongozi ndani ya chama nao hawapo nchini, sasa amebaki KM peke yake mzigo wote unamuelemea, ndio maana ameanza kuonekana hatoshi.
Lazima itafutwe namna hawa watu waliokimbia nchi warudi, ama sivyo, wajipange upya;
- Lissu adui yake mkubwa alikuwa ni Magufuli, na ndio alisema alikuwa anatoa maelekezo afanyiwe unyama, now Magufuli is gone, bahati mbaya Samia nae haaminiki, ushauri wa wasaidizi wake anauchukua kama ulivyo.
- Lema alikimbia kesi ya kubambikiwa, Samia akasema hataki watu waonewe tena, baada ya muda mfupi tunamuona Mbowe anabambikiwa kesi, hapa napo Samia haaminiki.
Lissu na Lema wanaweza kuendelea kuwepo nje ya nchi kwa muda mrefu zaidi, Chadema lazima wajipange upya kukabiliana na hali hii inayowakuta.
Kikao cha Samia na upinzani (Chadema ikiwepo) kingemaliza hii hali mapema sana, but Mbowe kuwa gerezani maana yake hicho kikao sidhani kama kitakuwepo tena, na yale majibu ya Samia kwenye interview ya BBC ndio yanakatisha tamaa kabisa.
Chadema sasa watafute njia za kujipanga, video conferencing inaweza kutumika, sio kushinda twitter day and night; wajue namna mpya ya kukabiliana na CCM inayobebwa mgongoni na jeshi la polisi ili kuendana na hali ya kisiasa nchini inayowakuta kwa sasa.
Kwenda makanisani na uniform za chama hiyo strategy sijaipenda, nyumba za ibada ziheshimiwe, CCM wakikosea Chadema wasirudie kosa la CCM, watachafuliwa na tope la CCM mwishowe wafanane na CCM halafu wananchi wakose namna ya kuwatofautisha iwe faida kwa CCM, Chadema wanatakiwa kwenda three steps ahead of CCM kama walivyokuwa wakifanya.
I repeat, organisation is needed ndani ya Chadema, they have to re-group to find new ways and means, Chadema haifi, lakini wasipokuwa makini itadumaa.
KILA kitu kinajulikana subirini kesi ianze mtaficha wapi sijui sura zenuUtaonyesha busara zaidi kama utapeleka ushahidi na vielelezo vyako kwenye vyombo vya dola ili kuwasaidia Polisi wapate nguvu ya kulimaliza swala hilo. Sasa huna tofauti na mjukuu wa shetani wa kule kwenu.
Britanicca, umenisikitisha sana maana sikutegemea uandike vitu kama hivi. Unadhani kuna mtu anapenda kuwa njee ya nch yake? Lisu is right kutetea maisha yake. Haya ya Pambalu uliyashuhudia? Nimeanza ku doubt credibility yako. Hii ni nchi ya ki dicteita, sidhani kama ni busara kuwa dead hero. Wapigania uhuru mara nyingi wanakimbia nchi maisha yao yanapokuwa hatarini. I was in Uganda during Idd Amin era, people were dying like hell! Waganda ni jeuri sana, lkn kwa mauaji yale wengi walikimbia. Hivyo lazima kutetea maisha kwanza kabla ya kujitoa mhangaNi siku zaidi ya 20 ambayo Mwenyekiti wa CHADEMA yupo jela bila kuonesha actions za maana
1. Nimeshangaa sana Godbless Lema anamlaumu Bob Wine wa Uganda kutolaumu serikali ya Samia kwa sakata la Mbowe nimejiuliza maswali mengi sana are we serious?
2. Press ya awali ya Mnyika ilinipa picha kwamba hakuna matumaini yeyote juu ya mipango wanayosema
3. Sasa hivi ndani ya Chama wamegawanyika sana!
4. Lissu anogopa Kwenda Tanzania kuhamasisha mabadiliko on ground anaishia kumtuma bwana Godfrey Rwehumbiza wa Bangkok amuombee msamaha kwa Samia na kufutiwa mashtaka Yaan anajinasua mwenyewe tu!! Huyu Rwehumbiza Ana act kama Balozi wa Tanzania nchini Thailand anakaa Soi 7 Sukhumvit road Thonglou. Japo Tanzania tunapata Visa za Thailand kupitia Kenya ila Rwehumbiza ndio anafanya uwakilishi wa mambo kadhaaa
3. Vijana wa CHADEMA hawana kinachoendelea zaidi ya BAWACHA ndio wanafanya kazi kubwa!!! Wao wenyewe wanazungukana! Walikubaliana woote waliokamatwa Mwanza wasikubali dhamana ila John Pambalu baada ya kutishiwa na mtuhumiwa pale Central kwa kutoa uume wake na kumtisha kwamba njoo tulale akapiga kelele asubuhi Anaomba dhamana !
