Naiona failure ya CHADEMA kwa Mbaali japo ni wabishi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe dada huwa una mikwara sana!

Hii mikwara yako si uwe unaenda nayo pale Central?
Kasikutishe hako bwana tunajua hiyo ni kawaida yao kutaka kutuaminisha kwamba wanajua kila kitu
 
pesa haishindwi mbowe anakesi ya kufadhiri ugaidi moja ya ugaidi ni huo kufadhiri walinzi wasiwepo eneo la kazi ili watu wa mbowe wafanye yao wa lissu
Utaonyesha busara zaidi kama utapeleka ushahidi na vielelezo vyako kwenye vyombo vya dola ili kuwasaidia Polisi wapate nguvu ya kulimaliza swala hilo. Sasa huna tofauti na mjukuu wa shetani wa kule kwenu.
 
Tatizo ninyi mwafahamu kila kitu mkishauriwa hata kwa nia njema mnajibu tu bila kutafakari kwanza.

Mimi pia nimewashauri humu mtafute strategists wawasaidie hilo pia linawashinda.
 
Utaonyesha busara zaidi kama utapeleka ushahidi na vielelezo vyako kwenye vyombo vya dola ili kuwasaidia Polisi wapate nguvu ya kulimaliza swala hilo. Sasa huna tofauti na mjukuu wa shetani wa kule kwenu.
KILA kitu kinajulikana subirini kesi ianze mtaficha wapi sijui sura zenu
 
Britanicca, umenisikitisha sana maana sikutegemea uandike vitu kama hivi. Unadhani kuna mtu anapenda kuwa njee ya nch yake? Lisu is right kutetea maisha yake. Haya ya Pambalu uliyashuhudia? Nimeanza ku doubt credibility yako. Hii ni nchi ya ki dicteita, sidhani kama ni busara kuwa dead hero. Wapigania uhuru mara nyingi wanakimbia nchi maisha yao yanapokuwa hatarini. I was in Uganda during Idd Amin era, people were dying like hell! Waganda ni jeuri sana, lkn kwa mauaji yale wengi walikimbia. Hivyo lazima kutetea maisha kwanza kabla ya kujitoa mhanga
 
Kuna jinga moja lilinifanya niende jela ya hapa jf

Alafu kuna mods humu wana vimihemuko balaa, ukitoa coment inayochoma moyo wake wa kisiasa unashangaa anabonyeza kitufe cha ban
[emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣 Kuna ma-dikteta chipukizi vimejificha kwenye kichaka cha u-mod
 
Ukisema hakuna mikakati mipya ya kuinyanyua Chadema kwasababu CCM na polisi wanatumia kila aina ya mbinu kuwakandamiza maana yake unakubali Chadema ife au idumae, haya mawazo yako ni sumu kwa maendeleo ya chama.

Leo nimeona Pambalu anasema makongamano ya Katiba Mpya yanaendelea mkoa wa Mara licha ya Mbowe kuwa gerezani, hii ndio mojawapo ya mbinu mpya, never look back, kama CCM walidhani kumkamata Mbowe ndio wamemaliza mchezo wamefeli.

Ukisubiri ajenda za Chadema zieleweke kwa wananchi ili wananchi "walianzishe" nayo ni maneno ya kujifariji tu, utasubiri mpaka lini? upo tayari kulianzisha?Chadema ina miaka zaidi ya ishirini tangu ianzishwe, kama mpaka leo haijaeleweka kwa wananchi, utasubiri miaka mingine mingapi?
 
Wengi waliosema Chadema itakufa wamekufa, akiwemo jiwe aliyekuwa anakulipa na ukifanya mchezo tutaweka hadharani akaunti ya NMB uliyokuwa unaingiziwa pesa wewe na mamluki wenzio kabla hujatemwa.
Du!!! Kumbe alikua ana ingiziwa
 
Nmejifunza hapa jf ukiwa na siasa za misimamo mikali kama alshabab utapigwa ban kila siku

[emoji23][emoji23][emoji23]

Sio kweli, bendera fuata upepo huo sio msimamo. Labda unaongelea kitu kingine lakini sio msimamo.
 
