Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

Mimi mwenyewe sielewi anaelewaje ilihali kila kitu tunafanya pamoja tunalala na kuamka pamoja tatizo langu analibeba kama lake mm pia kwake hivyo hivyo Yan tunaishi kimke na mume kabisaaa hadi majirani wanajua ni mke na mume


Kiserikali ni miezi6 na sisi tuna miaka 3 tunaenda minne
Mimi nakuombea sana ninachofikiria mimi kiwe wrong.
Maana kwa mdada kutumika miaka minne plus kama mke halafu usiolewe nae, ni maumivu makubwa sana. I hope i am wrong, na nakuombea all the best, upate hitaji la moyo wako!
 
Ngoja nikuambie kitu.

Binafsi kuna msichana nilidate nae muda kama wa kwenu tu, around 3 years. Naweza sema 70% ya muda wake kwenye hyo miaka aliishi na mimi. Tulikua tunaendana sanaaa. Nilimpa matumizi yakutosha, na kumnyandua vya kutosha pia.

Niliachana nae baada ya yeye kuanza kuforce sana ndoa. Huko nyuma alikua akigusia hilo swala namwambia tu I'll marry you, nipe muda. Lakini nilikua najua 100% I won't.

Kuna tabia nilikua naweza tolerate kwa girlfriend lakini sio kwa mama wa familia, kuna mkuu amegusia hili juu. I kept her around mostly kwasabab nilikua napata papuchi ya kutosha. Lakini sikutaka commitment nae ya ndoa.

Simjui jamaa wako so anaweza asiwe hvo lakini trust me. Kuna chance kubwa huna kitu hapo, unatumika tu. Ujinga wa mapenzi ni kwamba tu hayashauriki.

Inawezekana ikawa ni kweli pia


Lakini tusemeni ukweli kwa dunia ya sasa kuna mwanaume tu anaweza kumjengea mtu asiyemuhitaji? Akamfungulia biashara tena kubwa haswa na usafiri juu na vyote Viña majina yangu peke yangu bado kamfungulia kijacho wetu junior acc hela ananipa mwenyewe nikaweke

Kuanzia kiwanja nilitafuta mwenyewe yeye alinipa hela tu 16m na engineer nilitafuta mwenyewe kuanzia ramani hadi ujenzi nafatilia mwenyewe yeye anauliza tu imefikia wapi mafundi vipi na imemtoka more than 20m hadi sasa kwenye huo ujenzi na bado haijaisha, vyote hivyo alisema mwenyewe mke wangu Tafuta kiwanja unakokupenda nakununulia ee jamani tusiwe waongo wapo kweli?? Kama ya kutolea tu wanalilia

Bado nikiumwa hata ukucha iwe usiku wa manane atahakikisha nakua Sawa, nimetoka hosp nilivyojifunga vyote alikua ananifanyia mwenyewe kuanzia kunikanda maji kujua nakula nini kunicomfort sababu tulipoteza mtoto

Nimeshakua na watu kadhaa wazo tu la kimaendeleo hawakua nayo zaidi ya kuonana kunjunjana basii nimepata huyo ananiridhisha [emoji817] bado ananipa furaha tele

Tulizika mtoto akaomba likizo ya 1month tunakawa tunashinda wote tu hadi likizo imeisha

Hayo ni mema yake machache tu ambayo huko nyuma sikuwahi kuyapata

Mpaka namwambiaga Mbona unanifanyia mambo mengi hivi tena mazuri nitakulipa nini?? Anachonijibu ni ananipenda kweli na cha kumlipa ni kutokumsaliti na kuwa muanifu kwake basi, zaidi zaidi anatamani sana mtoto na Mimi sanaaa
 
Mimi nakuombea sana ninachofikiria mimi kiwe wrong.
Maana kwa mdada kutumika miaka minne plus kama mke halafu usiolewe nae, ni maumivu makubwa sana. I hope i am wrong, na nakuombea all the best, upate hitaji la moyo wako!
Ujue bana mabinti wakiambiwa kuhusu kujihamishia kwa mwanaume bila ndoa, watakuona mshamba au unajifanya mtakatifu; kumbe ni kwa faida yao binafsi. Ukiamua kujipeleka kwa mwanaume, make sure haupo desperate kwa ndoa, ukifika huko kaa kwa kutulia maana hajakwambia kuwa njoo ili nikuoe.

