Naipata maumivu nikikojoa siku chache baada ya kufanya mapenzi. Huu utakuwa ni ugonjwa gani?

Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.

Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Huo sio ugonjwa. Mboo imechoka tu mkuu..




Japo nakukumbusha Trump kachomoa betri.
 
Kenge maji mwenyewe, Sawa nitaenda hospital bloh
Hiv mnachukulia mzaha mzaha sana suala la afya eti??
Mimi nilishawahi kupata hiyo hali yako, tena kwa mara ya kwanza tuu nilipokojoa nikahisi maumivu, ilikua saa 6 usiku ni fasta nilitafuta hospitali iko wapi!!..sikusubiri mara ya pili wala asubuh kukuche
Niko serious sana na intrussion ya hali za ajab ajab mwilini mwangu.
Nakushangaa wewe unayetaka kuokoteza ushauri wa dawa za kutumia mtandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…