Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Samia ni ya kuigwa. Vijana tujiandae kwa mabadiliko

Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Samia ni ya kuigwa. Vijana tujiandae kwa mabadiliko

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Mabadiliko yanapotokea ni ngumu sana kuyapokea. Bahati nzuri ni kwamba hata yawe magumu kivipi lakini huwa inawezekana.

Siasa za Ulaya na Marekani zilikuwa na sura sawa na hizi za Tanzania na Afrika miaka 200 iliyopita.

Sasa Mh Rais Samia ameamua baada ya kutafakari na kugundua kuwa siasa za misuguank hazina faida yoyote kwa Mama tanzania.

Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Samia na Mwenyezi Mungu ambariki sana na kumwezesha.

CCM, CHADEMA na ACT tujipange kwa mabadiliko haya chanya

Misuguano, ghilba na uhasama vunawadaidisha watu wachache wenye ubinafsi badala ya Taifa.

Sisi vijana wa Tanzania tuko tayari kuwa chachu ya mabadiliko kisera, kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Kwaresma njema.
 
If you want to please everyone it's best ukauze Icecream...
Uwa please Watanzania na Mabeberu...
Ccm wenzake na Upinzani...
Maskini na Matajiri...
Walipa kodi na Wakwepa kodi...
Watenda haki na wasioipenda haki...
Wapigaji na Watu safi...
Wachapa kazi na goigoi waliopo serikalini..
She got to choose her side of the coin and stick to otherwise time will passby and atakua na vitu vichache sana vya kujivunia Coz mda mwingi atakua bze kupiga bla bla za ku please makundi mbali mbali yakiwemo makundi yasio sahihi...
 
If you want to please everyone it's best ukauze Icecream...
Uwa please Watanzania na Mabeberu...
Ccm wenzake na Upinzani...
Maskini na Matajiri...
Walipa kodi na Wakwepa kodi...
Watenda haki na wasioipenda haki...
Wapigaji na Watu safi...
Wachapa kazi na goigoi waliopo serikalini..
She got to choose her side of the coin and stick to otherwise time will passby and atakua na vitu vichache sana vya kujivunia Coz mda mwingi atakua bze kupiga bla bla za ku please makundi mbali mbali yakiwemo makundi yasio sahihi...
Hayo ni yako. So far Rais anafanya vizuri. Angalau kwa sasa she can win a benefit of doubt
 
If you want to please everyone it's best ukauze Icecream...
Uwa please Watanzania na Mabeberu...
Ccm wenzake na Upinzani...
Maskini na Matajiri...
Walipa kodi na Wakwepa kodi...
Watenda haki na wasioipenda haki...
Wapigaji na Watu safi...
Wachapa kazi na goigoi waliopo serikalini..
She got to choose her side of the coin and stick to otherwise time will passby and atakua na vitu vichache sana vya kujivunia Coz mda mwingi atakua bze kupiga bla bla za ku please makundi mbali mbali yakiwemo makundi yasio sahihi...
Postive ichukue. Negative achana nayo.
 
If you want to please everyone it's best ukauze Icecream...
Uwa please Watanzania na Mabeberu...
Ccm wenzake na Upinzani...
Maskini na Matajiri...
Walipa kodi na Wakwepa kodi...
Watenda haki na wasioipenda haki...
Wapigaji na Watu safi...
Wachapa kazi na goigoi waliopo serikalini..
She got to choose her side of the coin and stick to otherwise time will passby and atakua na vitu vichache sana vya kujivunia Coz mda mwingi atakua bze kupiga bla bla za ku please makundi mbali mbali yakiwemo makundi yasio sahihi...
Side aliyochukua yeye ni nzuri zaidi, So unataka awapende CCM awachukie Upinzani hadi kuwatandika risasi? Awatukane mabeberu mchana then usiku apite mlango wa nyuma kuwakopa mamikopo ya ajabu? Awaweke akina Ruge Mahabusu miaka 5 kwa kesi ambazo hazina ushahidi wa maana? Apore wafanyabiashara fedha zao baada ya kuwabambikia makodi ya hovyo? Hao goigoi wamewahi kuisha lini TZ/Duniani? Acha Chuki, Acha unafiki
 
Mabadiliko yanapotokea ni ngumu sana kuyapokea. Bahati nzuri ni kwamba hata yawe magumu kivipi lakini huwa inawezekana.