Mwanaume anaweza akakaa na wewe for years, ila moyoni mwake, wala hana hata wazo la kukuoa, as long as anapata mbususu na kupata huduma muhimu basi yeye anaenjoy tu. Au akakaa mpaka siku atakayojisikia mwenyewe ndiyo akaamua kukuoa, usimlazimishe na maswali ya "utanioa lini"

Wakati wanawake tukifika tu kwa mwanaume, tunachowaza next ni kuanzisha familia; watoto, ndoa n.k. Sasa unashangaa miaka inakata, watoto mmeshazaa na bwana hajawahi hata kuota ndoa, wala hata kujitambulisha kwenu hana mpango. Unaanza kuishi na wasiwasi na kisirani kwamba kwa nini hataki kunioa, what if akiniacha humu ndani na akaenda kuoa mwingine? So kisirani kinaanza ndani, na ndiyo ugomvi unaanza humo ndani, hamnywi maji hamkogi ni ndoa ndoa.

Ukiangalia miaka uliyopoteza na huyo mwanaume, unaona daah ngoja tu nivumilie, kwenda kuanza upya jeuri hiyo huna. So either utaendelea kuishi na kisirani chako au unabakia kujitia moyo kuwa "mbona ananipenda tu na tunaishi kwa amani"; kama uliyajua hayo mbona unalalamika?

Mtu unaishi naye ndani, mnazaa watoto anakwambia hawezi kukuoa ana malengo yake kwanza; kwamba mkifunga tu ndoa hayo malengo ndiyo yanakufa au? Bora mkiwa mnaishi tofauti afu akwambie usubiri ndiyo tutaelewa, sio mnaishi wote, mnazaa na watoto afu eti akwambie sijui sitaki wewe na watoto mpate tabu; hiyo tabu kwa watoto ndiyo italetwa na kufunga ndoa?
 
Ana
Thanks mah kwa ushauri

Ni kweli kabisa

Lakini unajua sasahivi kulivyo na uhaba wa wanaume kamili jamani wengine ndio hivyo 2 in one bado wakucheat nk huyu hata kama anafanya ni kwa usiri mno sijui

Na kusema ataoa kimya kimya m sioni shida kwavile dini yetu imeruhusu hata akioa wanne kwangu ni RUHSA as long as ananitimizia kila hitaji langu kuanzia la kimwili nk mengine huwezi kukabiliana na ukweli

Nikisema alivyonifanyia
emoji19.png
emoji19.png
ni mengi na makubwa hata walioolewa wengi tu hawajafanyiwa lkn anajinyima ame/ananifanyia mimi sina cha kumlipa zaidi ya mapenzi ya kweli Incase akinitenda ni kaamua tu mwenyewe na kutokunioa sielewi sababu ni nn kwasababu haniambii anasema tu muda bado niwe na subrah

Inawezekana ikawa ni kweli pia


Lakini tusemeni ukweli kwa dunia ya sasa kuna mwanaume tu anaweza kumjengea mtu asiyemuhitaji? Akamfungulia biashara tena kubwa haswa na usafiri juu na vyote Viña majina yangu peke yangu bado kamfungulia kijacho wetu junior acc hela ananipa mwenyewe nikaweke

Kuanzia kiwanja nilitafuta mwenyewe yeye alinipa hela tu 16m na engineer nilitafuta mwenyewe kuanzia ramani hadi ujenzi nafatilia mwenyewe yeye anauliza tu imefikia wapi mafundi vipi na imemtoka more than 20m hadi sasa kwenye huo ujenzi na bado haijaisha, vyote hivyo alisema mwenyewe mke wangu Tafuta kiwanja unakokupenda nakununulia ee jamani tusiwe waongo wapo kweli?? Kama ya kutolea tu wanalilia

Bado nikiumwa hata ukucha iwe usiku wa manane atahakikisha nakua Sawa, nimetoka hosp nilivyojifunga vyote alikua ananifanyia mwenyewe kuanzia kunikanda maji kujua nakula nini kunicomfort sababu tulipoteza mtoto

Nimeshakua na watu kadhaa wazo tu la kimaendeleo hawakua nayo zaidi ya kuonana kunjunjana basii nimepata huyo ananiridhisha [emoji817] bado ananipa furaha tele

Tulizika mtoto akaomba likizo ya 1month tunakawa tunashinda wote tu hadi likizo imeisha

