Naitaji mwanamke huru

Wamekushindwa kitaa unakuja kuneng'eneng'eka huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaonekana una gundu mkuu
Kitaa...

Hawana vigezo tajwa hapo juu...[emoji23]

Nataka mwanamke hata nikitoka nae na gari angu eeeh kitu ng'adaa km 0...

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Na ringaje kwa mfanoo...???[emoji23]
Jina zurii ila unaweza kuwa mwanafunzi wa Chuo kutwa kula miogo na maji ya kandoro na karanga za jero[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ninywe MAJI ya marehem kandoro na vyakura vya waha niharishe akuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sijui kama unabahati maishani kama sio full mabalaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weee balaa Gani na wakati nimetoka kucheka na uzi jirani,"Njemba inasema ina Mahari laki mbili alie tayari amfwate PM sa nakushangaa mpaka asaivi huko humuu[emoji1][emoji1]"

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Weee balaa Gani na wakati nimetoka kucheka na uzi jirani,"Njemba inasema ina Mahari laki mbili alie tayari amfwate PM sa nakushangaa mpaka asaivi huko humuu[emoji1][emoji1]"

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kilaki mbili chake anywee supu KWA week hii tu kinaishs[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…