Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Flow ya maji huwa ni upande mmoja. Bomba unapolikata flow inabaki ya kule yanapotoka, alaf huu upande mwingine unaoingia kwenye nyumba maji huwa hayapo. Ilo ndio nilitanua, nikaingiza kipande cha bomba. Nacho nikakitanua ndio nikaingiza lile lenye flow ya maji.
Siwezi nikaandika kila kitu kama jinsi kilivyotokea,tutakesha. Kumbuka naandika kulingana na matukio ninavyoyakumbuka, sio kwamba nakopi na kupesti toka sehemu.
Watu wengine mnapenda tabu za bure, wakati umeacha maisha mazuri kwenu
Mkuu uni tag basi hiyo kesho ukiendeleaNadhani kwa leo nitaishia hapa. Naomba niendelee kesho.
Ahahahahahah unafungua account nyingine fasterUna subili story alafu Watu kwahila zao wanakupiga barn kwamakusudi
Hii avatar ni tamu kama story ya huyu mkubwa[emoji3][emoji3]Ww haukupitia