Siasa za Ulaya na Marekani zilikuwa na sura sawa na hizi za Tanzania na Afrika miaka 200 iliyopita.

Sasa Mh Rais Samia ameamua baada ya kutafakari na kugundua kuwa siasa za misuguank hazina faida yoyote kwa Mama tanzania.

Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Samia na Mwenyezi Mungu ambariki sana na kumwezesha.

CCM, CHADEMA na ACT tujipange kwa mabadiliko haya chanya

Misuguano, ghilba na uhasama vunawadaidisha watu wachache wenye ubinafsi badala ya Taifa.

Sisi vijana wa Tanzania tuko tayari kuwa chachu ya mabadiliko kisera, kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Kwaresma njema.
UVCCM tupo tayari
 
Mabadiliko yanapotokea ni ngumu sana kuyapokea. Bahati nzuri ni kwamba hata yawe magumu kivipi lakini huwa inawezekana.

Siasa za Ulaya na Marekani zilikuwa na sura sawa na hizi za Tanzania na Afrika miaka 200 iliyopita.

Sasa Mh Rais Samia ameamua baada ya kutafakari na kugundua kuwa siasa za misuguank hazina faida yoyote kwa Mama tanzania.

Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Samia na Mwenyezi Mungu ambariki sana na kumwezesha.

CCM, CHADEMA na ACT tujipange kwa mabadiliko haya chanya

Misuguano, ghilba na uhasama vunawadaidisha watu wachache wenye ubinafsi badala ya Taifa.

Sisi vijana wa Tanzania tuko tayari kuwa chachu ya mabadiliko kisera, kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Kwaresma njema.
Such optimistic? No. I'm still pessimistic until I see from her a material constitutional reform initiative.
 
Side aliyochukua yeye ni nzuri zaidi, So unataka awapende CCM awachukie Upinzani hadi kuwatandika risasi? Awatukane mabeberu mchana then usiku apite mlango wa nyuma kuwakopa mamikopo ya ajabu? Awaweke akina Ruge Mahabusu miaka 5 kwa kesi ambazo hazina ushahidi wa maana? Apore wafanyabiashara fedha zao baada ya kuwabambikia makodi ya hovyo? Hao goigoi wamewahi kuisha lini TZ/Duniani? Acha Chuki, Acha unafiki
eti bwana.
 
ACHA kudanganya mkuu!!Mama hana ushawishi wowote wa kisiasa anaongozwa tu hana idea kabisa na hakujiandaa kuwa Raisi!!hata hivyo amechelewa Sana kufanya yale maagizo ya the state Baada ya kuapishwa !!alishaanza kuingia kiburi cha msoga !!nadhani kapata tishio toka KWA wenye nchi ndio maana anatafuta maridhiano!!Trust me kesha tambua hatogombea 2025!!Na lazima katiba ipatikane kabla ya 2025 siyo kwa matakwa yake bali ya kusukumwa na wenye nchi!!kwani katiba iliyopo ingemfeva Sana hapo 2025!!kifupi kaamua kutema ndoano kistaarabu!!!
 
Mabadiliko yanapotokea ni ngumu sana kuyapokea. Bahati nzuri ni kwamba hata yawe magumu kivipi lakini huwa inawezekana.

Siasa za Ulaya na Marekani zilikuwa na sura sawa na hizi za Tanzania na Afrika miaka 200 iliyopita.

Sasa Mh Rais Samia ameamua baada ya kutafakari na kugundua kuwa siasa za misuguank hazina faida yoyote kwa Mama tanzania.

Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Samia na Mwenyezi Mungu ambariki sana na kumwezesha.

CCM, CHADEMA na ACT tujipange kwa mabadiliko haya chanya

Misuguano, ghilba na uhasama vunawadaidisha watu wachache wenye ubinafsi badala ya Taifa.

Sisi vijana wa Tanzania tuko tayari kuwa chachu ya mabadiliko kisera, kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Kwaresma njema.
Always Live on the present moment 🙌🏾
 
Back
Top Bottom