Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Pimbi mama yako aliyekuzaa!! Ng'ombe we!
Wewe si ndiye ulinizaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pimbi mama yako aliyekuzaa!! Ng'ombe we!
Ole wake polisi waue mtu kesho ole wao narudia tena ole wao polisi waue mtu yoyote kesho patachimbikaNa wenye masikio na wasikie
Oya we dogo punguza mihemkoPimbi mama yako aliyekuzaa!! Ng'ombe we!
Ni kweliWewe si ndiye ulinizaa.
Ni kweli
Tupo pamoja sana katika hilo; lakini inawezekana tukawa tofauti kwenye 'details' za namna hao "wanyonge" wanavyoweza kuondokana na hali ya "maumivu" inayo wakabili.Sitaki watu waumie hasa wanyonge
Serious?Leo jioni nimepishana na polisi wengi mmoja kabeba mguu wa mtu begani alafu inavyoonekana wameukata muda siyo mrefu
Tupo pamoja sana katika hilo; lakini inawezekana tukawa tofauti kwenye 'details' za namna hao "wanyonge" wanavyoweza kuondokana na hali ya "maumivu" inayo wakabili.
Wakati mwingini "maumivu" hayaepukiki wakati njia za kuyaondoa zikitumika. Sawa na mambo mengineyo, kama kutibu magonjwa, n.k., n.k..
Ila kipigo kiko palepale, Mau zinde!Sawa Mama nimekuelewa.
Ila kipigo kiko palepale, Mau zinde!
Hapana.Changamoto ni kuwa huenda wananchi wengi wamechagua kutawaliwa na serikali isiyojali maisha na uhai wa watu wake(wachache)
Ndio maana nikasema hali kama hii huweza kupelekea nchi kupasuka vipande vipande
Hapana.
Hii ni dhana tusiyoweza kukubaliana hata kidogo.
Hakuna nchi yoyote duniani ambayo wananchi wake wengi "wanachagua kutawaliwa na serikali isiyo jali maisha na uhai wa watu wake". Maneno haya sijui kwa nini umeyatumia.
Linalo julikana bila wasiwasi wowote, duniani kote na katika nchi zote, ni watu "wachache" wanao jitokeza mbele na kukataa yanayofanywa na watawala. Hao wengi huwa wanafuata tu matokeo ya mampambano ya hao wachache.
Usitegemee hata mara moja kukuta waTanzania asili mia 70 wakishiriki kwa pamoja kutafuta mageuzi ndani ya nchi yao.
Acha hawa wachache watimize wajibu wao.
Wewe Baba yako au Mtoto wako ndioMkuu, ni vizuri kusoma maandiko yako; lakini wakati mwingine yana chekesha kidogo hata kama ni kuhusu mambo yasiyo hitaji kucheka.
Simama upande wa hao hao unao wasema humu, na jaribu kujua msukumo unao wafanya wafanye haya. Ni dhahiri kuna mambo wanayaogopa na wanajaribu kuzuia kwa kila njia yasitokee.
Hawa siku nyingi wame faidika na njia hizo hizo za mabavu. Nafasi wanazo shikilia sasa hivi ni matokeo ya mabavu hayo hayo wanayo jaribu kuyatumia, bila ya kujali kama safari hii yataendelea kuwa hakikishia mafanikio yale yale.
Njia hizo zimefanikiwa, hadi sasa, lakini kumeanza kuonekana usugu kwa hao wanao tishiwa; kwamba liwalo na liwe na wawo hawatarudi nyuma. Hali ndiyo hiyo sasa
'Who is going to blink'?
Huko kuzunguka kwako siyo sampuli sahihi ya Kisayansi katika maswala hayo; kwa hiyo hilo ninakuomba uliweke pembeni, kwa sababu linaku egemeza kwenye nguzo ya kishabiki hata bila kutambua unafanya hivyo.Tukienda kwenye sanduku la Kura Watanzania wengi huchagua CCM
Mwaka 2020 nilijitahidi kuzunguka mikoa mitatu ndani ya siku moja nikajionea jinsi CCM inavyopewa nafasi hasa kwenye nafasi ya Urais.
Sizungumzii kupendelea chama chochote
Nimeshindwa kuchagua kati ya alama ya mshangao au kusikitika.Wewe Baba yako au Mtoto wako ndio
angekuwa ameuawa au kutekwa na hajulikani
alipo usingeandamana?
Yaani assume hao watoto wako ambao wako
salama au huyo Babaako unayempenda
aliyesalama angetokea mtu akamuua kwa
kifo cha kikatili au akatekwa
usingeandamana?
Au fikiria wewe ndio umeuawa, au umetekwa
uko matekani kwa watesi wako. Alafu
ukasikia watoto na watu wanaandamana
kwaajili yako ungejisikiaje? Ungewachukuliaje
Wananchi wenzako?
Ungeionaje nchi yako?
Umesema vyema. Haya jibu hayo maswali.
Ndio maana Mimi sijayapinga na nimeishauro serikali nini chakufanya, kutoa HAKI
Ila Maandamano yanayohamasisha kuangushwa kwa serikali hayo napinga kwa sababu hayapo kisheria. Yaani sidhani kama kuna sheria inaruhusu serikali kuangushwa kwa maandamano.
Kama Samia hafai Mwakani sio mbali, wapige Kura. Kama atashindwa sawa. Kama atashinda sawa. Kama ataiba kura hiyo tutaipinga. Kama mpinzani atashinda kwa kuiba kura tutaipinga
..hata " Samia Must Go " haina tatizo.
..tujiulize ni sheria gani inayokataza kusema hivyo.
..mara nyingi Chadema wamesikika wakisema wanataka kuitoa Ccm madarakani. Mbona kauli hiyo haijawahi kuleta shida yoyote?
..ilimradi Chadema hawajasema watatumia njia haramu kumuondoa Samia madarakani hakuna makosa ktk kauli mbiu yao.
Waachwe wafanye maandamano ya "Samia must go"? Hakuna anayeshabikia maandamano ya vurugu
Huko kuzunguka kwako siyo sampuli sahihi ya Kisayansi katika maswala hayo; kwa hiyo hilo ninakuomba uliweke pembeni, kwa sababu linaku egemeza kwenye nguzo ya kishabiki hata bila kutambua unafanya hivyo.
Unapozungumzia kwenda kwenye sanduku la kura 2020 (pamoja na kutokubaliana nawe katika hitimisho ulilo fanya); hiyo ni miaka takribani mitano iliyo pita, tena katika mazingira tofauti sana na yaliyopo sasa. Utapata wapi ujasiri wa kusema CCM inakubalika leo kama waTanzania walivyo kubali pengine kazi za kiongozi mmoja wa wakati huo; halafu ulete picha hiyo hiyo katika mazingira ya leo, wakati huko CCM kwenyewe kumebadilika sana chini ya kiongozi mwingine?
Haya unayo yaona leo ya vitisho vingi kiasi hiki, hayakupi picha ya kujua hofu ya viongozi hawa inatokea wapi?