Naitaji mwanamke huru

Hujawahi kukubali kuna mwanaume mwenye nia njema kwa mwanamke hata siku na moja.
NikuUlize waNauMe tulikokoseaga nini kikUbwa ?
 
Ana zali la kuliwa kimasihara kila wakatii[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mimi simuelewi hata, negative attitude all the time.
Aiseeee ni noma
Sijui mwanaume aongee nini ndio awe mwema kwake.

Ila huo ni ujinga tu, masilent killer najua wanajichapia tu huko 😂
 
Mimi simuelewi hata, negative attitude all the time.
Aiseeee ni noma
Sijui mwanaume aongee nini ndio awe mwema kwake.

Ila huo ni ujinga tu, masilent killer najua wanajichapia tu huko [emoji23]
Hahahahahaha unataka kusema hii wiiki haija isha hivi hivi kwakweli...???

Naamanisha alidambuliwaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hahahahahaha Jf hakuna ajuzaa.

Kama yupo basi ana Gegedo lakee.

Ila humu sidhani kina Fanc ni ajuzeeee[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126] Mrs Bill gate [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie mbulukenge wa TZ siwataki hamjui hata mahaba mpompo tu kutwa kuwaza ngono [emoji57][emoji57][emoji57][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] mseleleko ila msinimind
Hahahahahaha Mbulukengeeeehh[emoji23][emoji23][emoji23]

Ila pole kama hukupata mahaba jamaniii...

Any way fungua Foil ule mahaba ya mzeiaa hapaa.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hujawahi kukubali kuna mwanaume mwenye nia njema kwa mwanamke hata siku na moja.
NikuUlize waNauMe tulikokoseaga nini kikUbwa ?
🤣🤣🤣🤣

Basi hujanijua vizuri.

Nilishasema sana kwamba there are good men out there.
 
Simu za saa nane za usiku ww ni mlevi ,ww mwenyewe una fanya mazoezi taja sifa zako ww kwanza Mwanamke mwenye sifa hizo bongo hajazaliwa bado tafuta pesaaaaaa utamuondesha unavotaka kwa pesa zako bongo wanawake wavivu kufanya mazoezi ni wachache sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…