Hayo ni mema yake machache tu ambayo huko nyuma sikuwahi kuyapata

Mpaka namwambiaga Mbona unanifanyia mambo mengi hivi tena mazuri nitakulipa nini?? Anachonijibu ni ananipenda kweli na cha kumlipa ni kutokumsaliti na kuwa muanifu kwake basi, zaidi zaidi anatamani sana mtoto na Mimi sanaaa
Sasa kwanini hakupi furaha ya ndoa na anajitahidi kukupa furaha kila engo. Amekubali kukuona ukihuzunika na kuumia na kukosa furaha kwa kukosa ndoa.Inafikirisha? Pole sana.
Jitahidi kumuomba mungu akufungulie hilo fumbo najua unajiuliza maswali mengi kila siku.
 
Habari zenu wanaJF

Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39])

Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.

Swala lililonileta kwenu.

Huyu mtu ni muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye swala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.

Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani[emoji3059][emoji3059] hajaoa, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe space ndani ya muda flani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.

Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila swala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.

Simuelewi! Au ana miiko[emoji848] Niko hoves nimechoka kuzini

Kama mnaishi vizuri dada kula vitu hiyo ndoa itajawakuta mbele ya safari huenda unavyomlazimisha ndoa ndoa kuna kitu anajiuliza .
Sory nje ya mada vipi ushamzalia??
Na kama bado hilo nalo shida huenda ana waswas na uzima wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You will be surprised the things we men can do for women.

Kwa uwezo huo hana kinachomzuia kukuoa. Lakini kipo kinacho mzuia mpaka sasa hajafanya hvo. The fact mpaka umekuja kutafuta hope JF ni kwamba deep down unajua kuna shida pahala. But mara nyingi tukifikiria na moyo huwa tunaingia kwenye wishful thinking.

Kama utaendelea nae don't mention hilo swala la ndoa. Just go with the flow, enjoy the love life, have kids and start a family.

Mapenzi hayashauriki na maisha hayana formula. So mwisho wa siku ni choice yako.

Yeye anavyosema tusifanye kwavile flani na flani wamefanya tusubiri muda utafika lakini kwa vitu anavyonifanyia ni Kama ananiweka kifungoni hivi kuwa hata nikimuacha moyoni nitaona sijamfanyia kitu sahihi

Kitu ambacho kinaweza kumnyima furaha siku nzima nikisema ndoa tu sasa nina kama miezi miwili sijalizungumzia hilo lakini anajua sipendi

Hopeful M/mungu ataleta kheri kama ndiye basi itakua kama siye wote tutakua na watu wetu tuliopangiwa nao
 
Ana



Sasa kwanini hakupi furaha ya ndoa na anajitahidi kukupa furaha kila engo. Amekubali kukuona ukihuzunika na kuumia na kukosa furaha kwa kukosa ndoa.Inafikirisha? Pole sana.
Jitahidi kumuomba mungu akufungulie hilo fumbo najua unajiuliza maswali mengi kila siku.

Amiin [emoji1431]

Nimeshamwambia ndoa sio sherehe ni kuhalalisha kwa M/mungu tu iwe ya halali anasema nivumilie kila kitu kitakua Sawa
 
Kama mnaishi vizuri dada kula vitu hiyo ndoa itajawakuta mbele ya safari huenda unavyomlazimisha ndoa ndoa kuna kitu anajiuliza .
Sory nje ya mada vipi ushamzalia??
Na kama bado hilo nalo shida huenda ana waswas na uzima wako

Sent using Jamii Forums mobile app

Wa kwanza alifariki, huyu wa pili tunamsubiria[emoji2972]
 
Ujue bana mabinti wakuambiwa kuhusu kujihamishia kwa mwanaume bila ndoa, watakuona mshamba au unajifanya mtakatifu; kumbe ni kwa faida yao binafsi. Ukiamua kujipeleka kwa mwanaume, make sure haupo desperate kwa ndoa, ukifika huko kaa kwa kutulia maana hajakwambia kuwa njoo ili nikuoe.