Ungesema tu lengo la post yako ni kumchafua Lissu. Umetumwa na yule Lissu alimuita MJINGA? Maana naskia kajiapiza "kummaliza Lissu" (clue: he won't and can't).
Wewe ni tapeli wa kimataifa ukirudi bongo kabla wajomba awajakudaka lazima tukupakate ukalie rungu
 
nimejiuliza maswali mengi sana are we serious?
Sasa hivi ndani ya Chama wamegawanyika sana!.
LISSU anabeza sana mawazo ya wengine aliona kwamba yeye mawazo yake ndio alpha na Omega Kuna matatizo

Britanicca
Mkuu britanicca, haya wewe ndio unayaona leo?!. These people have never been serious hata kidogo!. Wangekuwa serious saa hizi siku nyingi wangekuwa Ikulu!. Angalia hapa niliwashauri nini na lini, wangeufuata ushauri huu, saa hizi wangekuwa Ikulu!.
P
 

Kawe ulipata kura moja,jishauri kwanza wewe mwenyewe ilikuwaje.
 
Chadema hawana Sera inayogusa watanzania wote zaidi ya mambo yao ya kupata madaraka tu.

Kuna wanaharakati huru waliojitolea kujenga uelewa kwa watanzania na kujua madhaifu na maovu ya serikali jambo lililopelekea watanzania wengi kuanza kujielewa.
Mfano Kigogo wa kwenye Twitter.
Mange Kimambi.
Maria Sarungi.
Shangazi Fatma Karume.
Tobias Marandu n.k.
Paskali Mayalla na wengine.

Chadema kwa sababu ya siasa zisizo na ulekea wakadhani kuwa wanaporwa umaarufu wao na kuanza kuruka ruka na agenda za wanaharakati.

Ni kosa kubwa sana kurukia kila agenda na kujibu kwa kukurupuka ushauri au tamko la wanaharakati.
Wanaharakati ni watu wenye kipaji hicho hivyo inapaswa kuwaheshimu na kuwapa nafasi yao ya kushauri au kukosoa sio kuwachukulia kama wanasiasa wanaosaka madaraka.

Kigogo Leo anaonekana ni adui mkubwa na kujaribu hata kumtaja jina . Ni jambo baya sana. Je, hao Chadema wakiingia Ikulu watawachukuliaje hao wanaharakati kama wanashindwa kuwaelewa leo.?
Siasa na harakati zinafanywa kwa tahadhari kubwa sana sio kama Chadema wanavyodandia dandia .


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Kawe ulipata kura moja,jishauri kwanza wewe mwenyewe ilikuwaje.
Mkuu Ngongo , kwanza ni kweli, niligombea kuteuliwa Kawe kupitia CCM, na nilipata kura moja, na baada ya uchaguzi ule, sio tuu nilijishauri, bali pia nilitoa ombi maalum humu jf kwa wana jf wenzangu,

Hivyo huku kila siku kurudia rudia ulipata kura moja, ni kama kunisimanga!.
Please!. Japo nilipata kura moja, lakini ugombea ule umeisaidia sana jf, mimi Pasco Mayalla as a verified member wa jf, mimi ndie member wa kwanza wa jf, to be officially recognized by JF kama kada wa kwanza wa CCM kuwa jf member. This is good to jf, kama kada wa CCM anaweza kuwa member wa jf, hii inaamisha jf ni mtandao safi wa watu wote, vyama vyote na hata wasio na vyama. Kabla ya ule utambulisho wangu mpya wa "Pasco Mayalla ni kada wa CCM", kuna members humu wa chama fulani, walitamalaki humu kupita kiasi na kuufanya huu mtandao wa jf, kuonekana kama ni mtandao wao, hivyo sasa nime neutralize, JF ni mtandao wa wote. Isn't this good?
P
 
Chademaa hawajawahi kuwa serious, watu wao walipopoteza ubunge ndio wakaanza visa kwasababu wamekosa "ulaji".

Wanakosa ajenda na mipango ya kimkakati, wakae watambue kuitoa CCM kunahitaji mikakati ya kweli.
 
Chademaa hawajawahi kuwa serious, watu wao walipopoteza ubunge ndio wakaanza visa kwasababu wamekosa "ulaji".

Wanakosa ajenda na mipango ya kimkakati, wakae watambue kuitoa CCM kunahitaji mikakati ya kweli.
Kama Ile ya kwenye chafuzi za wanakijani sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…