Hujasikia huko Trump kasema ile misaada ya USAID Kwa hisank ya watu Marekani amesitisha yote?Dah unanikosesha nguvu
Maamuzi memaNaacha umalaya
Bro naogopa hapaHujasikia huko Trump kasema ile misaada ya USAID Kwa hisank ya watu Marekani amesitisha yote?
Dah yani nimpe mimba mwanamke anaejiuza noooUsiogope mkuu, hizo ni dalili za ulimpa mimba huyo mwanamke....
Kwanini ulifanya ngono?Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Inawezekana alikutana na lishangazi gube gube likambemendaUsiogope mkuu, hizo ni dalili za ulimpa mimba huyo mwanamke....
Huo sio ugonjwa. Mboo imechoka tu mkuu..Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Nenda hospitali kenge maji wee, unakunywa dawa jnajua unaumwa nini?Wengine wanasema gonorrhea ninywe azuma
Tayari π€£π€£π€£π€£πππMwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Sina mke wala demuKwanini ulifanya ngono?
Kenge maji mwenyewe, Sawa nitaenda hospital blohNenda hospitali kenge maji wee, unakunywa dawa jnajua unaumwa nini?
Tayari niniTayari π€£π€£π€£π€£πππ
Una uliza nenda hospital haraka.Tayari nini
Hiv mnachukulia mzaha mzaha sana suala la afya eti??Kenge maji mwenyewe, Sawa nitaenda hospital bloh
Sawa bloh/ sistaUna uliza nenda hospital haraka.