Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

Embu acheni kujitekenya nyie watu haka kamakonde kanaimba vitu gani siku hizi afu kame andika gazeti reeeefu kwenye instapage yake hiyo nyimbo ndo ime zima EP ya Simba ? Mme rogwa kweli 😝😝
 
Nimesikiliza EP for the second time..

Nafanya re-rating

9/10

Diamond katulia sana kwenye hizi track..production iko poa

Kuna goma sema kama essence ya Kidayo.
Nilikuambia mondi kafanya EP Kali Sana kuna moja inaitwa Fine hii ngoma ni hatari Sana nairudia Mara nyingi Sana kuisikiliza
 
Nimesikiliza EP for the second time..

Nafanya re-rating

9/10

Diamond katulia sana kwenye hizi track..production iko poa

Kuna goma sema kama essence ya Kidayo.
Ep ni kali mkuu, ni kweli loyal inasound kama essence.
 
Umesikilza " FINE "mkuu ?[emoji4]
Naaam, wimbo wa FINE nao ni moto mkali sana, sasa ule ndiyo mfano halisi wa Afro-Fusion.
Kile kiitikio cha Beautiful Girls kimetoka kwenye wimbo wa Ben E-King uitwao Stand By Me ambao ni muziki wa Soul kutoka Marekani. Sasa Diamond kaweka mahadhi ya muziki wa kiafrika.

Ukisikiliza kwa makini utasikia vionjo vya muziki wa Isicathamiya ambao Black Mambazzo Lady Smith walikuwa wanaimba. Sema tu tofauti ni kwamba Diamond kaweka mdundo nyuma. Yaani hii EP utaiponda kama tu hujui muziki, lakini kijana kakaza.

Natamani sana Diamond kwa aina hii ya muziki ambao ameamua kufanya, ajitanue zaidi aanze kufanya kazi na wasanii wataalamu wa muziki hapa Afrika kama Femi Kuti, Angelique Kidjo, Salif Keita, Youssou N'dour
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] EP imechunda haina hata maajabu, yaan imejaa nongwa, mipasho na ukuda, woiiiiiiiih.

Sasa lulu, kiba, mange wanahusu nn? Asingewataja isingeuza? Hahahahah kaishiwaaaaaaaah. Domokayaaaaaaaaaaaaaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
pain successifully landed and well received
 
Inamaana hamjausikia Bakhresa ?

images - 2022-03-12T214907.317.jpeg
 
Uko sawa sijajua kama diamond alikua anaandikiwa mashairi(ghost writer) au alikia anaandika mwenyewe mana ukisikiliza nyimbo kamwambia,mbagala na nyingine kali zs mwanzo zilikua zimeshiba mashairi lakn sasa hivi anatunga mashairi mepes sana na yakuunga unga sana... msikilize ali kiba mashairi yake yalivyotulia na yameshiba kila akitoa nyimbo hamna mtu asiyemkubali anachora sana kitu bacho wasanik weng hawana
Unaposema Kiba 'hakuna mtu asiyemkubali' sijui unakuwa umetumia akili zako kabla ya kuandika au unaandika ili mradi umeandika tu.
Ukiweka ushabiki pembeni ingia kwenye platforms zote za kuuzia muziki(digital platforms streamings na YouTube views) kwani linapokuja suala la numbers hakuwi na ushabiki mandazi, huko utapata facts ni msanii gani anayekubalika na wengi. Kiba kwa sasa anazidiwa hata na Harmonize sasa kumlinganisha na Diamond ni kituko kilichokithiri.
 
Namba unaweza kuzipata hata kwa Promo. Ni suala la mfuko wako tu.
Na mfuko unaupata vipi, lazima nyimbo zako ziwe zinakubalika, zinunulike ili upate pesa za kutosha uweze kufanya promo.
Artist asiye na pesa za kutosha ina maana nyimbo zake haziuziki sana which translates kwamba hazikubaliki au hazipendwi sana.
That's a very simple and straightforward logic.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] EP imechunda haina hata maajabu, yaan imejaa nongwa, mipasho na ukuda, woiiiiiiiih.

Sasa lulu, kiba, mange wanahusu nn? Asingewataja isingeuza? Hahahahah kaishiwaaaaaaaah. Domokayaaaaaaaaaaaaaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wanawake bana😁
 
Analipua sana mondi saizi. Ngoja madogo watamkalisha
 
Nawasalimu kwa jina la Muungano.

Ikiwa ile kiu ya wadau walio wengi ya kuisubiri EP ya FOA imemalizika , kwa kupata kile nafsi zao zilikuwa zinahitaji kutoka kwa msanii wao kipenzi hapa Afrika Mashariki na kati, na hata Afrika nzima kwa ujumla.

SWALI: Je EP hii ya FOA iliyoachwa rasmi tarehe 11/03/2022 imevunja au kuweka rekodi gani zilizowekwa hapo awali au zile ambazo hazikuwahi kuwekwa hapo awali?

Kwangu mimi.
- hii ndio EP iliyopewa promo kubwa na ya kibabe zaidi au tuseme ya kisasa zaidi. . haikuwa promo ya redio au vituo vingi vya Tv , ila ilipangiliwa vizuri sana kulingana na maendeleo ya Sayansi na Teknolojia ya sasa.

Hivyo kufanya kuwa EP iliyosubiriwa kwa hamu na wadau wengi mno ila kuhusu imepokewa namna gani hiko mitandaoni na mtaani kwa ujumla, naomba tuweke mitazamo au uhalisia wake hapa.

FOA- THE EP
 
Back
Top Bottom