Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,234
- 2,535
- Thread starter
- #281
Nadhani hii post Ni kubwa kwako ungeipita tu, niliyemquote kazungumzia dini au hujaona ila tu nilipojibu Mimi ndo pameonekana dini,,
Tunajadili maisha yako uliyoamua kuyaleta mtandaoni sio nyege zangu nadhani, usihamishe mada binti sijawahi kuleta mjadala mtandaoni kuhusu nyege zangu,, tuko sawasawa
Kumbe unajua maisha yangu sasa kwanini unateseka???? We ukikosa kuyajadili ama ukiyajadili napungukiwa na nini mwisho?? Nimeshayaleta maisha yangu Haya sasa pigana basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niko na wewe[emoji1362] bado hauna ulilonikera hadi sasa
Na bado nitayaleta ili uje uchangie tena[emoji41]nimeshaona huna kazi za kufanya na huna wa kukunyumbulisha huko chini hasira zako unaniletea mimi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]