The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Weeishhh leo nawabaka mchana kweupee [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo picha ni ya bogota siyo britain akili kidogo mdomo kubwa. Fanya utafiti kabla ya kuadika kitu. BRT yenyu imefika wapi? huku commuter rail ni 200 km phase 1 na BRT hapo dar ni km ngapi?Onesha sehemu mnaikaribia hapa japo ni northern Britain, unaleta ujuaji apa[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1613036
Hii ni Bogota eti, wacha nilale ucnipotezee muda ila km uko vzr anzisha huu mjadala kesho g9t.hiyo picha ni ya bogota siyo britain akili kidogo mdomo kubwa. Fanya utafiti kabla ya kuadika kitu. BRT yenyu imefika wapi? huku commuter rail ni 200 km phase 1 na BRT hapo dar ni km ngapi?
Ndo ushangae ss mji una electric railways haupo ila mji wenye mitumbas upo g9t[emoji3][emoji3]HAHA Africa kuna global cities 5 Dar haimo lakini Nairobi imo ndani ndani ndani.
Mwanaume huwa nakuambia punguza mdomo fungua akili. Yani watanzania akili zilikataa kuwa vizuri kutoka utotoni. Hiyo inaitwa Transmilenio bogota.Hii ni Bogota eti, wacha nilale ucnipotezee muda ila km uko vzr anzisha huu mjadala kesho g9t.View attachment 1613121
Umama sasa naona inakusumbua umeanza kufikiria kama mababu zenyu. Ndiyo maana kenya inazidi kuwaacha kiuchumi. Ujinga na uvivu.Ndo ushangae ss mji una electric railways haupo ila mji wenye mitumbas upo g9t[emoji3][emoji3]
ukizidi kupigwa na mshtuko wa mwoyo ona kitu hapaNdo ushangae ss mji una electric railways haupo ila mji wenye mitumbas upo g9t[emoji3][emoji3]
marekani, china, brazi bado wako na diesel mingi na uchumi yao inawashinda nyinyi mara billioni.Ndo ushangae ss mji una electric railways haupo ila mji wenye mitumbas upo g9t[emoji3][emoji3]
lakini kweli world bank waliwachezea badala ya kuwaambia muweke commmuter rail waka wanunulia mabasi ambayo imekuwa ni mvutano kati ya binadamu na chawa kupata nafasiNdo ushangae ss mji una electric railways haupo ila mji wenye mitumbas upo g9t[emoji3][emoji3]
Ngoja izinduliwe ndio uje hapa kuringa.Mji wowote duniani ambao hauna electric railways system basi huo mji ni stone age city, ona jinc tulivyo modernized, mtasubiri 2100 ndo mfike hapa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1613044
Nyie Tanzania nzima mna mradi kama huu yaani majengo sita marefu yanayojengwa kwa mpigo? Jengo fupi hapo lina mita takriban mia moja na ndefu zaidi ina mita takriban 180. Hii inaitwa Global Trading centre. Nionyeshe cluster kama hii hapo TZNyie Wakunya wapuuzi nn, mnataka kufananisha kenya na Tz kwa kipi hasa mbn tumewazd mambo mengi sana, ss mm naenda kulala nimewapa homework hyo najua hamuwezi kujibu ila ikitokea mkunya yyte kajibu ujue ndo naua kabisa [emoji3][emoji3][emoji3]
Thank you for posting this here. The best 007 ulikuwa unaposti uharo gani jana? Hebu tazama Treni kutoka Europe. Hatubahatishi sisi.
Hili treni linafanana poa sana.
yani unaongea bila aibu kabisa bro😂😂Hili treni linafanana poa sana.