Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Its not renders wewe hio inamalizika mwaka huu na tumeanza ujenzi since last year hahhaahahahhha tulia baba haharhahhaha
Nimesema, natumia renders zako kujua ukubwa wake, Ukitumia hiyo ratio, basi hiyo Library ni ndogo sana
 
Nimesema, natumia renders zako kujua ukubwa wake, Ukitumia hiyo ratio, basi hiyo Library ni ndogo sana
Eti renders hahhahahahha hakuna sehemu utatoboa wewe mm nakwambia hio ndio giant library in Africa na ndio modern library in Africa
😀😀😀😀😀😀😀😀
Hakuna sehemu utatoka
Umekua mpole mwenyewe hahhha
 
Tuusan then stop comparing yourself with anything kenya, kaeni kama Ethiopians, mmejaa humu kwenye kenyan forums, u are not participating in your news and current issues kwa wingi kama vile mulivyo humu, u are looking up to kenya, na kuiponda ati umaskini ni wivu tu, tz is poorer, wachana na data tembea kwenyu uone umaskini kwenye vijiji,, very humble lifestyle around tz utafikiri ni unyenyekevu kumbe nikukosa, jitoeni huko vile umenena wachana na kenya!
Usijifanye unanifatilia na kuacha kufanya yanayokuhusu,nakaa popote napotaka hunipangii, ukweli ndio huo utaki meza wembe!!
 
Utaelewa tu miaka 10 tu hhehehheehhehe bado ndio mwanzo huo ahahhahahahhah

Kwenu kila saa ni "mwanzo tu" aliyepeleka mkono akuzidi jambo! Kama sisi tunazo tayari, ile miaka kumi tutakuwa tunafnya nini? Huwezi jiuliza?? Kitu kilichofanya tuwe mbele kitakuwa kimeenda wapi ili nyiniy mkiendelea sisi tubaki hapo mtuzidi???

Remember, the largest Projects in Africa right now are in Kenya apart from Eco - Atlantic in Nigeria
 
Kwenu kila saa ni "mwanzo tu" aliyepeleka mkono akuzidi jambo! Kama sisi tunazo tayari, ile miaka kumi tutakuwa tunafnya nini? Huwezi jiuliza?? Kitu kilichofanya tuwe mbele kitakuwa kimeenda wapi ili nyiniy mkiendelea sisi tubaki hapo mtuzidi???

Remember, the largest Projects in Africa right now are in Kenya apart from Eco - Atlantic in Nigeria
Itaje moja tu hehehehhehhehhehehe
 
SGR yetu iko ready yenu hamjaanza
Agriculture Kenya ni leading tea,coffee,milk,flowers etc nyinyi hakuna ki2 mnalead
So hakuna kenye mnachapa Kenya ni population pekee na land sizs
Hii ndio shida kubwa ya mkenya wanakufa na tai shingoni, nenda sirali utajionea ma roli ya ng'ombe yanavyo ingia Kenya, nenda manyara uone walivyo jipanga kuchukua vitunguu na mchele mpaka mashudu yale yanatoka kwenye kukamua alizeti, nenda arusha mpaka wamewekewa kituo wakusanye maindi
Alafu pimbi anakuja anasema wana lead Kwa agriculture [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bila Tanzania wakenya wanakufa njaa huo ndio ukweli
 
Hii ndio shida kubwa ya mkenya wanakufa na tai shingoni, nenda sirali utajionea ma roli ya ng'ombe yanavyo ingia Kenya, nenda manyara uone walivyo jipanga kuchukua vitunguu na mchele mpaka mashudu yale yanatoka kwenye kukamua alizeti, nenda arusha mpaka wamewekewa kituo wakusanye maindi
Alafu pimbi anakuja anasema wana lead Kwa agriculture [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bila Tanzania wakenya wanakufa njaa huo ndio ukweli
Tea,coffee,horticulture tunalead falai...tumia google ata maziwa mnakunywa inatoka kenya
 
Tea,coffee,horticulture tunalead falai...tumia google ata maziwa mnakunywa inatoka kenya
Ile kitu nimeona mna lead ni kula kuku jinga yale ma broiler na chips apo Nairobi chakula ndio icho tu ila bila kusahau viazi pia mnatoa west meru Tanzania
 
Former Israel Prime Minister Ehud Barak lands in Tanzania’s northern tourist circuit

WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA TAIFA LA ISRAEL,EHUD BARAK ATEMBELEA SERENGETI NA NGORONGORO.

Na Dixon Busagaga,Arusha.

WAZIRI mkuu mstaafu wa Taifa la Israel, Ehud Barak amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo huku akieleza kuwa eneo la bonde la Olduvai Gorege ni muhimu kama makutano baina ya kizazi cha binadamu wa kwanza na binadamu wa sasa.

Barak aliyasema hayo muda mfupi baada ya kuwasili katika eneo la kumbukumbu ya Binadamu lililopo katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro akielekea Hifadhi ya taifa ya Serengeti kwa ziara ya utalii.

Akiwa ameongozana familia yake na ujumbe wa watalii zaidi ya 100 kutoka nchini Israel kiongozi huyo wa zamani wa taifa la Israel ameoneshwa kuridhishwa na namna Tanzania inavyo toa kipaumbele katika kuhifadhi rasilimali zake za kitalii.

