Hao wamezaliwa Tz,wamekulia Tz na utajiri wameupatia hapa hapa kwahiyo licha asili yao ni wahindi lakini wamekulia hapa km ardhi yao mama.
Kila mara mnasema Kenya uchumi umeshikiliwa na Mzungu, mbona msimseme huyu muhindi vivyo hivyo?