Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

Absolutely
Changamoto yako ni kwamba jamaa hataki hata kuanza nawe, ingawa ana option ya wanne na hofu yako ni kwamba jamaa anawaza kuoa mmoja ambaye sio wewe. Hapo inahitajika akili kubwa, lazima ukubali kuwa risk taker ni heri kumheshimu Mungu, hata kama wanadamu utawakosea hapo utakuwa salama.
 
Sasa unataka nirudi nirudi nyumbani?? Au nisubirie hiyo miaka 30 ya kuchunguzwa? Mm siogo
Sijaandika urudi kwenu kwani jamaa kakukuta kwenu mkaanza ishi pamoja umeandika ulikuwa umepanga labla kama nimesoma sikukuelewa best maamuzi ni yako hata hivyo hatujasikia maelezo ya upande wa pili atueleze pamoja na kumtimizia mahitaji yote kama mke why kagoma kukuoa.
 
Umechoka halafu huondoki? Bado hujachoka ukichoka utakuja kutupa taarifa siku kwamba ulichoka na uliondoka na umepata bwana anayekupenda.
Kupewa hela sio kigezo cha kupendwa.
Yeye haoni umuhimu wa kuoa kwani umeshajirahisisha umekaatu hapo kila kitu kipo mang'anyu anajipatu

Huyo hakupendi ila wewe ndio unampenda
 
Nachoogopa naweza kuachana na huyu nikampata mwingine ana mapungufu mengi zaidi

Najipa moyo ndoa hupangwa na Mungu maybe atanioa

Au nianzishe mahusiano mengine kimya kimya
Kaatu ukijashangaa jogoo jua limezama,mvi zimejaa kichwani na damu ya uzazi imekoma .
Hapo ndio utajua subira kunawakati inavuta bangi
 
Hata hili umeshindwa kungamua kweli. ? Wewe sio chagua lake la kuoa. Bali mnasogeza maisha for the time being.
 
Watu wote tupo kikazi lakini si unakua unapanga nyumba na ndugu wanakutembelea, sasa inakuwaje ukianza kuishi na mwanaume asokuwa mmeo? Au ndugu hawakutembelei?

Tuko mikoa tofauti japo ndugu huja kututembelea baadhi ndugu washkaji wale
 

Sawa nimekuelewa point yako
 

Yeye anasema muda bado ndoa zipo tu nivumilie[emoji19] nimechoka miaka yote anakula tu na namuulizaga kipi kinamfanya aone muda bado


Ajabu ndoa anasema bado muda ila watoto anataka
 
Akili mkichwa uamue KUSUKA ama KUNYOA. Je, uko tayari kuondoka hapo kwake ukaanze kuishi mwenyewe? Je, unaweza kuishi bila huyu mtu katika maisha yako? Je, ukiishi mwenyewe na yeye akiwa na nyege zake au wewe ukiwa na nyege hutamvulia chupi? Wazazi wa pande zote mbili kama wapo hai wanasemaje? Hajagusia suala la kukupa mimba?
 

Sijapata huyo wa kunipenda

Nilikua nao wote walikua na kasoro kubwa kubwa huyu kawaZidi vingi

Na sio ananipa hela ni tunasaidiana japo Kuna vitu vikubwa kanifanyia vya kuonesha kabisa ananipenda kiukweli

Kumpenda maybe kweli mimi ndio nampenda zaidi maana hata ndoa m ndio naongelea kila wakati
 
Kaatu ukijashangaa jogoo jua limezama,mvi zimejaa kichwani na damu ya uzazi imekoma .
Hapo ndio utajua subira kunawakati inavuta bangi

Mnanifanya leo nimnunie siku nzima[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio kwa kunijaza upepo huku
 
Yani unasema umempa miaka 3 tu,kwani wewe ndio unaoa hadi umpangie.Yani ingekuwa Mimi unaniambia hivyo Siku hiyo ningekwambia ujioe mwenyewe.

Kwa kauli hizo inaonekana jamaa ana mengi rohoni mwake ndio maana haoni maana ya kufunga ndio nawe.
 
Hata hili umeshindwa kungamua kweli. ? Wewe sio chagua lake la kuoa. Bali mnasogeza maisha for the time being.

Sasa hasara kwa Nani?? Mi yangu yananiendea na hiyo miaka 3 nikiona bado nitafanya ustaarabu mwingine maana ndio kwanza nitakua na 28yrs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…