Kevin85ify
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 2,684
- 3,429
- Thread starter
-
- #61
Wacha uongo hii ni kawaida yenu kudanganya hata kwa vitu mtu anaweza pata kwa urahisi.tupo phase 3, what's phase 2 about? 🤔
Jua kutafuta vitu mwenyewe. Hii ni vitu google search rahisi inakusaidia.leta picha za commuter stations huko kijana. bado sana...Matatu na jam lazima
Wewe huoni jinsi watu wamesimama kwa utaratibu siyo hiyo yenu ya kufurika kama panya. Unaona jinsi watu wenye ustaarabu wanaweza kutumia hata simu ya rununu wakiwa wamesimama. Hiyo yenu nani anaweza kufanya hivyo? Yani mumejazana kama siafu kwa basi moja, alafu kunguni na chawa ziko hapo ndani.Ulifikiri hizo handles kazi yake ni kuning'inizia mikungu ya ndizi? 😁😁😁
Kazi yake ndio hiyo sasa
View attachment 1580861View attachment 1580862View attachment 1580863View attachment 1580864
Wewe huoni jinsi watu wamesimama kwa utaratibu siyo hiyo yenu ya kufurika kama panya. Unaona jinsi watu wenye ustaarabu wanaweza kutumia hata simu ya rununu wakiwa wamesimama. Hiyo yenu nani anaweza kufanya hivyo? Yani mumejazana kama siafu kwa basi moja, alafu kunguni na chawa ziko hapo ndani.
5 zilifika hujasoma hapo juu ama kizungu kimekupita. Zingine 6 ziko njiani karibu kufika hapo Mombasa. Tuliza boli ngoja inspection imalizwe na ineco alafu ziwekwe rangi ya Kenya Railways hapo kwenye workshop ya Kenya railways, utachoka mwanaume!Ndani yake mambo ni ulaya, air conditioner na starehe aje.
Mbio ni 100 km/hr kwa MGR yani unafanya kazi Nairobi ukienda nyumbani kilomita 50 nje ya CBD unafika na dakika hamsini.
Na zitakuwa zinapita kila saa (hourly).
View attachment 1580807
Unaona jinsi zinavyoka ndani!
Hii inaitwa CAF s/61 DMU. second hand lakini hata hiyo treni yenu ya sgr ambayo sahi bado ni ndoto na udaku za abunuasi haiwezi fikia hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ufaranza wanaenda kutoa seats wageuze kuwa cargo wagons wabebe mifugo, Hakuna mfarasa atapanda old diesel trains
Heheeee!!hzo sio km brt jomba acha kulialiaTutatoka siku hawa mabwana zenu wakitoka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1580841View attachment 1580842View attachment 1580843
Namshangaa mimi, jamaa analeta trains[emoji23][emoji23]Naona mpaka umeamua kutafuta usaidizi unzunguni. Yenu ni bus siyo train hizo ni vitu mbili tofauti sana.
Bado umeleta trains[emoji23][emoji23]Ulifikiri hizo handles kazi yake ni kuning'inizia mikungu ya ndizi? [emoji16][emoji16][emoji16]
Kazi yake ndio hiyo sasa
View attachment 1580861View attachment 1580862View attachment 1580863View attachment 1580864
Hata ufaransa pia wanazo km hzo[emoji23][emoji23]Mungiki mmenunua screpa toka spain..!??
Jomba ongea kitu ya kueleweka. Basi sio treni bana, hapa tena tuanze ubishi hiyo yenu ya vikao vya chips mayai!!!!wewe ni mjinga jamaa yangu[emoji23][emoji23][emoji23]
hizo basi zimetengezwa kwa mfumo huo,hujui sababu hizo vitu hazikai nairobi miak 1000 ijayo.
Aina hiyo ya kukaa ni kawaida kwa any commuter transportation haijalishi ni train au bus na ndio maana zipo handles za kushika kwa wale watakaosimama na utaratibu upo hivyo sababu ni kutokana ni fast commuter with short distances ndio maana huwezi kuona watu wamesimama hivyo au mabasi yenye handles yanayoenda mikoani.Bado umeleta trains[emoji23][emoji23]
Tena asia bana, siku utalsta mabasi kutoka europe au marekani watu wamefurika km zile zenu natoka jf...
Yani unabanwa hata nafasi ya kutoa simu huna, mwendo wa kikwapa tu
Haijalishi kama wamesimama kama parade au wamesimama zigzag, point ni kwamba wote wamesimama na ni kitu cha kawaida kwa commuters kufanya hivyo kwenye miji iliyoendelea periodWewe huoni jinsi watu wamesimama kwa utaratibu siyo hiyo yenu ya kufurika kama panya. Unaona jinsi watu wenye ustaarabu wanaweza kutumia hata simu ya rununu wakiwa wamesimama. Hiyo yenu nani anaweza kufanya hivyo? Yani mumejazana kama siafu kwa basi moja, alafu kunguni na chawa ziko hapo ndani.
Jomba ongea kitu ya kueleweka. Basi sio treni bana, hapa tena tuanze ubishi hiyo yenu ya vikao vya chips mayai!!!!
The american government is rumoured to be behind this new found interest by the world bank into Kenya's infrastructure space.
The world bank is also bankrolling the recent rise in construction of modern markets all across the country. The markets come fully equipped with road networks, cold storage facilities, loading bays and the operations will be based on Barbes market in paris.
Cku moja moja tuwaache nao wajifariji tusije waua kwa stress mob[emoji3][emoji3][emoji3]buda waache basi wafurahi hata kidogo,sio fare namna hii.