Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Huna akili wakati diamond anaimba hallelujah HARMONIZE hata kujitambulisha kwa kingereza alikua haweziEP Mbaya kinoma
kwanza amefanya kuwaiga wanaigeria hadi amepoteza identity yake.
pili amejaribu kumuiga konde kuimba vingeleza
tatu nyimbo mbili tu at least unaweza kukaa na kusikiliza, aliyoimba na zuchu na aliyoimba na mboso
Wewe umesikia vingeleza vya kijinga kama vya mmakonde humo?EP Mbaya kinoma
kwanza amefanya kuwaiga wanaigeria hadi amepoteza identity yake.
pili amejaribu kumuiga konde kuimba vingeleza
tatu nyimbo mbili tu at least unaweza kukaa na kusikiliza, aliyoimba na zuchu na aliyoimba na mboso
Watu wanaforce kumuweka harmo level moja na Mond ila kapitwa vitu vingi sana.Huna akili wakati diamond anaimba hallelujah HARMONIZE hata kujitambulisha kwa kingereza alikua hawezi
Hizi fake Id's zinafanya tuonekane sawa humu ila kuna watu humu hamuwezi hata kuwasogelea watu fulani. Masikini mpo wengi sana humu.Vijana tafuteni hell.
Yaani unakaza fuvu kumtetea Diamond ukitoka Happ unaenda kula Ugali wa mama.
Kizazi Cha HASARA sana Hiki.
Jitu linatumika nguvu, akili na Mali zote kumpigania msanii au mwanasiasa.
No wonder, unakuta mtu mmoja Ni Tajiri BILIONI 500 huku mwingine hata hata 100 mbovu.
View attachment 2150440
Kama matajiri wote wasingekuwa wangekuwa busy na maswala magumu kama unavyotaka wewe, kusingekuwa na VVIP za mamilion.
ni kweli lakini halleluyah haikuwa vingeleza vya Harmonize vya i gonnerHuna akili wakati diamond anaimba hallelujah HARMONIZE hata kujitambulisha kwa kingereza alikua hawezi
kwa upande wangu mimi hii EP ni demotion kwa level za diamond ninayemjuaWewe umesikia vingeleza vya kijinga kama vya mmakonde humo?
Yule ni versatile artist ndomaana unaona kuna genre mbalimbali za uimbaji kwenye hiyo album, hii hoja ya Identity mimi huwa siielewi kabisa maana mpaka sasa hakuna mziki mond kaacha tangu aanze kuimba, kuanzia Bongoflava, Afro, Rhumba, Taarabu , Singeli, dance , bado hamjajua ni msanii wa aina gani?
Hayo mambo ya Identity watafanya ma- underground ili kuwaridhisha watz pekee, yeye acha adili ni kila soko lake.
NB: SIKATAI MAWAZO YAKO, ni kweli kwako wewe Album ni mbaya ila nimepinga sababu ulizotumia ku-justify kauli yako.
Sawa mkuu.kwa upande wangu mimi hii EP ni demotion kwa level za diamond ninayemjua
Nimechoka kubishana na Fukara, kila la kheri.
Laana za Le mutuz zinakukula mdogo mdogo.Ep nzima kamcopy ticha
Nawahi nini nyumbani wakati nimeachwa🍻Oya lagaligila (Fresh!)
Ifungwe counter ifungwe bar (Fresh!)
Si hatulali jama (Fresh!)
Na wakifunga tunahama (Fresh!)[emoji482]
Sisi walevi tumepata jimbo letu la kulewea hatuna tatizo nae
Jifunze kwanza kuandika kwa usahihi ndio urudi nikupe vigezo.Kea vigezo vip?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tafuta hela haya makasiriko hayatakusaidia
Kwa ubonge na uvutaji wa bangi uko sahihi kabisa.Konde mmoja ni sawa na Domo 600!
sijui ukiisifia ndo unakuwa tajiri?Kuna wangese humu wanauliza mambo ila wakijibiwa wananuna wanataka watu wasapoti kila kitu. Ukijibu tofauti utasikia una njaa mara ohoo wivu. Watu lazima watofautiane .pumbavu ninyi
Kwahyo ndo uongee usichoulizwa au kisichokuwepo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo unaongea kwa niaba yangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeona interview ya Domokayaaa? Hahahahah mbavu cna woiiiiiiih lol.pain successifully landed and well received