Hujui chochote dada!wewe bado ni kijana mdogo sana , wakati wewe unalipwa elfu 7 kwa wiki wenzio wanapiga hela ya maana .
Chadema hawakufa wakati wa Magufuli sio rahisi wafe wakati huu.Ni siku zaidi ya 20 ambayo Mwenyekiti wa CHADEMA yupo jela bila kuonesha actions za maana
1. Nimeshangaa sana Godbless Lema anamlaumu Bob wine wa Uganda kutolaumu serikal ya Samia kwa sakata la Mbowe nimejiuliza maswali mengi sana are we serious????
2. Press ya awali ya Mnyika ilinipa picha kwamba hakuna matumaini yeyote juu ya mipango wanayosema
3. Sasa hivi ndani ya Chama wamegawanyika sana!!
4. LISSU anogopa Kwenda Tanzania kuhamasisha mbadiliko on ground anaishia kumtuma bwana Godfrey Rwehumbiza wa Bangkok amuombee msamaa kwa Samia na kufutiwa mashtaka Yaan anajinasua mwenyewe tu!! Huyu Rwehumbiza Ana act kama Balozi wa Tanzania nchini Thailand anakaa Soi 7 Sukhumvit road Thonglou ! Japo Tanzania tunapta Visa za Thailand kupitia Kenya ila Rwehumbiza ndo anafanya uwakilishi wa mambo kadhaaa
3. Vijana wa CHADEMA hawana kinachoendelea zaidi ya BAWACHA ndo wanafanya kazi kubwa!!! Wao wenyewe wanazungukana! Walikubaliana woote waliokamatwa mwanZa wasikubali dhamana ila John Pambalu baada ya kutishiwa na mtuhumiwa pale Central kwa kutoa bol. Lake na kumtisha kwamba njoo tulale akapiga kelele asubuhi Anaomba dhamana !
4. LISSU anabeza sana mawazo ya wengine aliona kwamba yeye mawazo yake ndo alpha na Omega Kuna matatizo
Britanicca
Inaonesha hujamwelewa jamaa! Kwanza huyo ni chadema mwenzenu kama hujuiWengi waliosema Chadema itakufa wamekufa , akiwemo jiwe aliyekuwa anakulipa , na ukifanya mchezo tutaweka hadharani akaunti ya NMB uliyokuwa unaingiziwa pesa wewe na mamluki wenzio kabla hujatemwa
Karibu, ulikuwa jela nini, au ulienda short course chuo cha chama ili kujiondoa kipropaganda?Nakusalimia mkuu tindo!
[emoji23][emoji23][emoji23]
He knows how dumb you are.He knows I know
Asha bakwa ๐๐๐au unamaanisha john alikuwa anataka kubakwa!!?
Kuna jinga moja lilinifanya niende jela ya hapa jfKaribu, ulikuwa jela nini, au ulienda short course chuo cha chama ili kujiondoa kipropaganda?
Kwa hiyo Bwana Pambalu alivyooneshwa tu dyudyu akalilia dhamana๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐๐๐๐. Kamanda gani muoga hivyo! britanicca unaua huku aisee! Waione tindo Salary Slip Chakaza Mshana Jr Mmawia brazajwewe bado ni kijana mdogo sana , wakati wewe unalipwa elfu 7 kwa wiki wenzio wanapiga hela ya maana .
Mtumeeeeeee!!Asha bakwa [emoji38][emoji38][emoji38]
Ni mawazo yako lazima yaheshimiwe lakini kumbuka Chadema hawapambani na CCM Bali wanapambana na vyombo vya Dola vyenye kutesa na kidhulu,Sasa kwa hali hiyo Mimi Naona jamaa wako vizuri kwenye mapambano .badala ya kuwabeza ungewapa moyo wazidi kupambana.Ni siku zaidi ya 20 ambayo Mwenyekiti wa CHADEMA yupo jela bila kuonesha actions za maana
1. Nimeshangaa sana Godbless Lema anamlaumu Bob Wine wa Uganda kutolaumu serikali ya Samia kwa sakata la Mbowe nimejiuliza maswali mengi sana are we serious?
2. Press ya awali ya Mnyika ilinipa picha kwamba hakuna matumaini yeyote juu ya mipango wanayosema
3. Sasa hivi ndani ya Chama wamegawanyika sana!
4. Lissu anogopa Kwenda Tanzania kuhamasisha mabadiliko on ground anaishia kumtuma bwana Godfrey Rwehumbiza wa Bangkok amuombee msamaha kwa Samia na kufutiwa mashtaka Yaan anajinasua mwenyewe tu!! Huyu Rwehumbiza Ana act kama Balozi wa Tanzania nchini Thailand anakaa Soi 7 Sukhumvit road Thonglou. Japo Tanzania tunapata Visa za Thailand kupitia Kenya ila Rwehumbiza ndio anafanya uwakilishi wa mambo kadhaaa
3. Vijana wa CHADEMA hawana kinachoendelea zaidi ya BAWACHA ndio wanafanya kazi kubwa!!! Wao wenyewe wanazungukana! Walikubaliana woote waliokamatwa Mwanza wasikubali dhamana ila John Pambalu baada ya kutishiwa na mtuhumiwa pale Central kwa kutoa uume wake na kumtisha kwamba njoo tulale akapiga kelele asubuhi Anaomba dhamana !
4. LISSU anabeza sana mawazo ya wengine aliona kwamba yeye mawazo yake ndio alpha na Omega Kuna matatizo
Britanicca
Nitake radhi Plz kabisaaa Huyo Shetani Magufuli usimuweke kwenye mingo zanguWengi waliosema Chadema itakufa wamekufa, akiwemo jiwe aliyekuwa anakulipa na ukifanya mchezo tutaweka hadharani akaunti ya NMB uliyokuwa unaingiziwa pesa wewe na mamluki wenzio kabla hujatemwa
Chahali acha Mambo ya ovyo mi Nitumwe na nani??? We ndo unasema kwa mawazo haya huwezi ngโamua nachosema?? Inamaana mtu akiwa na mawazo mbadala katumwa?Ungesema tu lengo la post yako ni kumchafua Lissu. Umetumwa na yule Lissu alimuita MJINGA? Maana naskia kajiapiza "kummaliza Lissu" (clue: he won't and can't).