Yaani Mungu asimlaani aliyeshiriki kuua watu amlaani mtu anayeleta utani tu mitandaoni?Aliwatoza shilingi ngapi?
Si busara kumzushia mtu uongo hata kama humpendi.
Mchukie kwa ayafanyayo si kwa yale utakayo ayafanye ili umchukie.
Mwenyezimungu anakuona wewe na kizazi chako.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Kiukweli kabisa Polepole ameonewa mwanzo mwisho!.
Zile kanuni za maudhui mitandaoni zinahusu online TV za habari. Ndizo zinapaswa kufuata journalism professionalism. Polepole sio journalist, ana kitu cha Kufundisha, kwanini azuiliwe?. Kuna madarasa mangapi online yanayofundisha mambo mbalimbali?.
P
Ngoja nitafute habari za ZIAMh Polepole naweza kumfananisha na ZIA mtawala wa kimapinduzi wa Nchini Bangladeshi miaka ya 1980.
alianza hivi hivi kidogo kidogo. Kama mzaha vile.
Ukipitia ukrasa wa chama cha mapinduzi ndo utaelewa anamvuto kwa wananchi au hanamvuto.Nadhani katika vyote ni kuwa Polepole hana tena ushawishi kama anavyodhani. Haaminiki tena. He lost public trust long time ago.
Auto-correct huwa inachangia kumkosesha mtu pia, hasa ukiwa na haraka!Mkuu ni kingereza hiki hiki nilifundishwa na Prof Ndalichako. We unadhani product yake itakuwaje?
Polepole tatizo lake ni tamaa ya uongozi, hakuna kingine, pia mnafiki sanaa Polepole.
Enzi za JPM watu walikandamizwa sana kwa kila sekta ya uongozi hasa wa kisiasa na wafanya biashara, yeye Polepole na shule yake ya uongozi alikuwa wapi? Wakati huo alikuwa akishangilia na kula vinono, alikuwa haoni vile, huyu ni mtu wa tamaa, TCRA safiii kabisa.
Anawezaje kupata civic support wakati hana ushawishi kama awali??Anaweza kupata civic support ambayo inaweza kuwa hatari. TCRA wameiona hoyo.
Nadhani katika vyote ni kuwa Polepole hana tena ushawishi kama anavyodhani. Haaminiki tena. He lost public trust long time ago.
Utani?Yaani Mungu asimlaani aliyeshiriki kuua watu amlaani mtu anayeleta utani tu mitandaoni?
Mwenyezi Mungu bado anashughulika na kizazi cha waliobatilisha uchaguzi 2020.Aliwatoza shilingi ngapi?
Si busara kumzushia mtu uongo hata kama humpendi.
Mchukie kwa ayafanyayo si kwa yale utakayo ayafanye ili umchukie.
Mwenyezimungu anakuona wewe na kizazi chako.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Amewekwaje pembeni mkuu? Amevuliwa Ubunge?Polepole hawezi kupata political mileage yoyote kwasasa,atulie tu zamu yake kunyolewa ! katetea maovu mengi awamu ya 5 eti leo kuwekwa pembeni ndo anaingia kwenye political entrepreneurship lol
Naona P.wa zamani aliyemuuliza JPM swali gumu amefufuka.Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na siungi mkono ubwabwajaji wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.
Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.
Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.
Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.
Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?.
Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
P.
Mkuu umeandika vizuri sana. Na nimefurahi kwamba umeonyesha kuwa hata wewe ulikuwa unakerwa na kichaa yule.Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na siungi mkono ubwabwajaji wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.
Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.
Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.
Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.
Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?.
Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
P.
Ukumbuke akiwa mwenezi ndo alikuwa na uwezo wa ku-influence teuzi mbalimbali na kwa katiba yao ni sawa na kusema alikuwa jikoni.Sasa jiko lina wenyewe kwasasa,ndo kelele hizo !
Uliwahi kusoma literature kweli?Aliwatoza shilingi ngapi?
Si busara kumzushia mtu uongo hata kama humpendi.
Mchukie kwa ayafanyayo si kwa yale utakayo ayafanye ili umchukie.
Mwenyezimungu anakuona wewe na kizazi chako.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app