4. LISSU anabeza sana mawazo ya wengine aliona kwamba yeye mawazo yake ndio alpha na Omega Kuna matatizo
Britanicca
🤣🤣 Kuna ma-dikteta chipukizi vimejificha kwenye kichaka cha u-modKuna jinga moja lilinifanya niende jela ya hapa jf
Alafu kuna mods humu wana vimihemuko balaa, ukitoa coment inayochoma moyo wake wa kisiasa unashangaa anabonyeza kitufe cha ban
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukisema hakuna mikakati mipya ya kuinyanyua Chadema kwasababu CCM na polisi wanatumia kila aina ya mbinu kuwakandamiza maana yake unakubali Chadema ife au idumae, haya mawazo yako ni sumu kwa maendeleo ya chama.Kuanzia awamu ya 5, CCM/dola imeshachukua hatua zote kuhakikisha CHADEMA hawatafanya kazi tena kama chama cha siasa. Kiuhalisia, CHADEMA inachukuliwa kama kikundi cha ugaidi. Ajenda kuu ya TISS, polisi, n.k. ni kufuatilia nyendo zote za viongozi na makada muhimu wa CHADEMA na kuwavurugia iwe kisheria au hata nje ya sheria. Wanaoweza kununuliwa wanachomolewa. Wanaoweza kupotezwa (neutralised) wanapotezwa.
Leo hii mtu “cool” kama Mbowe anafunguliwa kesi ya ugaidi? Tena enzi za SSH? Halafu bado wapo wanaofikiri uimara wa CHADEMA utategemea kuja na “mikakati bora” ya kuendesha chama! Kwa kifupi, hakuna mkakati wa kioganaizesheni, kisiasa, kiuchumi, n.k. unaoweza kuisadia CHADEMA kuimarika zaidi ya ilipofikia. Ukisoma comments za wapambe wa CCM/serikali hapa JF ndipo utaliona jibu sahihi.
Wanawacheka CHADEMA kwa kutoitikia wito wa Lissu wa kuandamana au wito wa kuendelea na mikutano ya katiba licha ya polisi kuzuia. Wanawacheka kwa “kutolianzisha” ili kumtoa mwenyekiti wao jela badala ya kulialia tu kwenye mitandao.
Nionavyo, ni mpaka siku ajenda/hoja za CHADEMA zitakapoeleweka kwa wananchi wengi hadi kuamua “kulianzisha kiroho mbaya” ndipo CCM/dola itakapolazimika kuacha ujinga na kustaarabika. Hizi mada za mikakati ya CHADEMA zinaanzishwa na wanapropaganda wa CCM/dola ili kukebehi na kubeza chama hicho na kuwachanganya wanachama na mashabiki wake.
Du!!! Kumbe alikua ana ingiziwaWengi waliosema Chadema itakufa wamekufa, akiwemo jiwe aliyekuwa anakulipa na ukifanya mchezo tutaweka hadharani akaunti ya NMB uliyokuwa unaingiziwa pesa wewe na mamluki wenzio kabla hujatemwa.
Nmejifunza hapa jf ukiwa na siasa za misimamo mikali kama alshabab utapigwa ban kila siku
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni tapeli wa kimataifa ukirudi bongo kabla wajomba awajakudaka lazima tukupakate ukalie runguUngesema tu lengo la post yako ni kumchafua Lissu. Umetumwa na yule Lissu alimuita MJINGA? Maana naskia kajiapiza "kummaliza Lissu" (clue: he won't and can't).
Mkuu britanicca, haya wewe ndio unayaona leo?!. These people have never been serious hata kidogo!. Wangekuwa serious saa hizi siku nyingi wangekuwa Ikulu!. Angalia hapa niliwashauri nini na lini, wangeufuata ushauri huu, saa hizi wangekuwa Ikulu!.nimejiuliza maswali mengi sana are we serious?
Sasa hivi ndani ya Chama wamegawanyika sana!.
LISSU anabeza sana mawazo ya wengine aliona kwamba yeye mawazo yake ndio alpha na Omega Kuna matatizo
Britanicca
Mkuu britanicca, haya wewe ndio unayaona leo?!. These people have never been serious hata kidogo!. Wangekuwa serious saa hizi siku nyingi wangekuwa Ikulu!. Angalia hapa niliwashauri nini na lini, wangeufuata ushauri huu, saa hizi wangekuwa Ikulu!.
PElections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Wanabodi, Kuna msemo usemao numbers don't lie, hili ni bandiko la numbers na data, kama sio mzuri wa mathematics na arithmetics nakushauri bandiko hili bora ulipitie mbali and save your time and money kwasababu time is money. Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana...www.jamiiforums.com
Mkuu Ngongo , kwanza ni kweli, niligombea kuteuliwa Kawe kupitia CCM, na nilipata kura moja, na baada ya uchaguzi ule, sio tuu nilijishauri, bali pia nilitoa ombi maalum humu jf kwa wana jf wenzangu,Kawe ulipata kura moja,jishauri kwanza wewe mwenyewe ilikuwaje.
Kama Ile ya kwenye chafuzi za wanakijani sio?Chademaa hawajawahi kuwa serious, watu wao walipopoteza ubunge ndio wakaanza visa kwasababu wamekosa "ulaji".
Wanakosa ajenda na mipango ya kimkakati, wakae watambue kuitoa CCM kunahitaji mikakati ya kweli.
ISHAKUFA, MBUNGE MMOJA?? ACHA UTANIMkuu haya maono kuwa CHADEMA inakwenda kufa yako toka enzi za kina Wasira. Hivyo huna mawazo tofauti na hao wengine lakini ikawa tofauti. Endelea kuota kaka.