Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Ukumbuke akiwa mwenezi ndo alikuwa na uwezo wa ku-influence teuzi mbalimbali na kwa katiba yao ni sawa na kusema alikuwa jikoni.Sasa jiko lina wenyewe kwasasa,ndo kelele hizo !
Ulidhani Polepole angedumu kwenye Itikadi na Uenezi hata baada ya kuteuliwa kuwa Mbunge?

Hata Magufuli asingelifariki Polepole angepumzishwa. Ni utaratibu tu wa CCM

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Polepole ajifunze kuheshimu awamu ya sita na nyingine nyingi tu zijazo elimu yake ya ujasiriamali awafundishe wanawe sisi watanzania tumemchoka pia ni mtu kigeugeu
Wakati wa jiwe mlikuwa mnamuona polepole kama Mungu wenu hapo lumumba.
 
Wacha wagonjwa wanyweshane uji wenye sumu.

Wametunyanyasa kipindi kirefu sana kwa kujivunia malaika wao.

Sasa wacha na wao waonje madhara ya kunyanyaswa ili akili iwarudie.
 
To be fair sijaona wala kusikia maneno ya kashfa toka kwa bw slow slow. Tuseme tu freedom of speech bado haipo sana wala kivile nchini. Viongozi ni lazima uwasifie. Uwapambe. Uwaogope. Uwaabudu!
Ukikosoa kidogo basi wewe gaidi mchochezi mvuruga amani mamluki msaliti.
Inauma kuendelea kuishi maisha kama hayo huku viongozi wanachaguliwa na raia wakiamini watawakilishwa.
 
Ila nikukumbushe tu, wakati Sheria habari , mswaada wake wa hati ya dharura na miswaada mingine ya mabadiliko ya Sheria yanawasilishwa Kwa hati za dharura, awamu iliyopota, wapo watanzania waliona hatari iliyokuwa mbele Yao, wakapiga kelele mno, wapo walioelewa, wapo waliokebehi, wapo waliounga mkono mabadiliko ya Sheria Kwa hati ya dharura, kwakuwa TU zililenga kuwanyamazisha wakosoaji wa awamu Ile, Sasa zimeaanza kuwatafuna wote, hata waliocheka na kufueahia wanalia🤔.
 
Unapokomenti jambo punguza munkali,umechanganya mambo sana kama una chuki na mtu binafsi mrekebishe kwa upole,umekuja na povu la bluu na macho yamekutoka vipi bhana.ehe haya Anza upya.
 
Aajiri waandishi na wahariri ili watu wapate kazi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Amevuna alichokipanda,wala TCRA wasingehangaika nae na mashundisho yake,lakini pale unapotumia mashundisho kuikebehi serikali matokeo yake ndio hayo.Huyo mwingine TCRA HAIKUSHUGHULIKA NAE kwasababu alikukuwa analindwa na Jiwe kama yalivyolindwa magenge mengine ya wahuni kama Sabaya.
 
Yaani ombeni Shetani sana asitokee mtu kama Dkt Magufuli, mtajuta nyie kundi la mafisadi. Yaani mtajuta. Maana sasa mnaonekana mmeshinda mnajipongeza.
 
Watu wanafundishwa mpaka staili za kufanya mapenz huko online ila sujawah sikia TCRA ikiwaita
 
Hii ni aibu sana,wapiga kura wanashindwa kuelewa chadema wanataka nini,wao badala ya kuchukia kitu polepole anachoongea wao wanamchukia muongeaji ,chadema kutoka shimoni sio leo mtasugua sana matako.
 
Mzee wa quotations kazini ha ha ha..
 
Aajiri waandishi na wahariri ili watu wapate kazi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kwani kazi anayofanya ni u-anahabari?? zile porojo tu. Sema TCRA walikuwa hawana namna ya kumnyamazisha wakatia kwenye nyavu ya kanuni za maudhui ambayo inajikita kwenye professionalism kama akivyofanfanua nguli Pascal Maalla
 
Alishiriki wapi kuziandika hizo sheria kamanda? alukuwa anaziandika kama nani? maana ubunge kapewa juzi na Samia.
 
Yaani ombeni Shetani sana asitokee mtu kama Dkt Magufuli, mtajuta nyie kundi la mafisadi. Yaani mtajuta. Maana sasa mnaonekana mmeshinda mnajipongeza.
Hehehee Huyo atakayekuja atakuwa zaidi ya Magufuli??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…