Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Nimesema, natumia renders zako kujua ukubwa wake, Ukitumia hiyo ratio, basi hiyo Library ni ndogo sanaIts not renders wewe hio inamalizika mwaka huu na tumeanza ujenzi since last year hahhaahahahhha tulia baba haharhahhaha
Eti renders hahhahahahha hakuna sehemu utatoboa wewe mm nakwambia hio ndio giant library in Africa na ndio modern library in AfricaNimesema, natumia renders zako kujua ukubwa wake, Ukitumia hiyo ratio, basi hiyo Library ni ndogo sana
Utaelewa tu miaka 10 tu hhehehheehhehe bado ndio mwanzo huo ahahhahahahhahNi kama Congo tu! A lot of mineral resources with nothing to show about!
Worth yake haifiki u$ 100b ka rare earths za kwale...mseeCHOLO mziii upo hahhhahhhaahahah
Umeiona Tanzania hio
Helium gas ilioanza kupotea dunian ipo Tanzania ya kutosha macho ya dunia yote Tanzania hahhahahhahaha
Soma hapo my friend utanielewa tu taratibu
View attachment 496385
Gas explorer teams up with Lockheed Martin on helium-fuelled airships
Usijifanye unanifatilia na kuacha kufanya yanayokuhusu,nakaa popote napotaka hunipangii, ukweli ndio huo utaki meza wembe!!Tuusan then stop comparing yourself with anything kenya, kaeni kama Ethiopians, mmejaa humu kwenye kenyan forums, u are not participating in your news and current issues kwa wingi kama vile mulivyo humu, u are looking up to kenya, na kuiponda ati umaskini ni wivu tu, tz is poorer, wachana na data tembea kwenyu uone umaskini kwenye vijiji,, very humble lifestyle around tz utafikiri ni unyenyekevu kumbe nikukosa, jitoeni huko vile umenena wachana na kenya!
Utaelewa tu miaka 10 tu hhehehheehhehe bado ndio mwanzo huo ahahhahahahhah
DUKANI HADI YOURGHAT YA AZAM NI KUTOKA KENYA, YAANI TZ NI SEHEMU KENYA INAUZA BIDHAA ZAKENini ingine?
Milk ni Kenya
Flower ni Kenya
Coffee ni Kenya
Tea ni Kenya
Horticulture ni Kenya
Etc ni Kenya
Itaje moja tu hehehehhehhehheheheKwenu kila saa ni "mwanzo tu" aliyepeleka mkono akuzidi jambo! Kama sisi tunazo tayari, ile miaka kumi tutakuwa tunafnya nini? Huwezi jiuliza?? Kitu kilichofanya tuwe mbele kitakuwa kimeenda wapi ili nyiniy mkiendelea sisi tubaki hapo mtuzidi???
Remember, the largest Projects in Africa right now are in Kenya apart from Eco - Atlantic in Nigeria
Hahahhahaa hii ndio bongo Mr utaumiza kichwa bureee tuzungumze mengine hapo utaumia tuWorth yake haifiki u$ 100b ka rare earths za kwale...msee
Hii ndio shida kubwa ya mkenya wanakufa na tai shingoni, nenda sirali utajionea ma roli ya ng'ombe yanavyo ingia Kenya, nenda manyara uone walivyo jipanga kuchukua vitunguu na mchele mpaka mashudu yale yanatoka kwenye kukamua alizeti, nenda arusha mpaka wamewekewa kituo wakusanye maindiSGR yetu iko ready yenu hamjaanza
Agriculture Kenya ni leading tea,coffee,milk,flowers etc nyinyi hakuna ki2 mnalead
So hakuna kenye mnachapa Kenya ni population pekee na land sizs
Tea,coffee,horticulture tunalead falai...tumia google ata maziwa mnakunywa inatoka kenyaHii ndio shida kubwa ya mkenya wanakufa na tai shingoni, nenda sirali utajionea ma roli ya ng'ombe yanavyo ingia Kenya, nenda manyara uone walivyo jipanga kuchukua vitunguu na mchele mpaka mashudu yale yanatoka kwenye kukamua alizeti, nenda arusha mpaka wamewekewa kituo wakusanye maindi
Alafu pimbi anakuja anasema wana lead Kwa agriculture [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bila Tanzania wakenya wanakufa njaa huo ndio ukweli
LAPPSETItaje moja tu hehehehhehhehhehehe
Ile kitu nimeona mna lead ni kula kuku jinga yale ma broiler na chips apo Nairobi chakula ndio icho tu ila bila kusahau viazi pia mnatoa west meru TanzaniaTea,coffee,horticulture tunalead falai...tumia google ata maziwa mnakunywa inatoka kenya
Viazi tunakula nai hutoka nyandarua na Nakuru mingi labda chache kutoka huko kwenu...but flowers, tea na coffee ni mabilioni tunamake na tuko top world wide..nyinyi ni ubongolala 2 na hamna bidii na hakuna desert uko kwenuIle kitu nimeona mna lead ni kula kuku jinga yale ma broiler na chips apo Nairobi chakula ndio icho tu ila bila kusahau viazi pia mnatoa west meru Tanzania
Kwa akili yako unafkiri Tanzania hakuna mega projects au na sisi tutaje piaLAPPSET
Turkana Wind Farm
SGR
Konza City
Newtown City
Tatu City
Mnasheherekea hio? Lol[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji122] ati formerFormer Israel Prime Minister Ehud Barak lands in Tanzania’s northern tourist circuit
WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA TAIFA LA ISRAEL,EHUD BARAK ATEMBELEA SERENGETI NA NGORONGORO.