Mwanaume anaweza akakaa na wewe for years, ila moyoni mwake, wala hana hata wazo la kukuoa, as long as anapata mbususu na kupata huduma muhimu basi yeye anaenjoy tu. Au akakaa mpaka siku atakayojisikia mwenyewe ndiyo akaamua kukuoa, usimlazimishe na maswali ya "utanioa lini"

Wakati wanawake tukifika tu kwa mwanaume, tunachowaza next ni kuanzisha familia; watoto, ndoa n.k. Sasa unashangaa miaka inakata, watoto mmeshazaa na bwana hajawahi hata kuota ndoa, wala hata kujitambulisha kwenu hana mpango. Unaanza kuishi na wasiwasi na kisirani kwamba kwa nini hataki kunioa, what if akiniacha humu ndani na akaenda kuoa mwingine? So kisirani kinaanza ndani, na ndiyo ugomvi unaanza humo ndani, hamnywi maji hamkogi ni ndoa ndoa.

Ukiangalia miaka uliyopoteza na huyo mwanaume, unaona daah ngoja tu nivumilie, kwenda kuanza upya jeuri hiyo huna. So either utaendelea kuishi na kisirani chako au unabakia kujitia moyo kuwa "mbona ananipenda tu na tunaishi kwa amani"; kama uliyajua hayo mbona unalalamika?

Mtu unaishi naye ndani, mnazaa watoto anakwambia hawezi kukuoa ana malengo yake kwanza; kwamba mkifunga tu ndoa hayo malengo ndiyo yanakufa au? Bora mkiwa mnaishi tofauti afu akwambie usubiri ndiyo tutaelewa, sio mnaishi wote, mnazaa na watoto afu eti akwambie sijui sitaki wewe na watoto mpate tabu; hiyo tabu kwa watoto ndiyo italetwa na kufunga ndoa?
Nacheka huku naogopa..hivi mtu anasemaje kuna vitu naweka sawa ndipo tufunge ndoa na wakati huo huo mnaishi pamoja jamani..tena na watoto juu.

Like seriously, ni afadhali kila mtu akawa kwao/kwake ukisema nna vitu naweka sawa inaeleweka..ila mpo humo ndani pamoja. Au anaogopa kugawana mali so anatengeneza zake kabisa afu ndo aoe muanze sasa kutafuta vya pamoja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inawezekana ikawa ni kweli pia


Lakini tusemeni ukweli kwa dunia ya sasa kuna mwanaume tu anaweza kumjengea mtu asiyemuhitaji? Akamfungulia biashara tena kubwa haswa na usafiri juu na vyote Viña majina yangu peke yangu bado kamfungulia kijacho wetu junior acc hela ananipa mwenyewe nikaweke

Kuanzia kiwanja nilitafuta mwenyewe yeye alinipa hela tu 16m na engineer nilitafuta mwenyewe kuanzia ramani hadi ujenzi nafatilia mwenyewe yeye anauliza tu imefikia wapi mafundi vipi na imemtoka more than 20m hadi sasa kwenye huo ujenzi na bado haijaisha, vyote hivyo alisema mwenyewe mke wangu Tafuta kiwanja unakokupenda nakununulia ee jamani tusiwe waongo wapo kweli?? Kama ya kutolea tu wanalilia

Bado nikiumwa hata ukucha iwe usiku wa manane atahakikisha nakua Sawa, nimetoka hosp nilivyojifunga vyote alikua ananifanyia mwenyewe kuanzia kunikanda maji kujua nakula nini kunicomfort sababu tulipoteza mtoto

Nimeshakua na watu kadhaa wazo tu la kimaendeleo hawakua nayo zaidi ya kuonana kunjunjana basii nimepata huyo ananiridhisha [emoji817] bado ananipa furaha tele

Tulizika mtoto akaomba likizo ya 1month tunakawa tunashinda wote tu hadi likizo imeisha

Hayo ni mema yake machache tu ambayo huko nyuma sikuwahi kuyapata

Mpaka namwambiaga Mbona unanifanyia mambo mengi hivi tena mazuri nitakulipa nini?? Anachonijibu ni ananipenda kweli na cha kumlipa ni kutokumsaliti na kuwa muanifu kwake basi, zaidi zaidi anatamani sana mtoto na Mimi sanaaa
Kama yote anakufanyia kwa nini ukai kwa kutulia usubiri mpaka amue mwenyewe mfunge ndoa kipi kimepelekea ulete mada Jf zingatia sio kila anayechangia kinyume na fikra zako ukadhani anataka utoke kwenye mahusiano yako.
 
Back
Top Bottom