Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

Weeishhh leo nawabaka mchana kweupee [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
tapatalk_1603049553915.jpeg
 
Tanzania ya viwanda km china vilee, Wakenya subirini tuanze kuimport viatu kwenu cz tutauza kwa bei rahisi mana jeuri hyo tunayo tuna umeme mwingi mnoo [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
tapatalk_1603358664282.jpeg
 
Majengo mazuri na yenye kuvutia EA yapo Tz pekee[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
tapatalk_1603230068746.jpeg
tapatalk_1603614979247.jpeg
tapatalk_1593021055101.jpeg
tapatalk_1582502058363.jpeg
tapatalk_1591344346485.jpeg
tapatalk_1592559989198.jpeg
 
Nyie Wakunya wapuuzi nn, mnataka kufananisha kenya na Tz kwa kipi hasa mbn tumewazd mambo mengi sana, ss mm naenda kulala nimewapa homework hyo najua hamuwezi kujibu ila ikitokea mkunya yyte kajibu ujue ndo naua kabisa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Onesha sehemu mnaikaribia hapa japo ni northern Britain, unaleta ujuaji apa[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1613036
hiyo picha ni ya bogota siyo britain akili kidogo mdomo kubwa. Fanya utafiti kabla ya kuadika kitu. BRT yenyu imefika wapi? huku commuter rail ni 200 km phase 1 na BRT hapo dar ni km ngapi?
 
hiyo picha ni ya bogota siyo britain akili kidogo mdomo kubwa. Fanya utafiti kabla ya kuadika kitu. BRT yenyu imefika wapi? huku commuter rail ni 200 km phase 1 na BRT hapo dar ni km ngapi?
Hii ni Bogota eti, wacha nilale ucnipotezee muda ila km uko vzr anzisha huu mjadala kesho g9t.
Screenshot_2020-10-26-12-30-18.jpeg
 
Ndo ushangae ss mji una electric railways haupo ila mji wenye mitumbas upo g9t[emoji3][emoji3]
Umama sasa naona inakusumbua umeanza kufikiria kama mababu zenyu. Ndiyo maana kenya inazidi kuwaacha kiuchumi. Ujinga na uvivu.
 
Ndo ushangae ss mji una electric railways haupo ila mji wenye mitumbas upo g9t[emoji3][emoji3]
marekani, china, brazi bado wako na diesel mingi na uchumi yao inawashinda nyinyi mara billioni.
Diesel ya kenya inabeba mizigo na abiria wengi kushinda electric yenyu ambayo imesalia kuwa ndoto za vijiwenyu.
 
Ndo ushangae ss mji una electric railways haupo ila mji wenye mitumbas upo g9t[emoji3][emoji3]
lakini kweli world bank waliwachezea badala ya kuwaambia muweke commmuter rail waka wanunulia mabasi ambayo imekuwa ni mvutano kati ya binadamu na chawa kupata nafasi
 
Nyie Wakunya wapuuzi nn, mnataka kufananisha kenya na Tz kwa kipi hasa mbn tumewazd mambo mengi sana, ss mm naenda kulala nimewapa homework hyo najua hamuwezi kujibu ila ikitokea mkunya yyte kajibu ujue ndo naua kabisa [emoji3][emoji3][emoji3]
Nyie Tanzania nzima mna mradi kama huu yaani majengo sita marefu yanayojengwa kwa mpigo? Jengo fupi hapo lina mita takriban mia moja na ndefu zaidi ina mita takriban 180. Hii inaitwa Global Trading centre. Nionyeshe cluster kama hii hapo TZ

images.jpeg

Hio ya juu ni render. Nionyeshe mradi kama huu hapo TZ. Afrika nzima sidhani kama kuna nchi inayojenga cluster ya majengo sita katika project moja.
Progress ndio hii hapa
images (1).jpeg
 
Back
Top Bottom