Na Dixon Busagaga,Arusha.
WAZIRI mkuu mstaafu wa Taifa la Israel, Ehud Barak amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo huku akieleza kuwa eneo la bonde la Olduvai Gorege ni muhimu kama makutano baina ya kizazi cha binadamu wa kwanza na binadamu wa sasa.
Barak aliyasema hayo muda mfupi baada ya kuwasili katika eneo la kumbukumbu ya Binadamu lililopo katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro akielekea Hifadhi ya taifa ya Serengeti kwa ziara ya utalii.
Akiwa ameongozana familia yake na ujumbe wa watalii zaidi ya 100 kutoka nchini Israel kiongozi huyo wa zamani wa taifa la Israel ameoneshwa kuridhishwa na namna Tanzania inavyo toa kipaumbele katika kuhifadhi rasilimali zake za kitalii.
Ehud Barak pia amepata nafasi ya kuweka saini katika kitabu cha wageni kabla ya kuanza kutembelea eneo la makumbusho huku Mhandisi Ramo Makani akionesha matumaini ya kuongezeka kwa idadi ya watalii kutoka nchini Israel.
Kwa upande wake Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete ametoa mwito kwa watanzania kujenga Uzalendo wa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini.
Ehud Barack amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Israel kati ta mwaka 1999 na 2001 na baadae Waziri wa Ulinzi wa Isael kati ya mwaka 2007 na 2013 kabla ya kustaafu.
View attachment 496505 View attachment 496506 View attachment 496507
Obama akikuja si mtakua na holiday ya wiki mojaFormer Israel Prime Minister Ehud Barak lands in Tanzania’s northern tourist circuit
WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA TAIFA LA ISRAEL,EHUD BARAK ATEMBELEA SERENGETI NA NGORONGORO.
Na Dixon Busagaga,Arusha.
WAZIRI mkuu mstaafu wa Taifa la Israel, Ehud Barak amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo huku akieleza kuwa eneo la bonde la Olduvai Gorege ni muhimu kama makutano baina ya kizazi cha binadamu wa kwanza na binadamu wa sasa.
Barak aliyasema hayo muda mfupi baada ya kuwasili katika eneo la kumbukumbu ya Binadamu lililopo katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro akielekea Hifadhi ya taifa ya Serengeti kwa ziara ya utalii.
Akiwa ameongozana familia yake na ujumbe wa watalii zaidi ya 100 kutoka nchini Israel kiongozi huyo wa zamani wa taifa la Israel ameoneshwa kuridhishwa na namna Tanzania inavyo toa kipaumbele katika kuhifadhi rasilimali zake za kitalii.
Ehud Barak pia amepata nafasi ya kuweka saini katika kitabu cha wageni kabla ya kuanza kutembelea eneo la makumbusho huku Mhandisi Ramo Makani akionesha matumaini ya kuongezeka kwa idadi ya watalii kutoka nchini Israel.
Kwa upande wake Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete ametoa mwito kwa watanzania kujenga Uzalendo wa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini.
Ehud Barack amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Israel kati ta mwaka 1999 na 2001 na baadae Waziri wa Ulinzi wa Isael kati ya mwaka 2007 na 2013 kabla ya kustaafu.
View attachment 496505 View attachment 496506 View attachment 496507
Sasa hutaki waje heheehehhehhe umeona Tanzania inavowavutia watu wengi ulimwenguniMnasheherekea hio? Lol[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji122] ati former