Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Mkasa wako unavutia sana kuusoma, malizia mkuu nipate la kujifunza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kile kifurushi kilivyoibwa pale Mbezi ile ndio inaita #MjiniShule101Nilizaliwa miaka kadhaa iliyopita. Katika familia ya watoto 7,mimi nilikuwa wa 6.
Kama watoto walivyo, nilikuwa mtundu kiasi ila sio mtukutu. Nakumbuka nikiwa darasa la 5,niliitwa mbele na ticha nikafanye swali la hesabu. Nikafanya swali kwa mbwembwe, nilikuwa nasumbuliwa na mafua, kabla sijaondoka pale mbele nikatoa leso ili nijifute. Wakati naitoa, kibox cha
Hadithia mkuu .Umenikumbusha ngoma flan ya Madee inaitwa Historia,Kuna Line flan anasema,
Nina story mbaya imeganda ubongoni,/
Nishapigwa na visu na machiz kinondon,/
Me mwenyew niliwah kuleta uchiz kama wako kipindi nimemalza la saba pale mwenge primary mwanza.
Tukianza kuhadithia hapa kuna watu watasema ni story tu lkn watu tumeptia life la ajabu mpk tukitulia huwa tunajiuliza "Hivi ni sisi tuko hai saivi"!!
Hiyo sehemu ya kwanza umesema hela uliibiwa mpaka mzee kesho alikusaidia hela ya chai na nauli!
Halafu mwishoni unamalizia kama baada ya kufika ubungo ulinunua vocha umpigie huyo ndugu yako! Hela ulitoa wapi mkuu?
Ni kweli kabisa, malizia tujifunze zaidiYa kujifunza yapo mengi sana. Tokea sentensi ya kwanza.
Mkuu hii riwaya yako si mchezo.. Kwa tusiopeleka yale maji ya gold ijumaa imekaa mahala pake.Inaendelea.....
...Mwenyeji wangu hakupatikana hadi kunakucha. Usiku huo ilibidi nijilaze mle mle stand ya mkoa. Na hata asubuhi nilipomtafuta, alipongundua ni mimi, mtandao ukaanza kuzingua. Mara hanisikii vizuri. Simu hakupokea tena, na mimi nikaamua kuachana nae.
Labda... Ameniacha njia panda hapoMaybe alipewa na yule mzee
Vile nilivyo hoi rafiki![emoji116]Pole rafiki kwa kua hoi[emoji23][emoji23]
Una mafua? Maana naona pua na macho hayo!!! au ndo upo hoi kwa kulia?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Vile nilivyo hoi rafiki![emoji116] View attachment 1127389
nilipomuona na mm ndio nikamwaga sabuni ya unga na maji kwenye zile malumalu. Kaja na hasira, alipiga mwereka sio wa nchi hii,alijibamiza chini hadi nikamuonea huruma. Usiku wa siku hiyo ndio ilikuwa siku ya mwisho mimi kufanya kazi na kulala kwenye nyumba hiyo...