Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

EP Mbaya kinoma
kwanza amefanya kuwaiga wanaigeria hadi amepoteza identity yake.
pili amejaribu kumuiga konde kuimba vingeleza
tatu nyimbo mbili tu at least unaweza kukaa na kusikiliza, aliyoimba na zuchu na aliyoimba na mboso
Huna akili wakati diamond anaimba hallelujah HARMONIZE hata kujitambulisha kwa kingereza alikua hawezi
 
EP Mbaya kinoma
kwanza amefanya kuwaiga wanaigeria hadi amepoteza identity yake.
pili amejaribu kumuiga konde kuimba vingeleza
tatu nyimbo mbili tu at least unaweza kukaa na kusikiliza, aliyoimba na zuchu na aliyoimba na mboso
Wewe umesikia vingeleza vya kijinga kama vya mmakonde humo?

Yule ni versatile artist ndomaana unaona kuna genre mbalimbali za uimbaji kwenye hiyo album, hii hoja ya Identity mimi huwa siielewi kabisa maana mpaka sasa hakuna mziki mond kaacha tangu aanze kuimba, kuanzia Bongoflava, Afro, Rhumba, Taarabu , Singeli, dance , bado hamjajua ni msanii wa aina gani?

Hayo mambo ya Identity watafanya ma- underground ili kuwaridhisha watz pekee, yeye acha adili ni kila soko lake.

NB: SIKATAI MAWAZO YAKO, ni kweli kwako wewe Album ni mbaya ila nimepinga sababu ulizotumia ku-justify kauli yako.
 
Vijana tafuteni hell.

Yaani unakaza fuvu kumtetea Diamond ukitoka Happ unaenda kula Ugali wa mama.

Kizazi Cha HASARA sana Hiki.

Jitu linatumika nguvu, akili na Mali zote kumpigania msanii au mwanasiasa.

No wonder, unakuta mtu mmoja Ni Tajiri BILIONI 500 huku mwingine hata hata 100 mbovu.

Screenshot_2022-03-06-11-39-30-861_com.twitter.android.png
 
Huna akili wakati diamond anaimba hallelujah HARMONIZE hata kujitambulisha kwa kingereza alikua hawezi
Watu wanaforce kumuweka harmo level moja na Mond ila kapitwa vitu vingi sana.


Wanadhani swala la kuwa msanii mkubwa ni kuwa na kipaji cha kuimba tu, wanaojua kuimba ni wengi sana hata huku mitaani ila kuna namna fulani ya kufika level za juu ambacho wengi hawana.

Mchukue Barnaba na Ben Paul kisha walinganishe na Harmo, halafu jiulize kwanini hawamkuti harmo licha ya kujua kuimba kuliko yeye??
 
Vijana tafuteni hell.

Yaani unakaza fuvu kumtetea Diamond ukitoka Happ unaenda kula Ugali wa mama.

Kizazi Cha HASARA sana Hiki.

Jitu linatumika nguvu, akili na Mali zote kumpigania msanii au mwanasiasa.

No wonder, unakuta mtu mmoja Ni Tajiri BILIONI 500 huku mwingine hata hata 100 mbovu.

View attachment 2150440
Hizi fake Id's zinafanya tuonekane sawa humu ila kuna watu humu hamuwezi hata kuwasogelea watu fulani. Masikini mpo wengi sana humu.

Wengine music ni vitu vyetu tangia tukiwa kwa wazazi wetu,kwahiyo hatuwezi acha kuufatilia kisa tu hela.

Wewe uliekuwa ukilima na kuokota vyuma chakavu na kuhimizwa kutafuta hela kwaajili ya kukomboa familia ni ngumu sana kufatilia hivi vitu ukubwani ndomaana unadhani kila mwenye mafanikio ni lazima awe busy na magumu muda wote.

Mwingine atakuwa busy na mpira, mwingine music ,mwingine movies hayo pia ni maisha bila kujali status ya uchumi.
 
Huna akili. Rudi shule kwanza ukajifunze KKK 👇👇👇

View attachment 2150451
Kama matajiri wote wasingekuwa wangekuwa busy na maswala magumu kama unavyotaka wewe, kusingekuwa na VVIP za mamilion.

Kwako wewe unadhani kufanikiwa ni kujiwekea ngumu kwenye kila kitu??😃😃😃

Haya maisha ni nyota tu na kama uliandikiwa huwa vinakuja kiulainiii tu.

Wewe pambana na maisha yako magumu, ila usidanganywe na hao motivation speakers kuwa ili ufanikiwe ni lazima uishi kigumu kiasi cha kupuuzia muziki na starehe nyingine.

NB: Sitakujibu tena.
 
Wewe umesikia vingeleza vya kijinga kama vya mmakonde humo?


Yule ni versatile artist ndomaana unaona kuna genre mbalimbali za uimbaji kwenye hiyo album, hii hoja ya Identity mimi huwa siielewi kabisa maana mpaka sasa hakuna mziki mond kaacha tangu aanze kuimba, kuanzia Bongoflava, Afro, Rhumba, Taarabu , Singeli, dance , bado hamjajua ni msanii wa aina gani?

Hayo mambo ya Identity watafanya ma- underground ili kuwaridhisha watz pekee, yeye acha adili ni kila soko lake.





NB: SIKATAI MAWAZO YAKO, ni kweli kwako wewe Album ni mbaya ila nimepinga sababu ulizotumia ku-justify kauli yako.
kwa upande wangu mimi hii EP ni demotion kwa level za diamond ninayemjua
 
Back
Top Bottom