Ehud Barak pia amepata nafasi ya kuweka saini katika kitabu cha wageni kabla ya kuanza kutembelea eneo la makumbusho huku Mhandisi Ramo Makani akionesha matumaini ya kuongezeka kwa idadi ya watalii kutoka nchini Israel.

Kwa upande wake Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete ametoa mwito kwa watanzania kujenga Uzalendo wa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini.

Ehud Barack amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Israel kati ta mwaka 1999 na 2001 na baadae Waziri wa Ulinzi wa Isael kati ya mwaka 2007 na 2013 kabla ya kustaafu.
FB_IMG_1492274754123.jpg
FB_IMG_1492274757015.jpg
FB_IMG_1492274760234.jpg
 
Ile kitu nimeona mna lead ni kula kuku jinga yale ma broiler na chips apo Nairobi chakula ndio icho tu ila bila kusahau viazi pia mnatoa west meru Tanzania
Viazi tunakula nai hutoka nyandarua na Nakuru mingi labda chache kutoka huko kwenu...but flowers, tea na coffee ni mabilioni tunamake na tuko top world wide..nyinyi ni ubongolala 2 na hamna bidii na hakuna desert uko kwenu
I
 
LAPPSET
Turkana Wind Farm
SGR
Konza City
Newtown City
Tatu City
Kwa akili yako unafkiri Tanzania hakuna mega projects au na sisi tutaje pia
Kwanza hio project ya tanzania kuwauzia umeme wakenya tu amabao utapitia singida arusha mpaka nairobi unaijua thamani yake??????
Au huna taarifa kwanzia mwakani munanua umeme Tanzania
 
Former Israel Prime Minister Ehud Barak lands in Tanzania’s northern tourist circuit

WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA TAIFA LA ISRAEL,EHUD BARAK ATEMBELEA SERENGETI NA NGORONGORO.

Na Dixon Busagaga,Arusha.

WAZIRI mkuu mstaafu wa Taifa la Israel, Ehud Barak amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo huku akieleza kuwa eneo la bonde la Olduvai Gorege ni muhimu kama makutano baina ya kizazi cha binadamu wa kwanza na binadamu wa sasa.

Barak aliyasema hayo muda mfupi baada ya kuwasili katika eneo la kumbukumbu ya Binadamu lililopo katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro akielekea Hifadhi ya taifa ya Serengeti kwa ziara ya utalii.

Akiwa ameongozana familia yake na ujumbe wa watalii zaidi ya 100 kutoka nchini Israel kiongozi huyo wa zamani wa taifa la Israel ameoneshwa kuridhishwa na namna Tanzania inavyo toa kipaumbele katika kuhifadhi rasilimali zake za kitalii.

Ehud Barak pia amepata nafasi ya kuweka saini katika kitabu cha wageni kabla ya kuanza kutembelea eneo la makumbusho huku Mhandisi Ramo Makani akionesha matumaini ya kuongezeka kwa idadi ya watalii kutoka nchini Israel.

Kwa upande wake Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete ametoa mwito kwa watanzania kujenga Uzalendo wa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini.

Ehud Barack amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Israel kati ta mwaka 1999 na 2001 na baadae Waziri wa Ulinzi wa Isael kati ya mwaka 2007 na 2013 kabla ya kustaafu.
View attachment 496505 View attachment 496506 View attachment 496507
Mnasheherekea hio? Lol[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji122] ati former
 
Former Israel Prime Minister Ehud Barak lands in Tanzania’s northern tourist circuit

WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA TAIFA LA ISRAEL,EHUD BARAK ATEMBELEA SERENGETI NA NGORONGORO.

Na Dixon Busagaga,Arusha.

WAZIRI mkuu mstaafu wa Taifa la Israel, Ehud Barak amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo huku akieleza kuwa eneo la bonde la Olduvai Gorege ni muhimu kama makutano baina ya kizazi cha binadamu wa kwanza na binadamu wa sasa.

Barak aliyasema hayo muda mfupi baada ya kuwasili katika eneo la kumbukumbu ya Binadamu lililopo katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro akielekea Hifadhi ya taifa ya Serengeti kwa ziara ya utalii.

Akiwa ameongozana familia yake na ujumbe wa watalii zaidi ya 100 kutoka nchini Israel kiongozi huyo wa zamani wa taifa la Israel ameoneshwa kuridhishwa na namna Tanzania inavyo toa kipaumbele katika kuhifadhi rasilimali zake za kitalii.

Ehud Barak pia amepata nafasi ya kuweka saini katika kitabu cha wageni kabla ya kuanza kutembelea eneo la makumbusho huku Mhandisi Ramo Makani akionesha matumaini ya kuongezeka kwa idadi ya watalii kutoka nchini Israel.

Kwa upande wake Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete ametoa mwito kwa watanzania kujenga Uzalendo wa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini.

Ehud Barack amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Israel kati ta mwaka 1999 na 2001 na baadae Waziri wa Ulinzi wa Isael kati ya mwaka 2007 na 2013 kabla ya kustaafu.
View attachment 496505 View attachment 496506 View attachment 496507
Obama akikuja si mtakua na holiday ya wiki moja
 
Back
Top Bottom