Pre GE2025 Naishauri CHADEMA imchukulie Lissu hatua kali sana za kinidhamu na kumpa onyo kali kwa kukichafua Chama na kuwapaka Matope viongozi wenzake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Gentleman,
andikia uzi mahususi kuhusu chama chochote cha siasa, na uwe specific with facts, nitachangia bila kuchelewa, lakini pia bila kiwewe.

always niko neutral kwenye mambo haya 🐒


Hapa uko neutral au uko upande wa mbowe?

But my brother Mbowe amekaa Sana pale kwenye kile kiti, lazima apishe mawazo mpya

Hivi Kwa kuongea ukweli ww unaona upinzani wa kweli kama Mbowe ni mwenyekiti?

Upinzani wa mbowe ni wakuelewana na chama tawala hata kwenye mambo ya haki ya chadema
 
Mi nashauri CCM warudi kwenye misingi yao ya kutopokea Wala kutoka rushwa na wawachukulie hatua wote wanahusika.
Pia kwa kumuenzi mwasiai wa chama Me. Nyerere mke wa Kaisari hatakiwi kutuhumiwa
 
Retired
 
Mi nashauri CCM warudi kwenye misingi yao ya kutopokea Wala kutoka rushwa na wawachukulie hatua wote wanahusika.
Pia kwa kumuenzi mwasiai wa chama Me. Nyerere mke wa Kaisari hatakiwi kutuhumiwa
CCM ni chama safi kinachoongozwa na kusimamia vyema sana maadili. Hakilei wala kufumbia macho vitendo vya rushwa.
 
Japo tu tutafikiria kumchukulia hatua kama ipo endapo tuu,wapenyeza rupia kutoka kwa jirani watawajibika kwanza pamoja na vipaza wakujitolea kwa manufaa ya jirani zetu na sii kwa manufaa yachama chetu na manufaa ya Watanzania.
 
Ni lazima Lissu awajibike na kuwajibishwa.
Nape amewajibika vipi kwa ile kauli yake ya:-

"Kura haziamui mshindi bali anayehesabu kura, kuna halali nusu halali naa haramu."

Nape anadhihirisha kile kinachoitwa box la kura ni igizo tu na kupoteza muda na kodi za wananchi bali watoa maamuzi ni vidampa wa wakurugenzi ambao ni wateule wa rais na ndio wamepewa jukumu la kusimamia uchaguzi hivyo wana kazi ya kuingiza kura feki, kupunguza kura za upinzani na kama kada wa ccm kashindwa basi atatangazwa kwa mabavu.

Risiti hii hapa kunguni wa mama Abduli.


View: https://youtu.be/bsMYAk6cWaE?si=ulp7xvHlbiCSCZww
 
Lissu siyo mwanasiasa,,,, Siasa inataka watu wachafu maana ni UTAPELI, UNAFKI, UONGO na WIZI...
Yaani katekenywa kidogo keshaanza kumlipua Abduli na hela za mama yetu...

Yeye abaki kuwa kiongozi wa kawaida tu anayepewa maelekezo...
Ukiwa hata Nusu ya Mkweli hutofanya siasa maana mfumo wenyewe wa SIASA utakutapika maana wenye mambo yao kama mtoa post mtamwona anawaaharibia kamfumo kenu ka-utapeli na wizi wa kuongelea WIZI wenu ndani....
CHADEMA na CCM ni marafiki wazuri wanaotumia huruma na hasira za wananchi kuendelea kula mema ya nchi..
 
Wewe kama nani?
Huyu ni mwanachama wa CCM chama ambacho mwenyekiti wake amefanya maridhiano na mwenyekiti wa CHADEMA na maridhiano yameleta matokeo chanya.
1. CHADEMA sasa kinapata ruzuku na ruzuku inatumika kwa manufaa ya chama; viongozi wote wa chama kuanzia ngazi ya kata hadi taifa wanalipwa mishahara
2. Hakuna viongozi wa CHADEMA wanaokamatwa na kufungwa wala kuuwawa
3. Chama kimetulia, hakifanyi tena maamdamaono ya nguvu
4. CCM sasa kinafadhili chaguzi za ndani za CHADEMA; maridhiano.
Mwenyekiti Mbowe anastahili mitano tena.
 
Taahira mkubwa wewe.
 
Wewe lini umekuwa na uchungu na CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…